Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,392
- 78,519
Hii kampeni ni kwa wenye kadi za ccm tu
Ni mtanzania kama wewe mwenye uchungu na nchi yake wewe lala tu.Mkuu Mange ndio nani hapa Tanzania?
Hasa wadada.. Anawapa sumu kila siku.. 2020 ifike tu
KabisaaaWe unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
Mbona mwaka Jana zilichomwa nyingi tuNaomba kuuliza,hivi kadi zinaruhusiwa kuchomwa kisheria? Au zinapaswa kurudishwa kwa chama husika.?
Nitoeni tongotongo mwenzenu.
Kabisaaa
mie mwenyewe alinishika... nakumbuka kipindi kile Magu anapiga push up anasema watu watume pictures... sio picha kumiminika zile.. mie mwenyewe nakumbuka aliipost picha yangu lolMange kawashika wadada wengi waliopigia kura ccm 2015
Tupia na ile video akichoma kadi ya ccmWatu watakiwa kutuma video wakichoma kadi zao kwa njia ya whatsup..
Kama upo CCM na unapinga swala la MAX kuwa kizuizini tafadhali muunge mkono..
Atafanikiwa?
Chizi huyu anatanga na njia anahangaika.
Sure! Hana procrastination za kizembeMi nampenda Mange, she is a woman who speaks her mind... yaani yeye anafanya linalomjia katika mind yake... haogopi wala nini
Hivi Lemutuz hajatoa tamko lolote tangu dada yake atumbuliwe....
Mkuubkwa hoja za Mange hapo juu,siuoni uchizi wake,inawezekana huyo anayemuita Mange chizi yeye ni chizi mara miaWe unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
Ngoja naiwekaTupia na ile video akichoma kadi ya ccm
Najaribu kutafakari tu, kitu ulicho kinunua unahuru wa kukifanya utakavyoNaomba kuuliza,hivi kadi zinaruhusiwa kuchomwa kisheria? Au zinapaswa kurudishwa kwa chama husika.?
Nitoeni tongotongo mwenzenu.
Mimi mwenyewe nmemfollowWe angalia hii thread itakavyojaa posts za kila aina
Hata Magu sasa ndio anamtambua vizuri,kibao kimemgeukia!Waulize Chadema na Lowassa, wanamjua vizuri sana huyo dada,