Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

CCM mlichimba kisima leo mnaingia wenyewe.

Mange alivyokua anatukana wapinzani, nyie CCM mlikua mnamshangilia sasa leo kawageuka mnakuja kutuomba msaada.
 
Ni mtu mdogo sana kusumbua serikali,dawa yake ni ndogo saana.Walikuwepo wabishi na watukutu zaidi yake,its just the matter of time.FULL STOP
Sio lazima uandike hivyo, jifunze uvumilivu na staha hata kama una hasira, wenzio wanakusoma humu
 
Huyu dada sio mchezo mchezo nime fatilia post zake anaongea ukweli bila kuficha maneno ambayo Ccm wapendi kuyasikia huyu akiendelea hivi ni hatari kwa chama na sio Amani kwa nchi
 
Kaeni kimya sindano iwaingie.

Hapa ndo mtajua umuhimu wa kuwa na usawa na sio kukandamizana kisa ninyi mna dola.

Hilo ni zao la malezi yenu sasa kawageuka mnamuona mbaya ilhali ninyi ndo mlimlea.

Kwan nini kadi si walinunua wao na ni mali yao wascheni wazichome.

Ndugu zangu jifunzeni kuwa na utu usilopenda utendewe usimtendee mtu

Mwaka jana katukana upinzani weeee mnashangila mnaona poa tu

Sasa acheni sindano iwaingie naona mara hii imegusa mfupa
 
Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..

Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.


HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
Eti hali ya aman tunayojivunia itadorora,,,,,,,,,aman gan unayosema wakat viongoz wameshika mapanga?,,,,,acha kutuzuga bana
 
Kuchoma kadi ni mambo ya kawaida kisiasa. Ni peaceful protest . Labda tungemsifu kwa ubunifu zaidi ya maandamano.
Naamini angeanzisha kuchoma bendera za cdm basi usingukuja hapa.
Wanao choma ni wenye kadi na kama unaridhika na chama chako sidhani kama utachoma.
Hivyo wacha tuone mwisho
 
Mkuu siku hizi umeamua kuwageuka lumumba wenzako, chezea kuisoma namba nini!

Cc: Nifah.

Sijawageuka wana Lumumba isipokuwa nimegeuka upumbavu ninaouona ambao kila kukicha unazidi tu kuota mizizi. Nikusaidie tu kuwa Mimi ni Mwana CCM Makini na siyo CCM Maslahi na Kujipendekeza na pale ambapo nikiona tuliowapa dhamana wanafanya vyema nitawasifia na kuwapongeza na pale ambapo nitaona wanafanya mambo ya Kijinga na Kipumbavu nitawasema kweli bila kuwaonea haya.

Mtu makini hasa Kichwani siku zote lazima afanye balanced analysis ya kile kilichopo au kinachoendelea bila kujali ni Mwana CCM au Mwana CHADEMA and so on. Pitia vizuri posts zangu kuna muda huwa nawasema sana CHADEMA na huko nyuma walikuwa wakinichukia ila nilijua walikuwa hawajanielewa na nashukuru Mungu sasa karibia wana CHADEMA wengi wamenielewa na tunaenda sawa. Hivyo hivyo huku kwangu CCM nimekuwa nikiwasifia mno ila pia nimechamba sana tu hadi wapo ambao sasa Wananichukia na Urafiki wangu na Wao umeisha kwani walidhani Mimi ni Mtu wa Sport Sport wa kukubali kila kitu kwa misingi ya nadharia ya Kiuwoga ya Kidumu Chama ila wapo wana CCM wanaonielewa na maisha yanaenda.

Kuhusu kuisoma namba nadhani ni concept ya Kipumbavu ambayo inaimbwa na Watanzania Wapumbavu kwani hata ukiangalia tu takwimu mbalimbali tokea awamu ya Baba wa Taifa Nyerere, Mwinyi, Mkapa na hadi Kikwete Mtanzania hajawahi kuwa na maisha mazuri isipokuwa ana maisha tu ya bahati nasibu. Halafu sidhani kama Mtanzania ambaye anajitambua na anajishughulisha kwa Kazi za halali kabisa na ambazo zinampendeza Mwenyezi Mungu leo hii anaweza kusema maisha magumu ( anaisoma namba ) ila ukiona Mtu yupo na analalamika hivyo basi jua ya kwamba alikuwa akiishi maisha ya nje ya Kipato chake ( fisadi / muuza ngada ) na sasa mirija imezibwa hivyo basi lazima alie.

Mwisho niwasihi tu acheni huu uzuzu wa kila Mtu anayekuja humu hata kama mkijua ni Mwana CCM halafu analalamika hali ya Kiuongozi au Kiutawala kwa sasa basi amebanwa Kimaslahi somewhere hivyo anaisoma namba. Kuna wengine Elimu zetu za Vyuoni na kujikita katika Ujasiriamali na kuwa Wabunifu wa Kimaendeleo kumetufanya hata tusiyaone haya maisha magumu ila kwa wale waliojisahau wakati wakiwa na fursa ama hakika sasa watazisoma kweli namba na ndiyo kwanza mwaka wa kwanza umeisha bado minne ( 4 ) mbele kudadadeki!
 
Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..

Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.


HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
We unajivunia amani ipi? Kuna utulivu tu sio amani! amani ni tunda la haki, Haki ni pamoja na uhuru wa kutoa mawazo na kusikilizwa kama ilivyo kwenye katiba ya JMT! Tusijifanye tunajua sana kutetea upumbavu
 
Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..

Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.


HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
Unamwomba udhauri nani? Si ukawaambie magamba wenzako wamfungie?
 
Aliyemuona huyu dada akichoma nguo zake za kijani aje hapa atueleze...labda ana video nyingi season 1, 2....
 
Hongera sana Mangi Kinambi kwa uamuzi wa kuamua kupinga udikteta uchwara katika nchini yetu kwa kuchoma kadi yako ya chama.
 
Back
Top Bottom