Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Chizi huyu anatanga na njia anahangaika.
Kapata uchizi baada ya kuona maovu yanayofanywa na ccm?! Kipindi kile anamtukana lowasa mlimuita shujaa mwenye elimu ya huu huyu.. Hahaaaaaaa, ana akili sana kuliko wewe mkuu.
 
Huu nao ni ubunifu ambao kuna jamaa utawaumiza sana. Na jinsi wanavyo mjibu kuwa ni kichaa ndivyo wanavyo liffanya tukio hilo kushika umaarufu na ghafla litakuwa tukio la kitaifa la operation choma kadi.
 
Mange siku hizi namuelewa sana,ndio maana nimepunguza kama sio kuacha kabisa kumuandama kwa maisha yake binafsi kama zamani.

Wanaosema kachoma kadi kisa mama yake Mwele katumbuliwa sikubaliani na nyie japo inaweza kuwa imechangia kwa kiasi kidogo sana.

Hivi harakati za Mange dhidi ya serikali dhalimu ya awamu hii zimeanza leo?
Alianza kwenye bunge live na masuala kadha wa kadha.

Palipo na jema tutoe pongezi pasi na chuki/unafiki.
Nampongeza sana Mange,ni mwanaharakati anayepaswa kuungwa mkono.
kabla ya hapo alikatwa kwenye umbunge ndipo kaanza mambo.

swissme
 
Kaondoka Kingunge Kadi no. Nane ya CCM, Mwandishi Mkuu wa Propaganda za Chama, Mtu alietumikia Chama kwa 60 years akaondoka lakin Chama kipo tu!
 
5c4afe7d7e2317b1a5a9dbe02bda1682.jpg
 
  • Thanks
Reactions: J C
Devastated woman.....kaachika,hana rafiki hata mmoja maisha yake ni ya stress kubwa mno anagombana january mpaka january anahitaji kupimwa akili.
 
Mkuu Mange ndio nani hapa Tanzania?
Wako watanzania wengi wanaoishi kwa matumaini,walivyoishi enzi za maisha bora kwa kila mtanzania,wakiwa hawana basic needs,sasa wanaishi kwa imani kuwa sasa 2016+ umeme na maji utakuwa bwerere

Akisahau chakula tu nishida
 
Huyu Mange ndio nani?, by the way si huyu huyu aliipigia kampen ccm ambayo Leo anachoma kadi yake na kihamasisha wengine wachome kweli njaa kitu kibaya ndio maana sinaga time na wanasiasa kwa sababu wapo kwa ajili ya matumbo yao I always conc kumake mshiko sio kusikiliza siasa uchwara za nchi hii ambapo endapo mwanachama anaona maslah yake hayaendi sawa anatafuta gia ya kutambulika
 
>>> Itakuwa Alikuwa HAJAILIPIA kwa MUDA mrefu Hiyo KADI ni Mwanachama HEWA >>.Ni miongoni mwa WALE wanaotaka Kufutiwa Uanachama
 
Hivi bado watu siku hizi watu wanachoma bendera za Marekani na Islael? Kama fasheni naona imeisha sasa hivi tunaanza kuchoma kadi za CCM, ukimaliza kuchoma hasira zinaisha unaenda kulala na kesho maisha na stress zako unavikuta palapale!

Ujinga ni unaambukizwa!
 
Back
Top Bottom