Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

😀😀😀😀😀😀😀😀
Mkuu kwani yeye anakuheshimu????
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
She is right unless yo come with genuine reason why she is wrong!
Nakwambia sasa, Mange ndiyo amebaki msemaji wa wananchi wa Tz, Maana watz wote sasa wanaogopa kusema!! TUsije tukaleta uchochezi
 
Mnaangaika ma mange wa nini ? si mlisema ni kipande cha chumvi baharini.
 
Ndioo....yani nilichekaa, huyu dada aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huwa nabaki speechless
hahaha,embu atulie asee wapumzishe watyuu mana anawapa presha kila siku wanawaz ataamka na nan? mam anasumbua huyu ase.
 
Huwa ananifurahisha sana huyu dada!
Yeye na ikulu tu......
hizi nyingine za kinà pole pole ndogo sana kwake
 
Wakichoma kadi wewe unapata hasara gani mkuu?
 
Njoja na mi niende huko insta kwa Mange nikajionee hayo unayoyasema [emoji45]
 
Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..

Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.


HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
[HASHTAG]#opereshenichomakadiyaccm[/HASHTAG]
 
Wewe umeona wapi tuhuma za uongo zikijibiwa ? Kuhangaika kumjibu Mange kunaonyesha kuna mahali amegusa ambapo ni ukweli mtupu
 
mbona hapo bdo, kwa ninavomfaham mange yan hiyo kama ni movie bs ndo anafungu dake ili aweke cd, kikubwa nyie tulizeni mishono hyo mpate bonge la picha. alikuwa wenu huyu au mmesahau.
 
MANGE KIMAMBI NI MAMAA YA DUNIA.

ANAIMEZA DUNIA TARATIIBU KUPITIA PENYO ALIOZOJAALIWA NA ALLAAH.
 
Ni changudoa aliyekuwa anajiuza pale jolly club zamani leo wanapaita Kisuma lounge, alipata babu wa kizungu aliyekuwa ametembelea Tanzania kama mtalii alimuuzia 071 babu mzungu akaamua kuondoka nae jumla kwenda marekani sasa nayeye anajiona kama Trump.

Malaya mmoja mchafu tu.. Wenzake akina Nasari wanaukubali utawala..kwanza ni akina nani ni wafuasi wake. So far kuna impact gani kwa chama cha mapinduzi kwa kuondoka kwake... Apeleke usagaji wake huko

Mkuu wa jeshi la sungusungu

Mwanachama wa CCM

Wako watanzania wengi wanaoishi kwa matumaini,walivyoishi enzi za maisha bora kwa kila mtanzania,wakiwa hawana basic needs,sasa wanaishi kwa imani kuwa sasa 2016+ umeme na maji utakuwa bwerere

Akisahau chakula tu nishida

Yaah! Ni mmiliki wa kampuni ya kutengeneza ndege aina ya Boing na ndiyo mmiliki wa flight Emirate na ndiyo mchepuko wa Donald Trump

Nafikiri utakuwa umenisoma

Muulize Magufuli anamfahamu nje ndani!!

Toka usingizini, Amka

Msemaji wa chama chake

Msemaji wa chama chake
Ni mtanzania kama wewe mwenye uchungu na nchi yake wewe lala tu.


swissme

Mwananchi wa Tanzania aishiye ng'ambo

Basi huyu mtu ni ajabu sana......!!!!
 
Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..

Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.


HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO

Tanzania tuna mengi ya kufanya zaidi ya kila kukicha kuonyesha upumbavu wetu kwa kuhangaika na Mange Kimambi.

Je huyo Mange Kimambi ndiyo:

  1. Amepandisha gharama ya Unga wa Sembe?
  2. Ndiyo kampoteza Faru John?
  3. Ndiyo kashindwa kutatua nini sababu ya ile miili saba ( 7 ) kutupwa kila mara Mto Ruvu upande wa Bagamoyo?
  4. Ndiyo kafanya Elimu ya Tanzania kuwa ICU kwa sasa?
  5. Ndiyo alibuni uwepo wa Wafanyakazi hewa katika Taasisi nyingi za Serikali?
  6. Ndiyo kasababisha hadi leo Mamlaka iwe kimya juu ya kupotea kwa Ndugu Ben Saanane?
  7. Ndiyo kaleta ugumu huu wa Kimaisha tuliona sasa ambao unaelekea kuvunja rekodi?
Na nikusaidie tu ukiona hadi huyo Dada Mange Kimambi kila siku anatoa taarifa tena nyeti basi jua kuwa huko huko zinapotoka kuna matatizo na madhaifu mengi ya Kimaadili na Kiutendaji.
 
Tanzania tuna mengi ya kufanya zaidi ya kila kukicha kuonyesha upumbavu wetu kwa kuhangaika na Mange Kimambi.

Je huyo Mange Kimambi ndiyo:

  1. Amepandisha gharama ya Unga wa Sembe?
  2. Ndiyo kampoteza Faru John?
  3. Ndiyo kashindwa kutatua nini sababu ya ile miili saba ( 7 ) kutupwa kila mara Mto Ruvu upande wa Bagamoyo?
  4. Ndiyo kafanya Elimu ya Tanzania kuwa ICU kwa sasa?
  5. Ndiyo alibuni uwepo wa Wafanyakazi hewa katika Taasisi nyingi za Serikali?
  6. Ndiyo kasababisha hadi leo Mamlaka iwe kimya juu ya kupotea kwa Ndugu Ben Saanane?
  7. Ndiyo kaleta ugumu huu wa Kimaisha tuliona sasa ambao unaelekea kuvunja rekodi?
Na nikusaidie tu ukiona hadi huyo Dada Mange Kimambi kila siku anatoa taarifa tena nyeti basi jua kuwa huko huko zinapotoka kuna matatizo na madhaifu mengi ya Kimaadili na Kiutendaji.
Mkuu siku hizi umeamua kuwageuka lumumba wenzako, chezea kuisoma namba nini!

Cc: Nifah.
 
Back
Top Bottom