Mbona Mandela na Nyerere ndio walikua wanaomba duniani kuwapiga vikwazo Afrika Kusini na S.Rhodesia? Ni kitu cha kawaida kuomba intervention ya Nchi washirika hata Burundi wakivurugana au Rwanda tunaona kina Mkapa wanaenda kusuluhisha unless haujui maana ya diplomasia
Hawana akili hao sijui huwa wanafikilia kwa kutumia nini
 
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumeibua mjadala, ambapo nchi ya Marekani imeshauri kuwepo na majadiliano kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na vyama vya upinzani.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa Nchi wa Masuala ya Siasa wa Marekani, Victoria Nuland alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia mkutano wake na Rais Samia na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapo jana.

Waziri huyo alisema miongoni mwa mambo aliyozungumza na Rais Samia ni hofu ya Marekani kwenye utaratibu uliotumika kumkamata na kumshitaki Mbowe, huku akiomba Serikali ifuate misingi ya haki na sheria katika kesi hiyo.

“Ni muhimu kabisa kwamba hali hii itatuliwe kwa njia itakayofuata sheria kwa uharaka na uwazi. Hiyo ni muhimu katika kukuza nguvu ya demokrasia nchini Tanzania,” alisema.


Nuland alisema ana matumaini kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi kwa majadiliano baina ya pande zote mbili, baada ya wote kuonyesha utayari wa kukutana na kulizungumza.

“Kwa mtazamo wangu pande zote mbili ni wazalendo na wana malengo mema, kwa hiyo ni vyema wakatumia nafasi hii ya utayari walionao kupata ufumbuzi wa kidemokrasia,” aliongeza.

Waziri huyo pia amemuomba Rais Samia kujenga kasi ya hatua zilizochukuliwa wakati wa siku za kwanza za urais
wake ambako alijitahidi kuondoa vizuizi kwa vyombo vya habari na kutangaza mazungumzo makubwa na asasi za kiraia.

Pia alimsihi Rais Samia, kuhakikisha ulinzi wa haki za binadamu na raia wote watendewe haki chini ya sheria, bila kujali ushirika wao kisiasa.

“Wakati anaanza na matamanio makubwa kidemokrasia na wapinzani pia walionyesha utayari kumuunga mkono, hatua nzuri sana zilishachukuliwa mwanzoni,” alisema.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.

Chanzo: MWANANCHI, 5 AUGUST 2021


My take:
Sarakasi za wahafidhina wanaomshinikiza Samia ndani ya CCM zinaelekea ukingoni. Soon
Tunashida sana yaani hadi watu watoke Marekani watuambie tufanye majadiliano, yaani Rais hakuona umuhimu wa kufanya majadiliano ? Siasa zetu za hovyo sana, hadi kujadiliana tuambiwe na Marekani.
 
Mbowe amekosea timing......huu sio muda wa Siasa za matusi na zilizokosa adabu. Cdm wasingatie sheria hakuna aliye juu ya sheria.

Never underestimate woman...she is iron lady in polite face. Siku Mia moja tu alibadili mfumo mzima wa mtawala mwenzake! She is who she is....watahitaji huruma sana ya mataifa ya nje. Watakuja,watasema,wataongea mwisho wataondoka.
Kama alitukana,kesi ya ugaidi imekujaje?
au sheria zimebadirika utawala huu,ukitukana ni ugaidi?
Ccm mmechanganyikiwa sana.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumeibua mjadala, ambapo nchi ya Marekani imeshauri kuwepo na majadiliano kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na vyama vya upinzani.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa Nchi wa Masuala ya Siasa wa Marekani, Victoria Nuland alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia mkutano wake na Rais Samia na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapo jana.

Waziri huyo alisema miongoni mwa mambo aliyozungumza na Rais Samia ni hofu ya Marekani kwenye utaratibu uliotumika kumkamata na kumshitaki Mbowe, huku akiomba Serikali ifuate misingi ya haki na sheria katika kesi hiyo.

“Ni muhimu kabisa kwamba hali hii itatuliwe kwa njia itakayofuata sheria kwa uharaka na uwazi. Hiyo ni muhimu katika kukuza nguvu ya demokrasia nchini Tanzania,” alisema.


Nuland alisema ana matumaini kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi kwa majadiliano baina ya pande zote mbili, baada ya wote kuonyesha utayari wa kukutana na kulizungumza.

