Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Heri yako wewe!Nisingekupiga madongo hahaha

Heri yako wewe!Nisingekupiga madongo hahaha

Naona haujapigwa siku nyingi atiii!!Huyo mwanamke msukuma nini? Maana wao wanajua kuchemsha viazi vitamu tu na kupika nguna ngumu kama tofali la kuchoma...
Siunafundisha au aligoma?
Kuna wengine akipika mboga utahisi vipande vya tikiti vilivyomalizika kuliwa. Linyanya anakata kama sikio.. kitunguu anakikata mara nne tu biringanya unakutana nalo limeiva halijaiva daaah







usiwazeHeri yako wewe!![]()
Masikini aliogopa kuonekana hafai(maana ndio tafsiri ya wengi)Angesema ukweli wangemfundisha taratibu
sio kila uzi, chunguza kwa makini
kuna tatizo kwani?? Embu jaribu kuchangia mada tu tafadhali mkuu
Huyu kaka namjua mwenyewe, walaa haniumizi kichwa.
Ndio ujiandae tu kisaikolojia, soon nahamisha makazi.Acha bwana.
![]()
![]()
Yap!, hapo ndo penye tatizo. Mwisho mtu anaishia kuchemsha zaidi.Msikini aliogopa kuonekana hafai(maana ndio tafsiri ya wengi)
Hahahaaaaa!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kupondeka haswaa!...missed you more giirl!
Can't believe I missed part 2 of that![]()
![]()

Mwanamke ana simu janja tatu, ana magroup ya wasap ya kutosha, yupo kila mtandao facebook, instagram, JF, Twitter, snapchat, badoo etc, anafuga kucha ndefu kama msukule.
Atajulia wapi kupika?



Aaah kwakweli, ila ugali tafadhali nsije sahau mlango wa choo!!!Chochote utakacho dear!, uliadhibiwa kwa makosa ya wengi.
Huyu kaka namjua mwenyewe, walaa haniumizi kichwa.
Ndio ujiandae tu kisaikolojia, soon nahamisha makazi.

Alafu ndio uwe unawapikia watu tundo!! Akuu nachemsha viazi,mihogo na mahindi. Huo mvurugano tumboni watajuana wenyewe.Kwa kweli shughuli ya jikoni sio ya kispot..
Ama kama vipi mchemsho wa viazi na karanga![]()
Hahaha!, sawa mamie..Aaah kwakweli, ila ugali tafadhali nsije sahau mlango wa choo!!!

Kaka yangu ambae awali alikuwa shemeji yangu, tunajuana wenyewe, acha tu.Haha, mtu na kaka ake..![]()
Ugali ukimpiga nao mtu anatokwa na nundu!!! Aaah wasukuma nyie sio wa sport sport!Hahaha!, sawa mamie..
Unavyokuwaga mgumu sasa!..![]()
Hapo sasaHahahahaaa!! Safi kabisa, taabu yote ya nini!!!