Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Thanks my brother Erickb52. Mungu Mwenyezi ni Mkuu, kayabadili maisha yangu ndani ya nafsi na nje pia, pia katika jamii ninayo ishi na hata ndani ya JF. Nami pia nina washukuru member kwa uvumilivu wao kwangu hadi leo hii nina sema asante sana. Japo tunatumia avatar na majina sio halisi lakini asilimia kubwa tuyafanyayo na kuya tenda hapa yana weza ku reflect katika maisha yetu ya kawaida.

siku unataka kufungua kanisa unistue kaka, najua kuhesabu sadaka chapchap bila kulamba vidole.
 
Na ahidi mabadiliko yangu yatakua siku hadi siku na yatakua ni yenye tija kwangu na kwa wenzangu.
Heheheee ina maana lara 1 haka kajamaa kanavuta kasi???
Ila ngoja tuone kama kana mikakati ilojificha
 
Last edited by a moderator:
siku unataka kufungua kanisa unistue kaka, najua kuhesabu sadaka chapchap bila kulamba vidole.
Hahahahahaaaa wanajeshi hawaruhusiwi kanisani.
Halafu nataka kwenda ukweni kingasti inakuwaje mpango wetu?
 
Last edited by a moderator:
Jasiri haachi asili, ni katika mambo ya msingi na yenye tija. Ila kama hayana tija uya tendendayo kwa wenzako epusha kelo kwa kuacha hiyo asili, hakuna lisilo wezekana chini ya jua.
Mi naamini jasiri haachi asili hongera Manoah
 
Mkuu wangu PakaJimmy , naomba uamini katika mabadiliko yangu.
Mi simwanini manoah hata kidogo...atakuwa anabanwa kiaina fulani na mtu wake. Mara ya mwisho nilisikia kuwa wamepeana ID na password na naniliu wake, kwahiyo kwa namna yoyote hawezi kuongea maneno kama ya siku za nyuma!
 
Last edited by a moderator:
Asante sana dada yangu madame B , unaendeleaje?
Hongera Dear kwa Kubadilika, naamini Hutawakwaza watu tena.................
manners.jpg

Nikutakie Mafanikio Mema.
 
Jasiri haachi asili, ni katika mambo ya msingi na yenye tija. Ila kama hayana tija uya tendendayo kwa wenzako epusha kelo kwa kuacha hiyo asili, hakuna lisilo wezekana chini ya jua.
Dah naomba uwe mshauri wa hawa vijana wa humu....!
Hope watabadilika.
Nasikia raha kwa maneno yako ya faraja manoah
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mkuu, ivi sasa nipo na hata maisha yangu nime yakabizi mikononi mwa Mungu Baba, kwani katika kuliokoa penzi langu kwa M nimeumia sana, ingawa ivi sasa maumivu yanapoa.
Pole....
Ndio mapenzi...hata mi nimempoteza Amyner ila nashukuru Kipipi hajaniacha mpweke...nawe utabahatika tu...hasa ukijiunga na kwaya.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom