Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

Ufadhili wa ugaidi, hawa magaidi wote wakubwa duniani, vile vikundi vikubwa vya ugaidi kama HAMAS, HOUTH, HEZBOLAH n.k mfadhili wao mkuu ni Iran.

Sasa wewe jiulize mfano HAMAS walimuulia nini yule Mtanzania? Kijana akawa mpaka anawaomba msamaha analia wasimuue ila wakamuua. Yule kijana ana nini anakijua kuhusu ugomvi wao na Israel hadi wamuuwe.

Yeyote anayefadhili ushenzi kama huu anapaswa kuangamizwa. Sasa Iran anataka amiliki Nuclear, akimiliki Nuclear ni hatari kwa dunia tena sana. Israel yeye hataki Iran amiliki Nuclear sababu Iran alishaapa kuifuta Israel ktk uso wa dunia. So anahakikisha Iran hamiliki hizo silaha.
wanachofanya HAMAS na vikundi vingine mbona ni ukatili wa kuzidi IDF, sometimes kwa watu wao wenyewe
  • Hamas attacked a bus transporting some of its Palestinian workers, killing at least eight people.
  • ‘Strangling Necks’: Abduction, torture and summary killings of Palestinians by Hamas forces during the 2014 Gaza/Israel conflict highlights a series of abuses, such as the extrajudicial execution of at least 23 Palestinians and the arrest and torture of dozens of others, including members and supporters of Hamas’s political rivals, Fatah.
  • Hamas forces also abducted, tortured or attacked members and supporters of Fatah, their main rival political organization within Gaza, including former members of the Palestinian Authority security forces.
  • Gaza Humanitarian Foundation accused Hamas of killing at least five of its Palestinian employees on Wednesday, as almost 40 other Palestinians were killed near the foundation’s aid sites in the Gaza Strip.
wa palestina wanakuwa na amani zaidi kukamatwa na IDF kuliko kuwa na kesi na HAMAS
 
Huo sio ushujaa no cold blooded murder, we mtu na akili zako timamu unakwenda kuvizia familia usiku WA manane unaua familia nzima ie Baba,Mama na watoto - watoto na mama zao wana hatia gani? Kama siyo uwenda wazimu tuiiteje!! Halafu watu wanachekelea eti Israel inajilinda dhidi ya Ugaidi - hivi magaidi wa kutaka kuidhuru Israel huwa yanajificha kwenye Closet??
 
Kwahiyo wewe una akili ya vita kuliko MOSSAD na CIA?
Unatakiwa uwaze nje ya box.
Kwahiyo hao CIA na Mossad ni miungu hawakosei?
2006 IDF iliua top commanders wa Hizbollah, lakini IDF ilichezea kichapo pale Bint Jubeir hadi wakakimbia na wakaacha vifaru.
Sasa tujibu wewe,je kuuawa kwa makamanda wa Hizbollah kuliwasaidia nini Israel ilhali walipigwa!?
 
Ufadhili wa ugaidi, hawa magaidi wote wakubwa duniani, vile vikundi vikubwa vya ugaidi kama HAMAS, HOUTH, HEZBOLAH n.k mfadhili wao mkuu ni Iran.

Sasa wewe jiulize mfano HAMAS walimuulia nini yule Mtanzania? Kijana akawa mpaka anawaomba msamaha analia wasimuue ila wakamuua. Yule kijana ana nini anakijua kuhusu ugomvi wao na Israel hadi wamuuwe.

Yeyote anayefadhili ushenzi kama huu anapaswa kuangamizwa. Sasa Iran anataka amiliki Nuclear, akimiliki Nuclear ni hatari kwa dunia tena sana. Israel yeye hataki Iran amiliki Nuclear sababu Iran alishaapa kuifuta Israel ktk uso wa dunia. So anahakikisha Iran hamiliki hizo silaha.
Wacha kuropoka wewe.
Hamas haijaanzishwa na Iran,Hamas iloanzishwa na hao hao Israel kwaajili ya kuipunguza nguvu PLO.
Pia Hamas kutetea ardhi yao wanakuwaje magaidi!?

