implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 2,109
- 2,155
Mpe mistari mkuu,sijui kama kakuelewa, maana alikua ajazaliwa.Kwamba!?..kuna tofauti gani Kati ya temeke na mbezi,au ukiishi mbezi ukifa unakua huozi!?
Mpe mistari mkuu,sijui kama kakuelewa, maana alikua ajazaliwa.Kwamba!?..kuna tofauti gani Kati ya temeke na mbezi,au ukiishi mbezi ukifa unakua huozi!?
Bora umtaje China hasa katika ule mtifuano wa majuzi kati ya India na Pakistan na bado pia kuna walakini mwingi hapa.
Urusi nafkiri apumzishwe tu. Tulimkuza sana kuliko uhalisia wake. Mostly ya ADS zake zimeshapigwa katika hiyo Military Operation aliyoanzisha dhidi ya Ukraine.
Wacha uongo wako eti "ADS zili kuwa zinapandishwa ghorofani !!!" Hivi unajua battery moja ya an integrated air defense system in comprise sub assemblies ngapi na zenye uzito gani? Chukulia S350 na S400 kwa mfano,Zilipigwa AD zenyewe hadi maeneo yanayolindwa kabisa na hizo S400 na takataka zingine. Ikafika wakati hadi wakawa wamezipandisha juu ya maghorofa. ADS za Russia zimechemsha sana tu.
Ile meli ilipigwa na drone ya kwenye majiS300 hadi S400 zote hizo zilishapigwa. Kumbuka hata ile MS MOSKVA meli kubwa ilokuwa ikiishambulia Ukraine ilikuwa na mifumo hiyo tajwa hapo juu na bado ikadondoshwa.
Hizo S300 hadi S400 na other equipements bora za ulinzi za Russia zimeshapigwa sana saana hapo Russia unless hii vita hujaanza nayo kuifatilia toka February 22, 2022.
IT IS too COMPITECTED, it is not easy to comprehendUfadhili wa ugaidi, hawa magaidi wote wakubwa duniani, vile vikundi vikubwa vya ugaidi kama HAMAS, HOUTH, HEZBOLAH n.k mfadhili wao mkuu ni Iran.
Sasa wewe jiulize mfano HAMAS walimuulia nini yule Mtanzania? Kijana akawa mpaka anawaomba msamaha analia wasimuue ila wakamuua. Yule kijana ana nini anakijua kuhusu ugomvi wao na Israel hadi wamuuwe.
Yeyote anayefadhili ushenzi kama huu anapaswa kuangamizwa. Sasa Iran anataka amiliki Nuclear, akimiliki Nuclear ni hatari kwa dunia tena sana. Israel yeye hataki Iran amiliki Nuclear sababu Iran alishaapa kuifuta Israel ktk uso wa dunia. So anahakikisha Iran hamiliki hizo silaha.
Jana tu waziri wa fedha wa Syria alikua moscow,na sidhani kama kaondoka, kasema wanaihitaji russia upande wao
- US involvement:
The US engaged in diplomatic talks with al-Sharaa after his appointment, and even dropped a $10 million reward for his arrest, which was a prior policy.
Wana Israel kwasasa ndo wanakimbia mazima nchi yaoSilali leo nasubiria hii vita, si wamesema hivi punde, Iran is going to be butchered again..!!
lakini naona Israel inaenda kufutwa kwenye ramani ya dunia maana kwa alinusurika kidogo kwenye zile siku 12 baada ya trump kuomba pooo ila kwa sasa sidhani kama Iran itakubali kusameheManeno ya vijuweni. Iran soon itakuwa kama Iraq au Libya.
Jana tu waziri wa fedha wa Syria alikua moscow,na sidhani kama kaondoka, kasema wanaihitaji russia upande wao
it is too complicated for u to fully comprehendunbreakable Israel, hawatakuwa wakimbizi tena, ila wanazungukwa na wakimbizi au inchi zinazozalisha wakimbiziWana Israel kwasasa ndo wanakimbia mazima nchi yao
Irani ndyo ilichapika, cream ya top military commanders walifyekwa, israel ni taifa la kivita, hawaogopi chochote, na kwa sababu mossad wapo Iran, utaona matokeo
People switch alliances,no wonder israel tried to assassinate him latelyit is too complicated for u to fully comprehend
Speculation swirls online and in conversations over which countries — Turkey, Arab and Gulf states, Ukraine, even the CIA or Israel — may have helped them with cash, weapons or training.
Hayat Tahrir al-Sham (HTS) and its leader Abu Mohammed al-Jolani, also known as Ahmed al-Sharaa may have benefitted indirectly from Turkish, Israeli and U.S. support for other anti-Assad rebel groups. Its leader, Ahmed al-Sharaa — formerly known by his nom de guerre, Abu Mohammed al-Jolani — had contact with U.S. officials through intermediaries in the past.
Ndani ya siku 12 tu cyprus ilipokea maelfu ya mazayuni wakimbizi acha wale waliokimbilia nchi west Europe na USAunbreakable Israel, hawatakuwa wakimbizi tena, ila wanazungukwa na wakimbizi au inchi zinazozalisha wakimbizi
Nimesoma sehemu ni ndani ya saa 72, tayari israel katest mitambo jana LebanonKazi ianze aisee
Kobazi mudi aliwafanya kitu kibaya sana.Iran ilipeleka MOTO mpaka muda wakusitisha Vita.
Vitu viko ewani Netanyahu akadai japo Iran imekiuka makubaliano lkn mm nitanyuti kufatana na makubaliano ya kusitisha Vita.
Kiburi kilimwisha Netanyahu.
Thank you, watu wengine ujisemea mambo tu kwa lengo la kutaka kufurahisha baraza.Ile meli ilipigwa na drone ya kwenye maji
Kuanzisha vurugu ghaliHuwa najiuliza kwani haya mataifa kama China Urusi na wengine wenye mlengo kama huo hawawezi kuamua kushambulia baadala ya kurinda nchi maana marekani atatusumbua mpaka lini yaani kila siku ni kujilinda dhidi ya marekani na washiraka wake hii haiko sawa bana ifike kipindi nawao wapigwe tukio
Iran itakuja kimoja, hakuna cha kusema sijui tumsalie NANI kwanza??lakini naona Israel inaenda kufutwa kwenye ramani ya dunia maana kwa alinusurika kidogo kwenye zile siku 12 baada ya trump kuomba pooo ila kwa sasa sidhani kama Iran itakubali kusamehe
Nimeona baadhi ya mataifa yanaomba raia wake waondoke.Nimesoma sehemu ni ndani ya saa 72, tayari israel katest mitambo jana Lebanon
Ayatollah hatoi mguu kwenye mahandaki.Tunaweza amka asubuhi kimenuka na ayatollah marehemu