Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Last edited by a moderator:
stevoh mi sijasema aisee hayo ni maneno yako maana kuna watu hawakawii kunireport abuse buree!
Ila kuna kapendapenda kamoja kananiita pacha wake ( TANMO na Preta ) hawa sikuwaweka kwenye list ila wao wamo!

alaaa sasa nimekuelewa. Kwa hiyo na wewe ni pendapenda kwa kua umewatambua wenzako. Right?.?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kaka, maisha yangu pia yamebadilika, nilikua na utoto mwingi sana sana nime uacha baada ya kujitambua mimi ni nani
Erickb52 hivi visa vyako ni balaa na naomba uachane na mambo yako ya kupenda penda maana wewe kila ukiona kitu kipya tuu unataka hapo hapo upende
Mi nishaacha bana na nataka mwaka mpya huu nibadilike kabisa hata Mungi na Baba V ni shahidi
manoah hongera sana kwa kubadilika na yahitajika kuwa mabadiliko kweli kuanzia JF mpaka uhalisia na maisha ya halisi
 
Last edited by a moderator:
Duh Erickb52 we kweli ni mzee wa matukio na penda penda mpaka umejua kuwa Lizzy amerudi
stevoh namshukuru Mungu tumeuanza mwaka salama aise. Tuna afya tele na Mungu ni mwema kwetu
manoah safi sana aise. Bora kwa kujitambua na kuelewa wapaswa kufanya nini na kuwa mwema
Endelea na hayo mkuu utafanikiwa
 
Last edited by a moderator:
Mh punguza wivu Kipipi nilikuwa namsalimia tu shem wangu siunajua tena Arushaone anataka kupeleka mahari?

Nakumiss wewe tu hakuna mwingine.

Mi hata usiponimiss sina shida.
Ila hizo initiatives naomba uzifanye kwa mwingine sio Arabela . . . .for nitahakikisha hata kiroboto hatosalia kwenye ukoo wenu.
Arabela mdogo wangu jichunge sana na hii mutu hii.
 
Last edited by a moderator:
measkron La Mujer de mi Vida...
hahahah.....tena mchana huu anajiandaa kurudi home maana nimemwandalia Italian Pizza, Scotch wine na zagazaga nyingine hapa kwa ajili ya lunch....

mh ukatuahidi dinner ya pizza then hukutupa
 
Last edited by a moderator:
Kweli Mr Rock maana utoto uliniponza nikatupwa jela ya kweli karibia wiki mbili ndio nikatoka, so niliyo kutana nayo kule yamechangia pia kwa kiasi kikubwa mie kubadilika.
Duh Erickb52 we kweli ni mzee wa matukio na penda penda mpaka umejua kuwa Lizzy amerudi
stevoh namshukuru Mungu tumeuanza mwaka salama aise. Tuna afya tele na Mungu ni mwema kwetu
manoah safi sana aise. Bora kwa kujitambua na kuelewa wapaswa kufanya nini na kuwa mwema
Endelea na hayo mkuu utafanikiwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom