Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,198
Hahaha sifa kujiongeza.Umenikumbusha wali wa jirani, mtoto wa sister alikuwa mvivu wa kula sana baada ya muda tuligundua kumbe akienda next door kucheza anapiga menu fresh tu.
Hahaha sifa kujiongeza.Umenikumbusha wali wa jirani, mtoto wa sister alikuwa mvivu wa kula sana baada ya muda tuligundua kumbe akienda next door kucheza anapiga menu fresh tu.
majanga kwa hali hii nitaoa kijijiniUnga wa chapati unakandwa na bread maker
Duh!, breakfast kama vile unaandaa dinner!, Si mbaya kama unatengenezea familia lakini labda weekend.Ikiwa za my yako inabidi uumue unhappy wa maandazi saa 12 asubuhi na unachemsha maji ya kunyonyolea kuku na kuchemsha mbaazi, mchuzi wa kuku ukiwa unatokota unakanda unga wa chapati, na kuchomamaandazi
Na hakuna kazi sipendi kama hiyo na dishes.
Majungu gani nimepiga mimi.
Kusimangana hakuishi maana lazima nianze kukushangaa haujui kupika halafu shule baadae.![]()
Tatizo sio wapishi, tatizo mchele ni wa plastik, alafu zamani wali ulikuwa unaliwa kwa nadra sana, kwahiyo hata kama unanukia magunia huwezi tambua.Hahah sisy zamani rice was a rice na uswazi nyumba fulani wali ukipikwa unajua kwa harufu tu.
Siku hizi wala.
Wanawake wa kidijitaji mmmh
Unga wa chapati unakandwa na bread maker
kuokoa muda hahahaHahaha, au kama vipi zinatengenezwa pan cakes rahisi zaidi.
Mme hajibiwi hivi.. mme anajibiwa na kajato kakumkumbatia kifuani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Si uajiri mpishi.
Acha uoga Jose!..majanga kwa hali hii nitaoa kijijini

Na ndiyo maana wali maharage ndiyo chakula bora kwangu. Na nimeshindwa kukisaliti....Tatizo sio wapishi, tatizo mchele ni wa plastik, alafu zamani wali ulikuwa unaliwa kwa nadra sana, kwahiyo hata kama unanukia magunia huwezi tambua.
Hahahahaaa!! Safi kabisa, taabu yote ya nini!!!Ndio matatizo ya kuolewa na kuishi nyumba za familia...
Ingekuwa mie wangekuta chai mikate na blueband
Wanawake wa familia ni stay at home mothers
Kwakweli kuliko kujiabisha na kubaki talk of the family hapana!! Bora nibakie kuwa mpanga meza bora tu.Kusema ukweli ninawafeel sana mawifi home, ungekuwa wifi yangu ninakupa support 100%
Mme hajibiwi hivi.. mme anajibiwa na kajato kakumkumbatia kifuani