Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Pole sana kwa taabu inayo kukabili pamoja na watanzania wengine walio kumbwa na hili tatizo. Ukweli ndugu yangu nchi yetu hatukupaswa kuingia kwenye mfumo wa digital kwa ivi sasa, kwani miundo mbinu na hata hali za ki uchumi za wana nchi wengi wa tanzania ni ki kwazo kikubwa na ni mzigo mkubwa, leo hi huu mfumo una msumbua mtu wa dar je? Mtu wa katavi itakuake, kama si ku wanyima wana nchi haki zao za msingi za kupata habari. UN ilsema hadi 2015 japo sina uhakika asilimia mia, ila kwanini sisi tumewahi sana? Nasikia harufu ya 10% hapo.
Ni kama tunavyotaabika na watu wa analogi huku kwetu digitali... taabu tupu...
Ila umecope fasta sana..
 
Ukweli Maureen ni Mpole sana kama mimi nilivyo, na hadi tunaachana hatujawai kufanya mapenzi, huu ni ukweli 100%. Basi tu haijawa mipango ya Mungu katika hili jambo na hatu kumtanguliza kipindi tunaanzisha mausiano
Tatizo mlikula tunda la mti wa katikati....msingekula mngedumu. Na km ungekuwa na Moureen sasa hope msingeachana coz usingemkwaza.
Naamini kwa ulivyokuwa...lol we ndio ulianzisha ugomvi coz moureen ni mpole sana
 
Thanks my brother Erickb52. Mungu Mwenyezi ni Mkuu, kayabadili maisha yangu ndani ya nafsi na nje pia, pia katika jamii ninayo ishi na hata ndani ya JF. Nami pia nina washukuru member kwa uvumilivu wao kwangu hadi leo hii nina sema asante sana. Japo tunatumia avatar na majina sio halisi lakini asilimia kubwa tuyafanyayo na kuya tenda hapa yana weza ku reflect katika maisha yetu ya kawaida.
tuseme umeokoka au?
 
Nafikiri, Maureen kuna mtu sahihi ambae yupo na ni chaguo lake pia hata Mungu Mwenyezi atawabariki, Mimi pia nahisi kuna mtu sahihi juu yangu atakuja. Na ndio maana hatuja dumu katika mapenzi yetu

hahaha....we kalaghabao tu unaposema pangu pakavu wenzio huko wanajua namna ya kutia mchuzi
 
Ukweli Maureen ni Mpole sana kama mimi nilivyo, na hadi tunaachana hatujawai kufanya mapenzi, huu ni ukweli 100%. Basi tu haijawa mipango ya Mungu katika hili jambo na hatu kumtanguliza kipindi tunaanzisha mausiano
Labda kutokufanya ndiko kumemkimbiza huwezi jua lol
Hongereni sana manoah ila kuwa na mapenzi ya dhati ukimpata wife material.
Au km vipi nikupatie nivea mdogo wangu ingawa lara 1 angekufaa sema nae ni pasua kichwa...humuwezi mtoto wa mjini yule.
 
Last edited by a moderator:
Nisikatae huenda mna mfahamu, ila wasifu wake, ni binti mrembo kutoka Tanga, ana umri wa miaka 21, umbo na sura ni kama Jokate, anasoma chuo flani maswala ya uhandisi.. Ni shombe shombe flani ivi.
Hata mi namshangaa lol
Hajui mi ni mtoto wa Kitanga na wewe ni pacha wangu na Madame B na Arabela ni dada zetu na Dark City ni mzee wetu?
Heheheee mwambie tena Moureen nilimjua kupitia KOKUTONA mwaka juzi
 
Last edited by a moderator:
Nisikatae huenda mna mfahamu, ila wasifu wake, ni binti mrembo kutoka Tanga, ana umri wa miaka 21, umbo na sura ni kama Jokate, anasoma chuo flani maswala ya uhandisi.. Ni shombe shombe flani ivi.
Uko sahihi kabisa...mi huwa namtania Mpemba. She is cute for real na ni cool sana.
 
Sikupenda tuanze kulizoe hilo tendo, kwani kufanya hivyo hupunguza baadhi ya mambo. Pia kwa mda huu nimeamua kutulia tu, kwani najiandaa kuludi shule
Labda kutokufanya ndiko kumemkimbiza huwezi jua lol
Hongereni sana manoah ila kuwa na mapenzi ya dhati ukimpata wife material.
Au km vipi nikupatie nivea mdogo wangu ingawa lara 1 angekufaa sema nae ni pasua kichwa...humuwezi mtoto wa mjini yule.
 
Last edited by a moderator:
Sikupenda tuanze kulizoe hilo tendo, kwani kufanya hivyo hupunguza baadhi ya mambo. Pia kwa mda huu nimeamua kutulia tu, kwani najiandaa kuludi shule
Ni kweli mapenzi na shule hayafai.
Keep it up kijana.
 
Pole sana kwa taabu inayo kukabili pamoja na watanzania wengine walio kumbwa na hili tatizo. Ukweli ndugu yangu nchi yetu hatukupaswa kuingia kwenye mfumo wa digital kwa ivi sasa, kwani miundo mbinu na hata hali za ki uchumi za wana nchi wengi wa tanzania ni ki kwazo kikubwa na ni mzigo mkubwa, leo hi huu mfumo una msumbua mtu wa dar je? Mtu wa katavi itakuake, kama si ku wanyima wana nchi haki zao za msingi za kupata habari. UN ilsema hadi 2015 japo sina uhakika asilimia mia, ila kwanini sisi tumewahi sana? Nasikia harufu ya 10% hapo.
Mambo ni digital hata mlalamike
 
Mapenzi pasipo kuhalalishwa si haki na ni chukizo kwa Mungu, kwani nilipanga mwaka huu mwezi wa 10, kama ningekua na Maureen tungefunga ndoa. Ndipo ningeludi tena chuo kusoma
Ni kweli mapenzi na shule hayafai.
Keep it up kijana.
 
Back
Top Bottom