Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Salama kabisa wanaekuita mtakatifu..Mambo Nalendwa.
Wewe ni black beuty bila shaka?
Salama kabisa wanaekuita mtakatifu..Mambo Nalendwa.
Wewe ni black beuty bila shaka?
Huku mnachat. Ndiyo maana wali wa siku hizi haunukiiTunajifunza kimya kimya bila kuonekana![]()
Haha, kupika nako ni shughuli pevu, inahitaji mtu awe na company ya ku chat au mziki pembeni kusogeza mudaHuku mnachat. Ndiyo maana wali wa siku hizi haunukii

Hii familia baba yao amewekeza kwenye biashara ya magari na watoto wa kiume ndiyo wanasaidia biashara. Mzee wao amejenga nyumba kubwa na wote waliooa wanaishi na wake zao hivyo hata mwanaume akiwa barabarani wiki nzima anajua mke au familia iko salama nyumbani.Ndio Matatizo ya kuokea wazazi. Unakaa kwenu jidume mpka unaoa. Hata kama ni ugumu wa maisha! Maana wazazi wanaweza kuwa na mimali lakini wewe ziro sisi bure kabisa.
Angekuwa na Gheto lake angemshtukisa siku na mapishi badala ya kupanga foreni samaki samaki au kfc tatizo lingejulikana mapema na kurekebishwa.
Sasa binti ataiona nyumba chungu mawifi 3 joblesss ni shidah hiyo.
Si kwa mashuzi hayo baadae. Nadhani hii story itakua iliishia baada ya tumbo kujaa na kupelekea kutapika....Dah mimi nimeikubali kweli hiyo menyu ya breakfast,hasa maandazi na mbaazi za nazi....
Acha majungu!! Mtufundishage sasa sio kutusimanga hivyo lol!!!Siunafundisha au aligoma?
Kuna wengine akipika mboga utahisi vipande vya tikiti vilivyomalizika kuliwa. Linyanya anakata kama sikio.. kitunguu anakikata mara nne tu biringanya unakutana nalo limeiva halijaiva daaah
Mbona ni menu ya kawaida mbaazi za nazi na maandazi pembeni mchuzi wa kuku na chapati baada ya hapo hata lunch haina nafasiSi kwa mashuzi hayo baadae. Nadhani hii story itakua iliishia baada ya tumbo kujaa na kupelekea kutapika
Na hakuna kazi sipendi kama hiyo na dishes.Haha, kupika nako ni shughuli pevu, inahitaji mtu awe na company ya ku chat au mziki pembeni kusogeza muda![]()
Majungu gani nimepiga mimi.Acha majungu!! Mtufundishage sasa sio kutusimanga hivyo lol!!!

Hahah sisy zamani rice was a rice na uswazi nyumba fulani wali ukipikwa unajua kwa harufu tu.Wali wa nazi wenye iliki usiponukia nenda kapige ramli
Kila Uzi wewe wakwanza duHujamalizia story...
Na hakuna kazi sipendi kama hiyo na dishes..
Kusimangana hakuishi maana lazima nianze kukushangaa haujui kupika halafu shule baadae.![]()
Ikiwa za my yako inabidi uumue unhappy wa maandazi saa 12 asubuhi na unachemsha maji ya kunyonyolea kuku na kuchemsha mbaazi, mchuzi wa kuku ukiwa unatokota unakanda unga wa chapati, na kuchomamaandaziipy lakini kama breakfast yenyewe ni hivi, sipati picha dinner inakuwaje. Kama hujazoea haya lazima uchemshe.
kasema ananitumia nauli niende nkampikie

sio kila uzi, chunguza kwa makiniKila Uzi wewe wakwanza du
Umenikumbusha wali wa jirani, mtoto wa sister alikuwa mvivu wa kula sana baada ya muda tuligundua kumbe akienda next door kucheza anapiga menu fresh tu.Hahah sisy zamani rice was a rice na uswazi nyumba fulani wali ukipikwa unajua kwa harufu tu.
Siku hizi wala.
Wapare walivyowabahili... nitaamini ukiwa mombo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kasema ananitumia nauli niende nkampikie
![]()
![]()