“Kwa mtazamo wangu pande zote mbili ni wazalendo na wana malengo mema, kwa hiyo ni vyema wakatumia nafasi hii ya utayari walionao kupata ufumbuzi wa kidemokrasia,” aliongeza.

Waziri huyo pia amemuomba Rais Samia kujenga kasi ya hatua zilizochukuliwa wakati wa siku za kwanza za urais
wake ambako alijitahidi kuondoa vizuizi kwa vyombo vya habari na kutangaza mazungumzo makubwa na asasi za kiraia.

Pia alimsihi Rais Samia, kuhakikisha ulinzi wa haki za binadamu na raia wote watendewe haki chini ya sheria, bila kujali ushirika wao kisiasa.

“Wakati anaanza na matamanio makubwa kidemokrasia na wapinzani pia walionyesha utayari kumuunga mkono, hatua nzuri sana zilishachukuliwa mwanzoni,” alisema.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.

Chanzo: MWANANCHI, 5 AUGUST 2021


My take:
Sarakasi za wahafidhina wanaomshinikiza Samia ndani ya CCM zinaelekea ukingoni. Soon


Kuna rafiki yangu mkulima anaitwa maridhiano yeye kazi nikurembua na kuuza sura kwa majirani nyani wanaanza kumchezea mpka washaanza kumchezea machoni.
 
Marekani ndiyo nchi pekee duniani iliiyojitosa kutokomeza UGAIDI duniani, ilifanya hivyo kumtokomeza Osama na genge lake, IS na vikundi vingi vingi tu vya ugaidi duniani.

Sasa juzi wamesikia kuna GAIDI mwingine kagundulika hapa hapa Tanzania, sasa kwa kuwa Marekani na Tanzania ni nchi zenye uhusiano mkubwa tangu enzi za Mwalimu na Rais wao Keneddy - wameona ni vema waje kuangalia huyu Gaidi mpya wa East Africa ni nani..ili basi ikiwezekana watoe msaada wa FBI kuusaka mtandao wake wote popote ulipo duniani.

Kwa hiyo ndugu zangu Marekeni ipo kufuatilia UGAIDI ulioibuka Tanzania... stay turned....
Tumia akili kidogo ulobaki nayo, maana nyingi ulimkabidhi mwenda zake.
Waziri mdogo wa ulinzi wa marekani ni mtu mkubwa sana,hawezi fuatilia ugaidi kwa styre hii.
Marekani imeona uonevu,ukandamizaji na uvunjifu wa Democraticy.

Ametumwa kuja kuishauri serikali ifuate utawala wa sheria na demokrasia.
Sasa mgomee mwone.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz..
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Demokrasia sio kuvunja amani.
Amani ipi iliyovunjwa?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Chadema lengo lao na dhamira yao haswa sio suluhu bali ni kuichafua taswira ya Tanzania, na jambo hilo wamekuwa wakilifanya kwa makusudi/kwa nia ovu.
ni watu wa ajabu sana!! wanashindwa kutofautisha kati ya CCM na TANZANIA au CHADEMA!!! vyama vinaweza kufa lkn sio nchi. kwa mtizamo wangu Chadema hawachafui image ya CCM!!! bali wanachafua image ya TANZANIA.
hata hayo mataifa makubwa yanatushangaa!!!
hakuna jambo SERIOUS kiasi cha kutaka intervention ya Marekani,
hata hivyo Rais Samia baada ya siku 100 aliahidi kukutana na kuzungumza na viongozi wa vyama vya upinzani, sasa ona UJEURI wa Viongozi wa Chadema.
kuna watu nyuma yao wasio itakia heri Tanzania.
Wanaichafua serikali ya CCM na sio NCHI. Anyway mmesikia ushauri wa beberu huyo kwamba alianza vizuri na wapinzani walimsupport so arudi kwenye misingi yake asitake kujifanya dikteta maana hiyo vita hatoiweza.

JPM pamoja na kufungia vyama na kujenga mabarabara na kununua mapangaboi bado hali ilikuwa hivi hapo chini.... Je itakuwaje kwa hyu mama ambaye utendaji umemshinda na udikteta nao anajifunza??

 
Tunashida sana yaani hadi watu watoke Marekani watuambie tufanye majadiliano, yaani Rais hakuona umuhimu wa kufanya majadiliano ? Siasa zetu za hovyo sana, hadi kujadiliana tuambiwe na Marekani.
Ccm isipoondolewa mamlakani tutaendelea kukwama sana kama Nchi
 
Mbowe amekosea timing......huu sio muda wa Siasa za matusi na zilizokosa adabu. Cdm wasingatie sheria hakuna aliye juu ya sheria.

