ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,002
Huyo mwanamke msukuma nini? Maana wao wanajua kuchemsha viazi vitamu tu na kupika nguna ngumu kama tofali la kuchoma...











ngoj waje ndug zake watakavyochafua hali ya hewaHuyo mwanamke msukuma nini? Maana wao wanajua kuchemsha viazi vitamu tu na kupika nguna ngumu kama tofali la kuchoma...











ngoj waje ndug zake watakavyochafua hali ya hewaHuyu bidada aliolewa na mkaka ambae bado anaishi kwao. Familia mzima inaishi pamoja. na kula pamoja ndani kuna mawifi watatu ambao hawaolewa na wake wa kaka wakubwa wawili.
Baada ya harusi na honey moon bible amerudi nyumbani kuanza maisha ya ndoa. Amekudanganya utaratibu wa nyumba ni kuwa break fast ni saa nne asubuhi na inakuwa maandazi mbaazi za nazi mchuzi wa kuku na chapati pamoja na matunda.
Wale Mabint watatu na mawifi wana zamu za kupika. Basi bibi aliomba awe wa mwisho kwenye rosta. Ukifika zamu yake amefika jikoni jongoo amshachinjwa ni kazi ya kunyonyoa na kupika mchuzi.
Binti kumweka kuku kwenye maji aliiva unga ameshindwa kukanda ni kit uko juu ya meza na jiko zima linejaa unga.
Kuona kaka ameoa mqanamke anaepika kunadharia.
Mawifi wamekuja jikoni
Ila mke haachwi eti tu sababu hajui kupika, bali huachwa kwa sababu ya kugawa papuchi kwa mtu mwingine. Kupika ni fani watu wanasomea, nae akifundishwa atajua, ndiyo maana tunaajili wakutupikia, wakutufulia na kazi zingine. Ila hatuajili wakutusaidia kufanya nae mapenzi, mapenzi hayachangiwi. Mimi nilikaa na waarabu, nirijifunza mapishi yao mengi tu, na baadae nikafanya kazi mgahawani, kama muhudumu, ila pia wakati mwingine nilisaidia kupika. Kwahiyo nina uwezo wa kupika kuliko hata baadhi ya wanawake, mke wangu anapopika chakula kipya kweke nilikua nampa elimu, wakati gani aweke kiungo fulani. Kwangu mimi mke sio mapishi bali papuchi yake, eti niache mke kisa hajui kipika au kufua wakati ni vitu vya kufundisha tu.Mwanamke hata uwe na masters kias gani kama hujui kupika umedisqualify
Mwanamke mapishi bwana
Pole ya wifiyo
Me sjasema mke akishindwa kupika aachwe kosa moja haliachi mke first second nina imani kama unampenda huyo mke kama hajui kupika utamfundisha na kumvumilia. Kugawa papuchi hii n style ya umalaya nayo na kama mkeo anajiheshim hizi mambo hata hafanyiIla mke haachwi eti tu sababu hajui kupika, bali huachwa kwa sababu ya kugawa papuchi kwa mtu mwingine. Kupika ni fani watu wanasomea, nae akifundishwa atajua, ndiyo maana tunaajili wakutupikia, wakutufulia na kazi zingine. Ila hatuajili wakutusaidia kufanya nae mapenzi, mapenzi hayachangiwi. Mimi nilikaa na waarabu, nirijifunza mapishi yao mengi tu, na baadae nikafanya kazi mgahawani, kama muhudumu, ila pia wakati mwingine nilisaidia kupika. Kwahiyo nina uwezo wa kupika kuliko hata baadhi ya wanawake, mke wangu anapopika chakula kipya kweke nilikua nampa elimu, wakati gani aweke kiungo fulani. Kwangu mimi mke sio mapishi bali papuchi yake, eti niache mke kisa hajui kipika au kufua wakati ni vitu vya kufundisha tu.
mke kujua kupika ni kama nyumba iliyopakwa rangi iko kamiliMe sjasema mke akishindwa kupika aachwe kosa moja haliachi mke first second nina imani kama unampenda huyo mke kama hajui kupika utamfundisha na kumvumilia. Kugawa papuchi hii n style ya umalaya nayo na kama mkeo anajiheshim hizi mambo hata hafanyi
Tuzo za JF zinakuhusu mkuu. Upo vizuriHujamalizia story...
Hongera kwa kujua kupika.Ila mke haachwi eti tu sababu hajui kupika, bali huachwa kwa sababu ya kugawa papuchi kwa mtu mwingine. Kupika ni fani watu wanasomea, nae akifundishwa atajua, ndiyo maana tunaajili wakutupikia, wakutufulia na kazi zingine. Ila hatuajili wakutusaidia kufanya nae mapenzi, mapenzi hayachangiwi. Mimi nilikaa na waarabu, nirijifunza mapishi yao mengi tu, na baadae nikafanya kazi mgahawani, kama muhudumu, ila pia wakati mwingine nilisaidia kupika. Kwahiyo nina uwezo wa kupika kuliko hata baadhi ya wanawake, mke wangu anapopika chakula kipya kweke nilikua nampa elimu, wakati gani aweke kiungo fulani. Kwangu mimi mke sio mapishi bali papuchi yake, eti niache mke kisa hajui kipika au kufua wakati ni vitu vya kufundisha tu.
Swadakta!mke kujua kupika ni kama nyumba iliyopakwa rangi iko kamili
Hiyo ya kuacha nimekazia tu, isikupe shida Dada, ila kwangu mimi mwanamke aheshimu mwili wake, mapishi hufundishwa, ama unaweza ajili mbadala hakafanya badala yake.Me sjasema mke akishindwa kupika aachwe kosa moja haliachi mke first second nina imani kama unampenda huyo mke kama hajui kupika utamfundisha na kumvumilia. Kugawa papuchi hii n style ya umalaya nayo na kama mkeo anajiheshim hizi mambo hata hafanyi
Kwa kweli tuatofautiana sanaHiyo ya kuacha nimekazia tu, isikupe shida Dada, ila kwangu mimi mwanamke aheshimu mwili wake, mapishi hufundishwa, ama unaweza ajili mbadala hakafanya badala yake.
ileinaitwa wali juu mchuzi chini na michele yao ya mapembe haaahahaa kupika fani

Naomba niwe muojanji wa chakula, siyo mpishi.Upo kipenzi...ntakuja unipe somo la kupika maana kwenye hii sekta ntaachika saa mbili asubuhi
Hahaha kawaida tu mkuu..Tuzo za JF zinakuhusu mkuu. Upo vizuri
Nashukuru, Dada wewe, nimepitia maisha mengi magumu, ila kulinifanya kujifunza mengi, nashukuru Mungu labda ni kwa kusudi lake, leo hii ninamaisha yangu.Hongera kwa kujua kupika.
Hahah sasa mbona waguna weye...antafutaye hawezi nikosaMmmmh
Umesema kweli sababu sjakutafta lakini sikua naona uwepo wako mda sanaaHahah sasa mbona waguna weye...antafutaye hawezi nikosa
Kweli bhana I wish wanaume wote wangekuwa wanawaza kama wewe. Kuna vitu mtu huwezi kumfundisha mf. Huwezi kumfundisha malaya kutulia ila kupika mtu anajifunza tu japo wengine naturally hawapendi kupika...sijui mimi ni mmoja wao?Hiyo ya kuacha nimekazia tu, isikupe shida Dada, ila kwangu mimi mwanamke aheshimu mwili wake, mapishi hufundishwa, ama unaweza ajili mbadala hakafanya badala yake.

Unajaribishwa kwa mikono wawili ila uwe tayari kula chochoteNaomba niwe muojanji wa chakula, siyo mpishi.

Hayo yote hutokea kwa sababu mbalimbali, mfano wewe Mamafacebook, unauza duka la mumeo kariakoo, ila mumeo ni mwajiliwa sehemu nyingine, yeye anawahi kurudi kabla yako, mfano anarudi saa 14:00 wewe muda huo bado uko dukani hamtahitaji msaidizi nyumbani. Ila mke wangu kama hajui kupika nitampeleka sehemu kujifunza, ila simwachi labda kama sjampenda.Kwa kweli tuatofautiana sana
Yaani chakula cha mme wangu akapike mtu mwengine? Labda niwe naumwa hoii
Mwanamke anaejitambua kuheshimu mwili wake ni rule number one!