Mapishi yamtoa binti nishai ukweni

Mapishi yamtoa binti nishai ukweni

Hiyo ya kuacha nimekazia tu, isikupe shida Dada, ila kwangu mimi mwanamke aheshimu mwili wake, mapishi hufundishwa, ama unaweza ajili mbadala hakafanya badala yake.
Ww unasema kwa sababu ww ni mpishi mzuri kiasi kwamba mke akivurunda unaingia jikoni mwenyewe unarekebisha,but kama ungekuwa hujui kupika alafu umeoa mwanamke hajui kupika nakwambie ungeona ni mzigo coz kuna wakati wanaume wanakula vyakula vitamu kwa marafi/ndungu/ au hotelini na wanaporudi nyumbani wanawambia wake zao wapike but kama mkeo hajui ndo balaah! Alafu hapa tunaongelea vyakula vya kawaida amabavyo nikawaida lazma mwanamke ajue kupika sasa ww unasema utamfundiasha mfano mpaka kuunga mchuzi wa samaki mfundishe????? Birian itakuwaje sasa?.....mm kwa maoni yangu lazma mwanamke ajue kupika vyakula haswa vile vya kawaida na vyakila cku
 
Back
Top Bottom