Never underestimate woman...she is iron lady in polite face. Siku Mia moja tu alibadili mfumo mzima wa mtawala mwenzake! She is who she is....watahitaji huruma sana ya mataifa ya nje. Watakuja,watasema,wataongea mwisho wataondoka.
Wewe Shoga jibwa, Mbowe alimtukana nani ku**ma mbwa koko nyie?
Sasa huo Iron Lady wake umeshakufa ku**ma CCM wewe
 
Marekani ndiyo nchi pekee duniani iliiyojitosa kutokomeza UGAIDI duniani, ilifanya hivyo kumtokomeza Osama na genge lake, IS na vikundi vingi vingi tu vya ugaidi duniani.

Sasa juzi wamesikia kuna GAIDI mwingine kagundulika hapa hapa Tanzania, sasa kwa kuwa Marekani na Tanzania ni nchi zenye uhusiano mkubwa tangu enzi za Mwalimu na Rais wao Keneddy - wameona ni vema waje kuangalia huyu Gaidi mpya wa East Africa ni nani..ili basi ikiwezekana watoe msaada wa FBI kuusaka mtandao wake wote popote ulipo duniani.

Kwa hiyo ndugu zangu Marekeni ipo kufuatilia UGAIDI ulioibuka Tanzania... stay turned....
Ma CCM mashenz sana majibwa haya...
 
Kwa ujumla Hali ya kisiasa Tanzania,Haina tofauti na Afghanistan. UN waingie TU kunusuru wanasiasa. CDM wamekuwa kama dikidiki kwenye nchi Yao.
Ni kweli kabisa, na hata hao waAmerika waje kuongeza nguvu kama walivyofanya Afghanistan enzi za kumsaka gaidi Osama Bin Laden.
 
Marekani wasituingilie mambo ya ndani ya nchi kule kwao kuna watu mpaka wanakimbilia nchi nyingine mbona hatuingilii mambo yao
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz..
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Demokrasia sio kuvunja amani.
usicheze na siasa za dunia chanjo ya korona umepewa kama zawadi ndio uwe kaidi. tunataka katiba ndio mwisho wa yote.
 
Mbowe amekosea timing......

Mbowe au serikali kupitia poliCCM? Mbowe has always been consistent katika kufanya shughuli zake za kisiasa..
huu sio muda wa Siasa za matusi na zilizokosa adabu. Cdm wasingatie sheria hakuna aliye juu ya sheria.

Mmmh, haya ni yako. Sina hakika kama unaweza kuonesha hayo matusi...

By the way, usichanganye lugha ya siasa na matusi mnayotukanana huko mtaani kwenu..!
Never underestimate woman...she is iron lady in polite face...

She is absolutely nothing. She is not an "Iron lady" rather she's a dust of soil which can be dissolved into water and turn it to mud anytime..!
Siku Mia moja tu alibadili mfumo mzima wa mtawala mwenzake! She is who she is....

Are you serious? What has changed since the departure of the deceased..? Everything is almost the same if not worse. Remember she's just 4 months in the office and she already looks tired and weared and she has nothing in hand to show..!!
watahitaji huruma sana ya mataifa ya nje. Watakuja,watasema,wataongea mwisho wataondoka.
Unaonesha kila dalili ya kujifariji ktk nafsi yako kwa HAKUNA. Without the international community, Tanzania can't stand alone..

So, what should we do as Tanzanians?

Simple. Let's comply with our Constitution, laws and orders. We have also to abide with international community regulations in which Tanzania is a signatory...

NB: HAKI HUINUA TAIFA. Pasipo na HAKI hakuna AMANI. HAKI ndiyo msingi wa HAKI. Ukiziweka haki za raia pembeni, utapigiwa kelele za ndani na za nje mpaka utakoma...!

Unataka mama yako akome siyo??
 
Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.
Mulamula acha talalila. Sema siyo priority, muda upo mwingi tu. Mbona amepata muda wa kuongea na Siro wamtese bowe? Rubbish statement from a high-ranking gov officer! Erythrocyte
 
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumeibua mjadala, ambapo nchi ya Marekani imeshauri kuwepo na majadiliano kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na vyama vya upinzani.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa Nchi wa Masuala ya Siasa wa Marekani, Victoria Nuland alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia mkutano wake na Rais Samia na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapo jana.

