Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,089
Nani huyo![]()
![]()
![]()
![]()
kumbe mpare duuuh apo nisitegemee kitu kabsa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwani wewe mume wangu!!!
Ngoja niwe na moyo wa kupondeka, wapi Nalendwa na Heaven Sent!!!!!
Niliwamiss jamani khaaah!!!
Ahahahahaha nimemiss huo msosi.Sawa kabisa..na siku nyingine unapika NGARARUMO..hiyo ni breakfast, lunch mpaka dinner! Staki utani mie..
Njoo kwetu kwa wiki tunakula mara 4Ahahahahaha nimemiss huo msosi.
Una ujasiri wa kubadili ratiba ukweni?Haswaaa
Halafu majaribu ya kutegana kama kupika najua au sijui sitaki mie
Watakula mikate mpaka waombe poo
Wapi huko?Njoo kwetu kwa wiki tunakula mara 4
Yaani tena wewe mke pasua kichwa mwenzangu nisikumiss jamni!! Nilikumiss kweli. Mumeo Ngoda yuko wapi?Mimi hukunimiss jamani!? Mi nilikumithiii
Yap pande za kaskaziniWapi huko?
Tamu kama za uchaggani?
Maisha yamerahisishwa just like that, watutengenezee na means za mboga na mchuzi bomba tuondokane na hizi balaa za kuzodolewa.Wali tunapika na rice cooker..
Hii biashara wala nisingeifanya mimi
Na wanione mvivu...sijui kupika na mengineyo
Zamu zangu zote wangegonga chai mkate, mwenye kiungulia ningemtengemtezea uji
Emagine ukande na kusukuma chapati za ukoo mzima!! Bora siku hizi mambo yamerahisishwa, kukanda hadi kusukuma ni just simple, ni mwanaume kujitahidi tu aninunulie hivyo vifaa, sio kutoana vigimbi vya mikono.Ha haaa umetisha! Kweli jamani familia kubwa kama hiyo mkate na blueband ndo size yao
Dooh...huko nimetoka juzi tuu.Yap pande za kaskazini
Haha unajifanya humjuiNani huyo
Nampikia mume tu. Wengine am soleeeEmagine ukande na kusukuma chapati za ukoo mzima!! Bora siku hizi mambo yamerahisishwa, kukanda hadi kusukuma ni just simple, ni mwanaume kujitahidi tu aninunulie hivyo vifaa, sio kutoana vigimbi vya mikono.
Tusameheane tu kwakweli, lasivyo waajiri mtu kwaajili ya hizo shughuli.Hahahahah
Wasichoshe aisee
Mie ukweni nafanya niwezavyo.... nikichoka nasepa taratiiiibu kulala
Ukomando kipensi sitaki mimi
Wenyewe washanizoe (au imewabidi kuvumilia)
Kunyonyoa kuku alfajiri nani anataka?????
Kukuna nazi alfajiri ili kuunga mbaazi nani anataka(wangenisamehe tu....na baridi la kule uwiiiiiiiiiiiii)
Nb.... kuku nitanyonyoa saa nne na mbaazi nitaunga saa nne....vitaliwa na lunch badala ya breakfast
Maandazi napika jioni watanywea chai mengine nahifadhi kwa ajili ya asubuhi
Asiyekula viporo am sorree
Haha ni mimi binam yanguHivi ni wewe au?