Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

saimon111

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
1,736
Reaction score
1,359
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.



1bc220c42188ac82c80e670133373573.jpg
 
Huyu Dada ni balaa, nilisoma moja ya post zake kule insta.....wallah nimemkoma.........kama hii ndio njia ya kutuomba msamaha kwa kumtukana mgombea wetu kipindi ile ya Kampeni, basi amekuja na speed Kali.
 
Back
Top Bottom