Waziri huyo alisema miongoni mwa mambo aliyozungumza na Rais Samia ni hofu ya Marekani kwenye utaratibu uliotumika kumkamata na kumshitaki Mbowe, huku akiomba Serikali ifuate misingi ya haki na sheria katika kesi hiyo.

“Ni muhimu kabisa kwamba hali hii itatuliwe kwa njia itakayofuata sheria kwa uharaka na uwazi. Hiyo ni muhimu katika kukuza nguvu ya demokrasia nchini Tanzania,” alisema.


Nuland alisema ana matumaini kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi kwa majadiliano baina ya pande zote mbili, baada ya wote kuonyesha utayari wa kukutana na kulizungumza.

“Kwa mtazamo wangu pande zote mbili ni wazalendo na wana malengo mema, kwa hiyo ni vyema wakatumia nafasi hii ya utayari walionao kupata ufumbuzi wa kidemokrasia,” aliongeza.

Waziri huyo pia amemuomba Rais Samia kujenga kasi ya hatua zilizochukuliwa wakati wa siku za kwanza za urais
wake ambako alijitahidi kuondoa vizuizi kwa vyombo vya habari na kutangaza mazungumzo makubwa na asasi za kiraia.

Pia alimsihi Rais Samia, kuhakikisha ulinzi wa haki za binadamu na raia wote watendewe haki chini ya sheria, bila kujali ushirika wao kisiasa.

“Wakati anaanza na matamanio makubwa kidemokrasia na wapinzani pia walionyesha utayari kumuunga mkono, hatua nzuri sana zilishachukuliwa mwanzoni,” alisema.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.

Chanzo: MWANANCHI, 5 AUGUST 2021


My take:
Sarakasi za wahafidhina wanaomshinikiza Samia ndani ya CCM zinaelekea ukingoni. Soon
Mama anajiharibia mambo yake asifikiri ni ukewenza huu eti!
 
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumeibua mjadala, ambapo nchi ya Marekani imeshauri kuwepo na majadiliano kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na vyama vya upinzani.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa Nchi wa Masuala ya Siasa wa Marekani, Victoria Nuland alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia mkutano wake na Rais Samia na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa hapo jana.

Waziri huyo alisema miongoni mwa mambo aliyozungumza na Rais Samia ni hofu ya Marekani kwenye utaratibu uliotumika kumkamata na kumshitaki Mbowe, huku akiomba Serikali ifuate misingi ya haki na sheria katika kesi hiyo.

“Ni muhimu kabisa kwamba hali hii itatuliwe kwa njia itakayofuata sheria kwa uharaka na uwazi. Hiyo ni muhimu katika kukuza nguvu ya demokrasia nchini Tanzania,” alisema.


Nuland alisema ana matumaini kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi kwa majadiliano baina ya pande zote mbili, baada ya wote kuonyesha utayari wa kukutana na kulizungumza.

“Kwa mtazamo wangu pande zote mbili ni wazalendo na wana malengo mema, kwa hiyo ni vyema wakatumia nafasi hii ya utayari walionao kupata ufumbuzi wa kidemokrasia,” aliongeza.

Waziri huyo pia amemuomba Rais Samia kujenga kasi ya hatua zilizochukuliwa wakati wa siku za kwanza za urais
wake ambako alijitahidi kuondoa vizuizi kwa vyombo vya habari na kutangaza mazungumzo makubwa na asasi za kiraia.

Pia alimsihi Rais Samia, kuhakikisha ulinzi wa haki za binadamu na raia wote watendewe haki chini ya sheria, bila kujali ushirika wao kisiasa.

“Wakati anaanza na matamanio makubwa kidemokrasia na wapinzani pia walionyesha utayari kumuunga mkono, hatua nzuri sana zilishachukuliwa mwanzoni,” alisema.

Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana.

Chanzo: MWANANCHI, 5 AUGUST 2021


My take:
Sarakasi za wahafidhina wanaomshinikiza Samia ndani ya CCM zinaelekea ukingoni. Soon

Tatizo Ni pale kijana Mtanzania anapodhani na kufurahia kuwa Waziri wa marekani kapitaaaaaaa koteeeee. Kavukaaaa ugandaaaaa. Kavuka Cameroon kaja Tz kwa mahaba. Wajingaaaaa hawaitaishaaaaa.
 
Back
Top Bottom