Siku zao zimekwisha
MEDIA NOTE
OFFICE OF THE SPOKESPERSON
U.S. DEPARTMENT OF STATE
AUGUST 1, 2021

Under Secretary for Political Affairs Victoria Nuland will travel to South Africa, Botswana, Tanzania, and Niger from July 31 to August 6.

In South Africa, the Under Secretary will meet with senior South African officials and co-chair the Working Group on African and Global Issues to advance shared priorities. She will welcome the United States’ donation of 5.66 million COVID-19 vaccine doses to South Africa, and meet with civil society and business leaders.

In Botswana, the Under Secretary will meet with President Mokgweetsi Masisi to advance our partnership on democracy, the climate crisis, economic prosperity, and security in southern Africa.

In Tanzania, the Under Secretary will meet with President Samia Suluhu Hassan and hold a roundtable with opposition leaders. Her discussions will focus on strengthening democracy, combatting COVID-19, and enhancing security and prosperity.

In Niger, the Under Secretary will meet with President Mohamed Bazoum to discuss ways to improve security in the Sahel, strengthen governance, and advance inclusive economic growth.

[Media note ends]
 
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Victoria Nuland na timu yake wamemwomba Rais Samia Suluhu afanye mazungumzo na vyama vya upinzani nchini kikiwemo CHADEMA. Moja ya ajenda za timu hiyo ni kutaka kufahamu chanzo cha kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

nuland.jpg
 
Chanzo ni ugaidi ili nao waanze kujihami kwa mbinu zao.
Wazungu wanaasili moja ya kukusifia kiongozi wakiwa pamoja,wakitoka hukaa wazungu wenyewe wanaanza kukuteta kwa kukuchambua kama mtoto.Ukikutana nao kesho wanakualika wewe nafamilia yote kwa dinner.
 
Kwa ujumla Hali ya kisiasa Tanzania,Haina tofauti na Afghanistan. UN waingie TU kunusuru wanasiasa. CDM wamekuwa kama dikidiki kwenye nchi Yao.

Ww unaijua Afghanistan? Hivi ukiwa unaandika unajitoa akili unakuwa Div 0 kama Mbowe?
 
Chanzo ni ugaidi ili nao waanze kujihami kwa mbinu zao.
Wazungu wanaasili moja ya kukusifia kiongozi wakiwa pamoja,wakitoka hukaa wazungu wenyewe wanaanza kukuteta kwa kukuchambua kama mtoto.Ukikutana nao kesho wanakualika wewe nafamilia yote kwa dinner.
uliwaona wapi?
 
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumeibua mjadala, ambapo nchi ya Marekani imeshauri kuwepo na majadiliano kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na vyama vya upinzani.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa Nchi wa Masuala ya Siasa wa Marekani, Victoria Nuland alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia mkutano wake na Rais Samia na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapo jana.

Waziri huyo alisema miongoni mwa mambo aliyozungumza na Rais Samia ni hofu ya Marekani kwenye utaratibu uliotumika kumkamata na kumshitaki Mbowe, huku akiomba Serikali ifuate misingi ya haki na sheria katika kesi hiyo.

“Ni muhimu kabisa kwamba hali hii itatuliwe kwa njia itakayofuata sheria kwa uharaka na uwazi. Hiyo ni muhimu katika kukuza nguvu ya demokrasia nchini Tanzania,” alisema.


Nuland alisema ana matumaini kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi kwa majadiliano baina ya pande zote mbili, baada ya wote kuonyesha utayari wa kukutana na kulizungumza.

“Kwa mtazamo wangu pande zote mbili ni wazalendo na wana malengo mema, kwa hiyo ni vyema wakatumia nafasi hii ya utayari walionao kupata ufumbuzi wa kidemokrasia,” aliongeza.

Waziri huyo pia amemuomba Rais Samia kujenga kasi ya hatua zilizochukuliwa wakati wa siku za kwanza za urais
wake ambako alijitahidi kuondoa vizuizi kwa vyombo vya habari na kutangaza mazungumzo makubwa na asasi za kiraia.

Pia alimsihi Rais Samia, kuhakikisha ulinzi wa haki za binadamu na raia wote watendewe haki chini ya sheria, bila kujali ushirika wao kisiasa.

“Wakati anaanza na matamanio makubwa kidemokrasia na wapinzani pia walionyesha utayari kumuunga mkono, hatua nzuri sana zilishachukuliwa mwanzoni,” alisema.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.

Chanzo: MWANANCHI, 5 AUGUST 2021


My take:
Sarakasi za wahafidhina wanaomshinikiza Samia ndani ya CCM zinaelekea ukingoni. Soon
Over the years, Guantánamo has held nearly 800 people, but now just 40 men are imprisoned there, and almost three-quarters of them have never been criminally charged. They're known as "forever prisoners" and they're being detained indefinitely. Some have been there for almost two decades.10 Jul 2021

Mytake:
Huyo Waziri kafunika kombe tu ili mwanaharamu apite. Hakuna watu wanaogopa Ugaidi kama wao. Angalia hapo juu wana wafungwa 40 kwa miaka 20 hawajawahi hata kuwafikisha Mahakamani
 
inaonekana jumong kawaachia wahuni wa ccm kuendesha serikali yake kihunihuni.
 
