Mapishi yamtoa binti nishai ukweni

Mapishi yamtoa binti nishai ukweni

Siunafundisha au aligoma?

Kuna wengine akipika mboga utahisi vipande vya tikiti vilivyomalizika kuliwa. Linyanya anakata kama sikio.. kitunguu anakikata mara nne tu biringanya unakutana nalo limeiva halijaiva daaah
Hafundishiki, ni mtu wa kfc,subway kwa sana kipindi ile, sasa hivi wamekuja hawa piza hurt najua atakuwa analala huko.
Namuona insta kapasuka kama Miss Natafuta.
Mimi nitaendelea kuwa na kimodo changu Inna
 
Hafundishiki, ni mtu wa kfc,subway kwa sana kipindi ile, sasa hivi wamekuja hawa piza hurt najua atakuwa analala huko.
Namuona insta kapasuka kama Miss Natafuta.
Mimi nitaendelea kuwa na kimodo changu Inna
Hahaa limekuwa litandamu au sio.... ila sidhani kama kuna mtoto wa uswahilini hajui kupika.

Wengi ni wa huko kwenu ushuwani kwetu huku hawapo


Cc Inna
 
Hahaa limekuwa litandamu au sio.... ila sidhani kama kuna mtoto wa uswahilini hajui kupika.

Wengi ni wa huko kwenu ushuwani kwetu huku hawapo


Cc Inna
Sio wa kishuani.
Huyu mtoto wa kikenya baba.
Mimi mzee wa mwananyamala si ndio maana Inna hataki kuja dsm cheupe wangu.
 
Sio wa kishuani.
Huyu mtoto wa kikenya baba.
Mimi mzee wa mwananyamala si ndio maana Inna hataki kuja dsm cheupe wangu.
Wakenya sio kupika tu wababe saana.

Eti Inna hautaki kuja Dar kisa mtakatifu wa mwananyamala?
 
Ndio Matatizo ya kuokea wazazi. Unakaa kwenu jidume mpka unaoa. Hata kama ni ugumu wa maisha! Maana wazazi wanaweza kuwa na mimali lakini wewe ziro sisi bure kabisa.

Angekuwa na Gheto lake angemshtukisa siku na mapishi badala ya kupanga foreni samaki samaki au kfc tatizo lingejulikana mapema na kurekebishwa.

Sasa binti ataiona nyumba chungu mawifi 3 joblesss ni shidah hiyo.
 
Back
Top Bottom