Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,560
Ni chaguo lakeeee!!!Mke wa hivyo umemchagua wewe mkuu! Naamini atakuwa alikuwa hivyo hata kabla hujamuoa.
.
.
Huyo ni chaguo lakoooo..![]()
Amempenda mwenyewee...
Chaguo lake mwenyeweee

Ni chaguo lakeeee!!!Mke wa hivyo umemchagua wewe mkuu! Naamini atakuwa alikuwa hivyo hata kabla hujamuoa.
.
.
Huyo ni chaguo lakoooo..![]()

Hahahaaaa!! Utakuwa mchaga wewe, hii kitu niliikuta mahali aiseee!!! Umenifanya nicheke sana.Sawa kabisa..na siku nyingine unapika NGARARUMO..hiyo ni breakfast, lunch mpaka dinner! Staki utani mie..
Haha welcome back kivuruge, tulikumiss haswaa, especially huo moyo wako. ........
Ooooh! Mambo si ndio hayo bwana! Raha jipe mwenyewe.
Teh jishaue tu, huku pm hujafunga![]()
![]()
![]()
![]()
Hebu mniwache mie moyo wangu ushapondeka, mod kauponda ponda!!!
Kabisa...hakuna cha kulalamika hapo.Ni chaguo lakeeee!!!
Amempenda mwenyewee...
Chaguo lake mwenyeweee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio mydear. Mimi mchagaHahahaaaa!! Utakuwa mchaga wewe, hii kitu niliikuta mahali aiseee!!! Umenifanya nicheke sana.
Ndio.Una ujasiri wa kubadili ratiba ukweni?
Mke wa hivyo umemchagua wewe mkuu! Naamini atakuwa alikuwa hivyo hata kabla hujamuoa.
.
.
Huyo ni chaguo lakoooo..![]()
HahajaTusameheane tu kwakweli, lasivyo waajiri mtu kwaajili ya hizo shughuli.
Hahahaaaa!! "Njoo pm"!!!Teh jishaue tu, huku pm hujafunga
Hivi ni ngararumo au ngararimo?Ndio mydear. Mimi mchaga
Weeee nijikute tu nakuja. Em acha kunistorisha, hujakoma ban?Hahahaaaa!! "Njoo pm"!!!
Aaah kabisa, unaaga kabla haujawa mwenyeji ukaalikwa jikoni. Maana wakwe kwa kujua kuchambua wenzao utadhani wao wapishi wa kimataifa!!!Hahaja
Ndio maana wengine ulweni wanakaa siku 2 tu...
Kabla hawjashtuka watu wanaaga
Hahahaaaa!! Si ndio ilikuwa # ya mke mwema.Weeee nijikute tu nakuja. Em acha kunistorisha, hujakoma ban?