Natamani Pro-ccm waendelee kufa kwa covid-19. I don't care hasa polisi
 
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumeibua mjadala, ambapo nchi ya Marekani imeshauri kuwepo na majadiliano kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na vyama vya upinzani.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa Nchi wa Masuala ya Siasa wa Marekani, Victoria Nuland alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia mkutano wake na Rais Samia na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapo jana.

Waziri huyo alisema miongoni mwa mambo aliyozungumza na Rais Samia ni hofu ya Marekani kwenye utaratibu uliotumika kumkamata na kumshitaki Mbowe, huku akiomba Serikali ifuate misingi ya haki na sheria katika kesi hiyo.

“Ni muhimu kabisa kwamba hali hii itatuliwe kwa njia itakayofuata sheria kwa uharaka na uwazi. Hiyo ni muhimu katika kukuza nguvu ya demokrasia nchini Tanzania,” alisema.


Nuland alisema ana matumaini kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi kwa majadiliano baina ya pande zote mbili, baada ya wote kuonyesha utayari wa kukutana na kulizungumza.

“Kwa mtazamo wangu pande zote mbili ni wazalendo na wana malengo mema, kwa hiyo ni vyema wakatumia nafasi hii ya utayari walionao kupata ufumbuzi wa kidemokrasia,” aliongeza.

Waziri huyo pia amemuomba Rais Samia kujenga kasi ya hatua zilizochukuliwa wakati wa siku za kwanza za urais
wake ambako alijitahidi kuondoa vizuizi kwa vyombo vya habari na kutangaza mazungumzo makubwa na asasi za kiraia.

Pia alimsihi Rais Samia, kuhakikisha ulinzi wa haki za binadamu na raia wote watendewe haki chini ya sheria, bila kujali ushirika wao kisiasa.

“Wakati anaanza na matamanio makubwa kidemokrasia na wapinzani pia walionyesha utayari kumuunga mkono, hatua nzuri sana zilishachukuliwa mwanzoni,” alisema.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.

Chanzo: MWANANCHI, 5 AUGUST 2021


My take:
Sarakasi za wahafidhina wanaomshinikiza Samia ndani ya CCM zinaelekea ukingoni. Soon
Makamu wetu wa rais atakapo kwenda marekani akawashauri na pia kuwapa maelekezo kina Joe biden ya namna bora ya kuwaongoza wamarekani!
Dr. JPM (may your precious soul rest in eternal peace and power, amen 🙏) how we miss you!
 
Marekani wasituingilie mambo ya ndani ya nchi kule kwao kuna watu mpaka wanakimbilia nchi nyingine mbona hatuingilii mambo yao
Mambo ya ndani yapi hayo kama mpaka mipira ya kiume mnapewa bure,mkipata Ukimwi mnaomba ARV,mkiishiwa Chakula mnaenda kutembeza bakuli?
 
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumeibua mjadala, ambapo nchi ya Marekani imeshauri kuwepo na majadiliano kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na vyama vya upinzani.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa Nchi wa Masuala ya Siasa wa Marekani, Victoria Nuland alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia mkutano wake na Rais Samia na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapo jana.

Waziri huyo alisema miongoni mwa mambo aliyozungumza na Rais Samia ni hofu ya Marekani kwenye utaratibu uliotumika kumkamata na kumshitaki Mbowe, huku akiomba Serikali ifuate misingi ya haki na sheria katika kesi hiyo.

“Ni muhimu kabisa kwamba hali hii itatuliwe kwa njia itakayofuata sheria kwa uharaka na uwazi. Hiyo ni muhimu katika kukuza nguvu ya demokrasia nchini Tanzania,” alisema.


Nuland alisema ana matumaini kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi kwa majadiliano baina ya pande zote mbili, baada ya wote kuonyesha utayari wa kukutana na kulizungumza.

“Kwa mtazamo wangu pande zote mbili ni wazalendo na wana malengo mema, kwa hiyo ni vyema wakatumia nafasi hii ya utayari walionao kupata ufumbuzi wa kidemokrasia,” aliongeza.

Waziri huyo pia amemuomba Rais Samia kujenga kasi ya hatua zilizochukuliwa wakati wa siku za kwanza za urais
wake ambako alijitahidi kuondoa vizuizi kwa vyombo vya habari na kutangaza mazungumzo makubwa na asasi za kiraia.

Pia alimsihi Rais Samia, kuhakikisha ulinzi wa haki za binadamu na raia wote watendewe haki chini ya sheria, bila kujali ushirika wao kisiasa.

“Wakati anaanza na matamanio makubwa kidemokrasia na wapinzani pia walionyesha utayari kumuunga mkono, hatua nzuri sana zilishachukuliwa mwanzoni,” alisema.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.

