Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Binafsi nimekubali sana jinsi ulivyobadilika sana siku hizi...sijajua ni ban au ni mwaka mpya na maisha mapya au ni Roho Mtakatifu kamshukia jamaa!
Hata umpe maneno gani hachukii na anakujibu kwa upole na upendo then anakubariki.
Naamini wote tutafuata nyao zake ikiwemo kuishi single km padre, kuacha matusi na kashfa (Hapa sitaji mtu), kuacha tabia za pendapenda(Hapa wahusika mnajijua ila sio Bishanga Mr Rocky sweetlady Vin Diesel Arushaone Arabela )
Mi naomba tupendane na tushirikiane.
Kwa waliopotea tuwaombee heri huko waliko.
Hongera sana manoah
Copy kwa:
Mungi Asprin FP St. Paka Mweusi PakaJimmy Kipipi snowhite Lily Flower TANMO Filipo marejesho Baba V watu8 Chimbuvu Arushaone SnowBall KakaKiiza nivea mtu chake Preta mwaJ Dena Amsi YNNAH gfsonwin cacico Madame B Zinduna platozoom charminglady C6 Dark City Kaizer Blaki Womani Mzee wa Rula LiverpoolFC Ciello KOKUTONA zumbemkuu lara 1
Hata umpe maneno gani hachukii na anakujibu kwa upole na upendo then anakubariki.
Naamini wote tutafuata nyao zake ikiwemo kuishi single km padre, kuacha matusi na kashfa (Hapa sitaji mtu), kuacha tabia za pendapenda(Hapa wahusika mnajijua ila sio Bishanga Mr Rocky sweetlady Vin Diesel Arushaone Arabela )
Mi naomba tupendane na tushirikiane.
Kwa waliopotea tuwaombee heri huko waliko.
Hongera sana manoah
Copy kwa:
Mungi Asprin FP St. Paka Mweusi PakaJimmy Kipipi snowhite Lily Flower TANMO Filipo marejesho Baba V watu8 Chimbuvu Arushaone SnowBall KakaKiiza nivea mtu chake Preta mwaJ Dena Amsi YNNAH gfsonwin cacico Madame B Zinduna platozoom charminglady C6 Dark City Kaizer Blaki Womani Mzee wa Rula LiverpoolFC Ciello KOKUTONA zumbemkuu lara 1
Last edited by a moderator: