Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,572
Na pishi linakuwa chai tu hadi unaondoka, lunch na dinner waandae wenyewe, mie nitakata hata kachumbari.Hapo sasa
Ukizingatia umeolewa na mmoja
Na hakutaka chef alitaka mke....na anajua mkewe dhaifu jikoni...
Kisa cha kujipanikisha ni nini???