Chanzo: MWANANCHI, 5 AUGUST 2021


My take:
Sarakasi za wahafidhina wanaomshinikiza Samia ndani ya CCM zinaelekea ukingoni. Soon
Good observation, their days are numbered!Justice delayed is Justice denied. CCM need to learn hard way,slow learners.
 
Chadema wanastahili kubinywa mbupu zao mpaka zitoe damu....wameona mbabe kaondoka wameanza kuleta vurugu,wakati wa magu walitulia kama hawapo aliposema hakuna siasa walielewa....sasa kaja huyu mama wanaona wamepata mteremko chadema heshimuni sheria kuweni wastaarabu,movement wakati wa jiwe mlisitisha sasa acha mbowe apate joto la jiwe huko aliko huku lissu anakula bata ulaya.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Kwa uelewa wangu mdogo, Tanzania ni sehemu ya jumuia ya kimataifa, siyo kisiwa. Hata Rais wetu Samia amesisitiza hilo.

Unapodhamiria kurejesha uhusiano mzuri na mataifa ya Magharibi ikiwemo Marekani hutaweza kukwepa kuzungumzia masuala ya demokrasia ya vyama vingi, haki na utawala wa sheria, kukusanyika na uhuru wa kutoa mawazo vikiwemo vyombo vya habari vinginevyo hawatakuelewa. Ndiyo sababu Rais karuhusu Naibu Waziri wa Marekani kukutana na vyama vya upinzani na pengine hata ngos. Ubabe hausaidii sana. Turejee yanayoendelea huko Korea Kaskazini - kiuchumi na hali za maisha ya mwananchi wake kwa ujumla. Rais wetu anadhamira nzuri na hataki kuelekee huko.
 
Yamefanyika mambo makubwa Sana nchi hii ya kutisha hao wazungu mnaowategemea hawajafanya lolote, haya ya sasa ni madogo Sana.
 
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumeibua mjadala, ambapo nchi ya Marekani imeshauri kuwepo na majadiliano kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na vyama vya upinzani.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa Nchi wa Masuala ya Siasa wa Marekani, Victoria Nuland alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia mkutano wake na Rais Samia na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapo jana.

Waziri huyo alisema miongoni mwa mambo aliyozungumza na Rais Samia ni hofu ya Marekani kwenye utaratibu uliotumika kumkamata na kumshitaki Mbowe, huku akiomba Serikali ifuate misingi ya haki na sheria katika kesi hiyo.

“Ni muhimu kabisa kwamba hali hii itatuliwe kwa njia itakayofuata sheria kwa uharaka na uwazi. Hiyo ni muhimu katika kukuza nguvu ya demokrasia nchini Tanzania,” alisema.


Nuland alisema ana matumaini kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi kwa majadiliano baina ya pande zote mbili, baada ya wote kuonyesha utayari wa kukutana na kulizungumza.

“Kwa mtazamo wangu pande zote mbili ni wazalendo na wana malengo mema, kwa hiyo ni vyema wakatumia nafasi hii ya utayari walionao kupata ufumbuzi wa kidemokrasia,” aliongeza.

Waziri huyo pia amemuomba Rais Samia kujenga kasi ya hatua zilizochukuliwa wakati wa siku za kwanza za urais
wake ambako alijitahidi kuondoa vizuizi kwa vyombo vya habari na kutangaza mazungumzo makubwa na asasi za kiraia.

Pia alimsihi Rais Samia, kuhakikisha ulinzi wa haki za binadamu na raia wote watendewe haki chini ya sheria, bila kujali ushirika wao kisiasa.

“Wakati anaanza na matamanio makubwa kidemokrasia na wapinzani pia walionyesha utayari kumuunga mkono, hatua nzuri sana zilishachukuliwa mwanzoni,” alisema.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.

Chanzo: MWANANCHI, 5 AUGUST 2021


My take:
Sarakasi za wahafidhina wanaomshinikiza Samia ndani ya CCM zinaelekea ukingoni. Soon
Mmarekani ukimkaribisha sebuleni, atatamani kuona unapolala pia na kukukosoa utandikaji wa kitanda na aina ya mapazia yaliyowekwa madirishani.

Tuna Uhuru wa kitambaa cha bendera, hatuna uhuru wa kiuchumi, usalama na afya. Upinzani wa ndani na nje ya serikali ndio hutumika zaidi kufanikisha kuingilia nchi zenye uhuru wa bendera kama Tanzania.

Siku Joe Biden akitua Tanzania, atahodhi ikulu nzima kuanzia hewani, majini na ardhini mamlaka ya nchi itatii nguvu yake. Kuna safari ndefu sana kujikomboa kifikra na kivitendo kwa ajili ya watanzania wenyewe.
 
Wanashangaa nchi gani hii inatawaliwa na wahuni tu anafariki muhuni moja na kurithiwa na muhuni mwingine inatufanya watanzania tudharaulike sana.
 
Back
Top Bottom