mwambadog
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,736
- 1,446
Naomba kuuliza,hivi kadi zinaruhusiwa kuchomwa kisheria? Au zinapaswa kurudishwa kwa chama husika.?
Nitoeni tongotongo mwenzenu.
KADI NI YA MWANACHAMA SIO YA CCM
Naomba kuuliza,hivi kadi zinaruhusiwa kuchomwa kisheria? Au zinapaswa kurudishwa kwa chama husika.?
Nitoeni tongotongo mwenzenu.
ahahaha,dahWe unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
Nb. Mh Zitto ni mmoja wa follower wake.We unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
Mkuu Mange ndio nani hapa Tanzania?
Toka usingizini, AmkaMkuu Mange ndio nani hapa Tanzania?
kwakweli simuelewi,wakati anampigia chapuo Makufuli alikuwa anawaza nini?aende zake hukoHuyu Dada ni balaa, nilisoma moja ya post zake kule insta.....wallah nimemkoma.........kama hii ndio njia ya kutuomba msamaha kwa kumtukana mgombea wetu kipindi ile ya Kampeni, basi amekuja na speed Kali.
mie mwenyewe nilikuwa pro magufuli, ila najuta na nimeamua kuachana na ccmkwakweli simuelewi,wakati anampigia chapuo Makufuli alikuwa anawaza nini?aende zake huko
kama ndugu zako wanavyoangaika hata chai sijui kama wamekunywa mange anaishi kiwanja hata kama hana kazi lakini anapata pesa za msaada kutoka serikali ya kiwanja inatwa social.vipi wewe uko bongo ubateseka kwenye nchi yako pyuuuuuuuChizi huyu anatanga na njia anahangaika.
Muulize Magufuli anamfahamu nje ndani!!Mkuu Mange ndio nani hapa Tanzania?
Chizi huyu anatanga na njia anahangaika.
Yaah! Ni mmiliki wa kampuni ya kutengeneza ndege aina ya Boing na ndiyo mmiliki wa flight Emirate na ndiyo mchepuko wa Donald TrumpMkuu Mange ndio nani hapa Tanzania?
wote waliomsifia wanaisoma namber za bialamulo chato bungelengele kaganda nyakaula ngalla.Si alikua anamsifia Bulldozer!