Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,806
Ndio maana watanzania hatutaki kuruhusu uraia wa nchi mbili.Wabaki huko huko na Trump wao.
Kiongozi kuwa na Green Card sio sawa na kuwa raia, ila unapata haki karibia sawa na raia wa kule.
Ndio maana watanzania hatutaki kuruhusu uraia wa nchi mbili.Wabaki huko huko na Trump wao.
Walete ntachowafanya hakuna ataesahauSubiri hapohapo wanakuja kukuunganisha na lema.
Wapiga deal tu ndo watakaochoma na kwa bahati mbaya wapiga deal wengi si wapiga kura na hawazidi hata 15%
kadi ya chama ni mali yako unaweza kuifanyia chochote unachotaka ndio mana unailipia na usipoilipia kwa muda inapoteza uanachama sio kwa sababu huna kadi ila kwa sababu hujailipiaNaomba kuuliza,hivi kadi zinaruhusiwa kuchomwa kisheria? Au zinapaswa kurudishwa kwa chama husika.?
Nitoeni tongotongo mwenzenu.
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.
![]()
Alipokuwa anawatukana akina Lowassa na viongozi wengine wa upinzani mwaka jana mlikuwa mnamshangilia na kumpigia makofi.. Leo amewageuka mnamtangaza mgonjwa na yuko desperate..
Niliwaambia sifa moja kuu ya chizi ni kwamba hana jalala moja, mkabisha.. Oneni sasa anavyowavua nguo hadharani.. Na uzuri ni kwamba masheria yenu ya mitandao hamuwezi kumpata wala kumzuia hata kidogo.. Ngoma haitaki hasira hii..
hapana kadi ni mali ya chama ni sawa na kitambulisho cha kazi ni mali ya mwajiri ndio maana ukiacha kazi unakirudisha, kuchoma kadi ni sawa na kuchoma gari au jengo la ccm anapaswa kurejeshwa nchini na kufikishwa mahakamani.kadi ya chama ni mali yako unaweza kuifanyia chochote unachotaka ndio mana unailipia na usipoilipia kwa muda inapoteza uanachama sio kwa sababu huna kadi ila kwa sababu hujailipia
hauko sahihi kadi ya chama ni mali ya mwanachama ndio maana unainunua na ndio maana ukihama chama kadi hurudishi ulikochukua bali huikabidhi kwenye chama kipya na kuziteketeza. usifananishe kadi ya chama na kitambulisho cha kazi au shule n vitu 2 tofautihapana kadi ni mali ya chama ni sawa na kitambulisho cha kazi ni mali ya mwajiri ndio maana ukiacha kazi unakirudisha, kuchoma kadi ni sawa na kuchoma gari au jengo la ccm anapaswa kurejeshwa nchini na kufikishwa mahakamani.
Hahahaaaaaaaaa....mkuu msemo wako umenifanya nichekeSanamu walilochonga wenyewe lumumba, sasa linawatisha kweli kweli,
Mshtakini basi au muombe arudishwe nchini ndo tujue mna wanasheria nguli kiasi ganiKadi ni mali ya chama, ni sawa na kitambulisho cha kazi ni mali ya mwajiri hivyo anaweza shitakiwa kwa kuharibu mali kwa makusudi. kuwa marekani haimaanishi mkono wa sheria hauwezi kumfuata huko.
Kama wewMange mwenda wazimu
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.
![]()
Ni changudoa aliyekuwa anajiuza pale jolly club zamani leo wanapaita Kisuma lounge, alipata babu wa kizungu aliyekuwa ametembelea Tanzania kama mtalii alimuuzia 071 babu mzungu akaamua kuondoka nae jumla kwenda marekani sasa nayeye anajiona kama Trump.Mkuu Mange ndio nani hapa Tanzania?