Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Heheheee Arushaone hata upige majungu aje mi kwa Kipipi sibanduki ng'oooo
Nampenda kwa kuwa ni mpole....mstaarabu sana na hana mapepe km wengine....!
Anaheshima sana na mapenzi ya dhati yasiyo na tamaa!
Kipipi pata hako kawimbo maalumu kwa ajili yako!



heheh kumbe namie ni mpole alafu mstaarabu . . . .siamini bado!
Endelea kunidhihirishia basi . . . . manake hizo sifa mmmh naona kama umenipendelea sana lol!

Dah . . . .kwa hiyo nyimbo ndo umenimaliza kabisa Erickb52.
Asante kwa kuifanya siku yangu iwe nzuri.
Tafadhali ukinunua fanta orange niite nije nikunyweshe tena!
 
Last edited by a moderator:
Thanks my brother Erickb52. Mungu Mwenyezi ni Mkuu, kayabadili maisha yangu ndani ya nafsi na nje pia, pia katika jamii ninayo ishi na hata ndani ya JF. Nami pia nina washukuru member kwa uvumilivu wao kwangu hadi leo hii nina sema asante sana. Japo tunatumia avatar na majina sio halisi lakini asilimia kubwa tuyafanyayo na kuya tenda hapa yana weza ku reflect katika maisha yetu ya kawaida.

kweli manoah amekuwa ni mfano wa kuigwa!
 
Last edited by a moderator:
mweeh eti wewe ndio waandaliwa mahari na Erickb52....kwa niliyoshuhudia Tanga mmmh sijui!!!

Hayo tena ya lini?
Ilikuwa ni baada ya nyu yia . . . . mbona mi sijasikia?

Heheh labda atakua anamuandalia yule Kipipi wa Njiro sio mie wa jamvini!
 
Erickb52 said:
Miss you sana Arabela
Nashukuru umemuaachia Arushaone arudi Arusha...naomba namimi nijiexport TA
( babu Dark City asijue eeh)

Hapa upo patna wangu wa kuyarudi maCharanga, Salsa, Tango na Rhumba.
 
Hayo tena ya lini?
Ilikuwa ni baada ya nyu yia . . . . mbona mi sijasikia?

Heheh labda atakua anamuandalia yule Kipipi wa Njiro sio mie wa jamvini!

Erickb52 kuja huku maana nilikurekodi ukiongea na King'asti kuhusu mahari ya Kiperemende...kumbe hujamtaarifu mtoto wa watu...hii tabia hujakoma tu!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom