Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

huu ni ushari Wa bure kwa ccm. kama mnataka mjikite katika masuala ya kichma ni bora tuhuma ambazo zimekuwa zikiibuliwa ni Mange mkaziacha kuzijibu, kwani Anavyoonekana ataibua nyingi na tens za kutosha, hivyo mnaweza kila siku mkakalia kuita waandishi Wa habari kumjibu.

Hivi fikiria kama ile inayomhusu first leady we utawezaje kuijibu?
ndugu huko ccm angekuwepo mwenye busara hata mmoja wa kuona mambo haya kama unavyo shauri, Max asingeshikiliwa na polisi.
 
Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..

Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.

Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.

Kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.

HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
 
kwa hiyo uki zoom jina ukaona ni Makumbi Pawasa utajua anakaa Tanzania sehemu gani.
 
Mbona wakati ule huyo Mange alipokuwa akipost kumkashifu mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa wakati wa kampeni mwaka jana nyinyi wenyewe watu wa CCM mlimshangilia sana na kumuita shujaa wenu?

Tulieni wanaccm dawa iwaingie vizuri.....

Hivi nyinyi maccm tayari mshasahau kuwa hata nyinyi kwenye mikutano yenu ya kampeni mwaka jana, mara kadhaa kwenye mikutano yenu mlikuwa mkizichoma moto kadi za Ukawa zilizokuwa zikirejeshwa kwenye mikutano hiyo?

Kumbe mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu sanaaa!
 
Nakubaliana na hoja ya kupinga uchochezi, napingana na wewe kwenye njia unayopendekeza itumike.
Tunalipa vyombo vya ulinzi na taasisi kufanya kazi zao kitaalam, wamkamate na sheria kuchukua mkondo wake.
Sasa unaposema washabiki wake wakamatwe unawafaham? Wakimblock ndio ataacha kupost vitu vyake?
Anatumia njia au mbinu moja tu kupost mambo yake? Mtaweza kumdhibiti asitumie mbinu nyingine mpya kuendeleza post zake?

Washughulikie shina na mzizi sio kuhangaika na matawi
 
Ni mtu mdogo sana kusumbua serikali,dawa yake ni ndogo saana.Walikuwepo wabishi na watukutu zaidi yake,its just the matter of time.FULL STOP
Amen RA
 
Ccm wameishiwa nguvu.MTU mmoja anawaumiza kichwa.mwenzenu uko aliko ana lala kwa raha zake
 
Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..

Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.


HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
Wale wa kwenye viroba MTO Ruvu ndizo pambio za amani ya TZ yako ya kusadikika ?
 
Back
Top Bottom