Mapishi yamtoa binti nishai ukweni

Mapishi yamtoa binti nishai ukweni

Siunafundisha au aligoma?

Kuna wengine akipika mboga utahisi vipande vya tikiti vilivyomalizika kuliwa. Linyanya anakata kama sikio.. kitunguu anakikata mara nne tu biringanya unakutana nalo limeiva halijaiva daaah
 
Hahahahaaa!! Safi kabisa, taabu yote ya nini!!!
Hapo sasa

Ukizingatia umeolewa na mmoja

Na hakutaka chef alitaka mke....na anajua mkewe dhaifu jikoni...

Kisa cha kujipanikisha ni nini???
 
Back
Top Bottom