Hizbollah haijaanzishwa na Iran,bali ilianzishwa kipindi Cha Beirut crisis 1959 ambapo Israel alichochea civil war ndani ya Lebanon.
Hizbollah kutetea Lebanon wanakuwaje magaidi!?

Houthi haikuanzishwa na Iran,bali ilikuja kuungana na Iran pale ilipotaka msaada wa kuondoa utawala wa Mansour ambaye ni mshirika wa Saudi Arabia na USA ilhali raia 99% wa Yemen hawamtaki.
Iran haikuwahi kuvamia taifa la mtu,ila Israel imewahi kuvamia mataifa kibao na kuanzisha migogoro katika hayo mataifa ikiwemo Syria na Lebanon.
Iran haikuwahi kutaka kumiliki nuclear,ila tangu 1995 Israel wanamuundia espionage Iran kumsingizia kuhusu nuclear.

Hivi ninyi mnatugeuza sisi watoto!?
Mnadhani hatusomi na hatufuatilii mambo!?
Kama USA asingekua anaiingilia masuala ya MIDDLE EAST basi kusingekuwa na vita.
Iraq ya Saddam Hussein walimzushia ana mabomu ya mass destruction,kumbe hana silaha za sumu zozote,wameenda wameua raia wasio na hatia na kuharibu nchi.
Libya wameiharibu hivyo hivyo, Gaddafi aliwakosea nini!??

Aisee tunasoma na tunafuatilia mambo muwache kudanganya watu.
Gaidi mkuu ni USA na Iran.
 
What a good news, tusubiri sasa mtifuano wa Iran na washirika wake wa masuala ya zana za kisasa za China na Urusi zinazo husu ADS, tuone Israel na USA kama watatia pua katika anga la Iran, wakikumbuka jinsi ndege za Ufaransa aina za Mirage zilivyo tunguliwa na missiles za Uchina kutoka mamia ya kilometers from designated targets, French flying machines felled victim of Chinese no nonsense fire and forget air to air missiles as well as air to ground missiles - sioni kama Israel na Merikani watakubali kuaibika kwa ndege zao kutunguliwa mchana kweupe kwa kujitia ujuwaji!!

Nikikubuka jinsi Bombers za Kimerikani aina ya B-52 zilivyo kuwa zinatunguliwa huko VietNam kwa kutumia ADS zilizo undwa Urusi, hapo ndipo niliwavulia kofia jamaa hawa, hawana mchezo hata kidogo! That was then how about NOW??
Unajua kama hii vita ikitokea anguko la USA litazidi kuonekana.
Hapa tayari USA ameshaanguka,kinachombeba ni rekodi za zamani tu ila USA wa sasa sio wa zamani.
Sasa ikatokea vita ikaanza aisee anguko la moja kwa moja linamjia USA na Israel itapata maafa magumu kurekebishika.
Maafa ya mwanzo hadi sasa hayajarekebishika bado huko Israel bado Kuna magofu hayajajengwa.
Iran ni taifa lenye kuvumilia vita za miaka.
Israel haina historia ya kuvumilia vita za muda mrefu.

Pia makombora ya Iran tayari yashaonesha udhaifu wa ADS za USA na Israel.
Sasa hivi Iran ikipiga itapiga kipigo cha mwana ukome.
Kwa upande wa silaha China naiamini kuliko hata Urusi.
China imekua na silaha za kushangaza.
Hakuna mtu angeamini j10C zinaweza kui outsmart Raffalle.
 
Huo sio ushujaa no cold blooded murder, we mtu na akili zako timamu unakwenda kuvizia familia usiku WA manane unaua familia nzima ie Baba,Mama na watoto - watoto na mama zao wana hatia gani? Kama siyo uwenda wazimu tuiiteje!! Halafu watu wanachekelea eti Israel inajilinda dhidi ya Ugaidi - hivi magaidi wa kutaka kuidhuru Israel huwa yanajificha kwenye Closet??
CRIMINALS NA TERRORISTS WANAPIGWA WHEREVER THEY ARE, unintended damages/harms ni collateral damage
mbona we unaona ni sawa HAMAS kuteka na kuua unarmed civilians i,e october attacks on civilans??
 
Back
Top Bottom