Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Erickb52 hivi visa vyako ni balaa na naomba uachane na mambo yako ya kupenda penda maana wewe kila ukiona kitu kipya tuu unataka hapo hapo upende
Mi nishaacha bana na nataka mwaka mpya huu nibadilike kabisa hata Mungi na Baba V ni shahidi
manoah hongera sana kwa kubadilika na yahitajika kuwa mabadiliko kweli kuanzia JF mpaka uhalisia na maisha ya halisi
 
Last edited by a moderator:
ni kweli Erickb52 hata mm naona huu mwaka wa serpent niwe msaliji mzuri zaid na hapa nitaanza kuombea wapendwa wote humu jf kwa nafasi zao, kisha nittaenda hadi jukwaa letu lile nikalipige upako.
Afadhali aiseee.
Ila gfsonwin kwenye lile jukwaa acha kwanza ila ongea na Invisible members tuwe sisi wenye ndoa halali za mke mmoja tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom