Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

Chawa wa Netanyahu unatapatapa Trump alithibitisha Israel kapigwa kipigo ambacho yeye mwenyewe hajawahi kuona we myahudi wa kazuramimba ambae hujawahi kuskia hata sauti ya Ak 47 unasemaje hajapigwa?
"..Trump kathibitisha Israel kapigwa kipigo ambacho hajawahi kuona.."
Trump hajawahi kusema hayo uliyosema. Trump anachoweza kusema ni kuwa hii Vita imeleta athari kote, zipo sehemu Israel zimepigwa na missiles na kuharibiwa hasa majengo. Hivyo hivyo kwa Iran zipo sehemu zimeharibiwa kwa makombora
Kusema hujawahi kuona huo ni uongo, kombora likitua popote iwe ndani ya Iran au ndani ya Israel, basi lazima litaharibu hiyo sehemu

Pili, Trump huyuhuyu ambae alikua mara zote akisema amemsaidia kumuepusha ayatollah kutokufa kifo kibaya?

Mwisho, mm sio chawa but kuna vitu siwezi kukubaliana navyo sababu uhalisia upo wazi. Hata akitokea mtu akisema Israel kashinda bado sitakubali nina sababu za msingi kukataa hilo, hivyo hivyo kwa Iran
 
"..Trump kathibitisha Israel kapigwa kipigo ambacho hajawahi kuona.."
Trump hajawahi kusema hayo uliyosema. Trump anachoweza kusema ni kuwa hii Vita imeleta athari kote, zipo sehemu Israel zimepigwa na missiles na kuharibiwa hasa majengo. Hivyo hivyo kwa Iran zipo sehemu zimeharibiwa kwa makombora
Kusema hujawahi kuona huo ni uongo, kombora likitua popote iwe ndani ya Iran au ndani ya Israel, basi lazima litaharibu hiyo sehemu

Pili, Trump huyuhuyu ambae alikua mara zote akisema amemsaidia kumuepusha ayatollah kutokufa kifo kibaya?

Mwisho, mm sio chawa but kuna vitu siwezi kukubaliana navyo sababu uhalisia upo wazi. Hata akitokea mtu akisema Israel kashinda bado sitakubali nina sababu za msingi kukataa hilo, hivyo hivyo kwa Iran
Israel got hit really hard anasema Trump we myahudi wa kazuramimba unasema hajawahi kusema?


View: https://youtube.com/shorts/RQ3uyrOnNuI?si=FlU1O7VZOPFN3ZNK
 
"..Trump kathibitisha Israel kapigwa kipigo ambacho hajawahi kuona.."
Trump hajawahi kusema hayo uliyosema. Trump anachoweza kusema ni kuwa hii Vita imeleta athari kote, zipo sehemu Israel zimepigwa na missiles na kuharibiwa hasa majengo. Hivyo hivyo kwa Iran zipo sehemu zimeharibiwa kwa makombora
Kusema hujawahi kuona huo ni uongo, kombora likitua popote iwe ndani ya Iran au ndani ya Israel, basi lazima litaharibu hiyo sehemu

Pili, Trump huyuhuyu ambae alikua mara zote akisema amemsaidia kumuepusha ayatollah kutokufa kifo kibaya?

Mwisho, mm sio chawa but kuna vitu siwezi kukubaliana navyo sababu uhalisia upo wazi. Hata akitokea mtu akisema Israel kashinda bado sitakubali nina sababu za msingi kukataa hilo, hivyo hivyo kwa Iran
Iran walinyooshwa na vizuri, Israel mpaka leo wanachezea sharubu za Ayatollah
 
Iran walinyooshwa na vizuri, Israel mpaka leo wanachezea sharubu za Ayatollah
Hii Vita nimeifatilia kwa ukaribu mno karibu kila kinachotokea, siwezi kukubali uniongopee wakati najionea kinachoendelea.
Israel hakushinda, Israel angeshinda basi hadi Leo angekua anapeleka ndege zake kupiga popote abapotaka Kama anavyofanya gaza au kusini mwa lebanon
 
Mkuu ulichoandika mwanzo hakipo sawa na hiki. Rejea kusoma comment yangu hapo juu

Ulisema Trump kathibisha Israel kapigwa kipigo ambacho hajawahi kuona. Nilichokijibu ni kuwa trump hajawahi kusema hivyo, umeweka video ambayo ni kweli hajasema ulichosema.
video trump kasema "Israel kachapika sana na makombora ya msafara marefu ya Iran yameharibu majengo mengi sana huko Israel"

We Myahudi wa kazuramimba unasema Israel hajapigwa kati ya Trump na Padre wako anaekudanganya tumuamini nani?
 
