Eti "kurusha makombora hovyo hovyo" yaani unajitia hujui jeshi la Zelensky linafanya nini kusini mwa Ukraine ambako asili mia ya wakazi wake
wenye asili ya Urusi kwenyewe je,unajua drones ngapi zinarushwa na jeshi la Ukraine/Zelensky kwenda kuwashambulia raia na sio wanajeshi, Zelensky anavurumisha mpaka mizinga ya 155mm kubomoa nyumba za wakazi, Hospitoli kumbuka hayo yote ni makazi ya Raia sio wanajeshi wala kambi ah vifaa vya kijeshi na Urusi ilisha sema siku nyingi kwamba jeshi lake halilengi makazi ya RAIA.