Loh!! Hapo naona patachimbika kweli kweli nina uhakika hata B-2 Bomber lita kuwa swept from the sky like flies😁
Hawawezi zipeleka hizo B-2 itakuwa fedheha kwa USA . walizipeleka kipindi kile kwasababu AD system za Iran zilikuwa down
 
video trump kasema "Israel kachapika sana na makombora ya msafara marefu ya Iran yameharibu majengo mengi sana huko Israel"

We Myahudi wa kazuramimba unasema Israel hajapigwa kati ya Trump na Padre wako anaekudanganya tumuamini nani?
Tulichoanza kubishana mwanzo na unachoendelea kusema Sasa hivi ni tofauti. Ungeandika hivi toka mwanzo pengine wala hata nisingebisha, sababu bila hata Trump kusema Mimi pia naamini hiko kimetokea
 
Una matatizo wewe
Hapana, nilipinga alichoandika mwanzo. Trump asingeweza kusema vile.

But huyu huyu Trump pia amesema kuhusu Iran kupigwa hardly, ikiwemo kuharibiwa kabisa kwa vinu vya nyuklia. Hapa sidhani kama utampinga

Hoja yangu ilikua ni hapo, hii vita kusema fulani kashinda ndio kitu nakataa. Sababu kombora likifanikiwa kupenya lazima madhara uyapate, hivyo hivyo pia fighter jets zikiingia kwenye anga lako na kushambulia lazima madhara uyapate
 
Kwahiyo tunakubaliana Israel kachapika sana?
Mkuu hiko kitu cha Israel kupigwa na makombora ya Iran nawezaje kukataa?? Huo ni ukweli makombora yamepiga Israel

Hoja yangu ilikua ni nani kashinda. Sababu hata fighter jets za Israel zimepiga makombora Iran
 
Mkuu hiko kitu cha Israel kupigwa na makombora ya Iran nawezaje kukataa?? Huo ni ukweli makombora yamepiga Israel

Hoja yangu ilikua ni nani kashinda. Sababu hata fighter jets za Israel zimepiga makombora Iran
Hata ukipigana na mtu ambae hajui ngumi lazima akuotee ngumi chache
 
Hii Vita nimeifatilia kwa ukaribu mno karibu kila kinachotokea, siwezi kukubali uniongopee wakati najionea kinachoendelea.
Israel hakushinda, Israel angeshinda basi hadi Leo angekua anapeleka ndege zake kupiga popote abapotaka Kama anavyofanya gaza au kusini mwa lebanon
mbona Mossad wanaishi Irana na kufuatilia any new evel development, mpaka mademu wa Mossad wanashika sharubu za Ayatollah

View: https://www.youtube.com/shorts/IwHk5I420sw?t=2&feature=share
 
Hapana, nilipinga alichoandika mwanzo. Trump asingeweza kusema vile.

But huyu huyu Trump pia amesema kuhusu Iran kupigwa hardly, ikiwemo kuharibiwa kabisa kwa vinu vya nyuklia. Hapa sidhani kama utampinga

Hoja yangu ilikua ni hapo, hii vita kusema fulani kashinda ndio kitu nakataa. Sababu kombora likifanikiwa kupenya lazima madhara uyapate, hivyo hivyo pia fighter jets zikiingia kwenye anga lako na kushambulia lazima madhara uyapate
Acha utoto
 
mbona Mossad wanaishi Irana na kufuatilia any new evel development, mpaka mademu wa Mossad wanashika sharubu za Ayatollah

View: https://www.youtube.com/shorts/IwHk5I420sw?t=2&feature=share

Pro Israel na Pro Iran nyie ni wagumu sana wa kuelewa
Israel wanatamani wangeapply Lebanon mode ndani ya Iran, kwa maana kwamba wangekua wanaweza kuingia na kupiga pale popote wanapotaka bila Iran kurudisha majibu. Kama israel wangekua wameshinda basi hadi leo hii wangekua wanaingiza ndege zao na kufanya wanachofanya bila Iran kurudisha majibu

Wanachofanya sasa ni hao infiltrators/agents kuharibu au kushambulia bila kujulikana, hii Ni tofauti na wanachofanya Lebanon
 
Jamani kama kuna moshi wa 🔥
Screenshot_20250802-192815.png
 
Back
Top Bottom