Ww jamaa umeongea point sanaKwahiyo Mtu Kama Ana Matatizo Yote Hayo - Umasikini, Mikopo Ya Wanafunzi, Kuwa Jela Au Polisi, Kubuma Biashara Nk Anatakiwa Ahamie Chadema ??
Halafu Ni Kwanini Kuna Watu Huwa Wanafikiri Watanzania Wote Wana Vyama Au Wanachama Wa Vya Siasa ?
Kuna Watu Hawajishughulishi Kabisa Na Siasa Za Vyama Vya Siasa, Wana Mambo Yao Tu Na Yanasonga
Mtu Anakwambia CCM Imekufanya Masikini Wakati Yeye Si Masikini Tena Katajirika Ndani Utawala Huo Huo Wa Hao CCM, Sasa Sijui Kama CCM Inabagua Watu Wa Kuwafanya Masikini Na Wengine Tajiri.
Mange ana stress ya kuachwa na mabwana ukiungana naye hapana shaka na wewe una stress hizo hizo. Poleni kwa kuachika
Bipolar disorder(Once called manic depression) is a mental disorder characterized by highs(Mania) and lows (Depression).Some people with bipolar disorder are rapid cyclers,meaning they switch moods rapidly;sometimes switching moods very few minutes,sometimes switching them a few times a day.Others don't change as often may be switching moods one a week,for example when manic an individual with bipolar feels powerful,invincible and euphoric.When depressed they are lethargic and feel hopeless.Most children born with bipolar disorder,are very intelligent and artisticBipolar disorder ikoje na dalili zake ni zipi?
Yeye keshahama TZ tatizo lake nini tena? Subiri Trump afute hizo Green card visa.Kadata huyu. Hana tena jinsi nyingine ya kuishi. Mda si mrefu atajinyonga . Hahaha hu mchezo hauhitaji hasira.
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.![]()
Sio ajabu, hata chadema walimfuata Luwassa !We unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima
Jamiii ya wastaarabu ipi mkuu?stress zake za kuachika anamalizia kwa watu hata hawahusiki na kuachwa kwake!kweli ukioa kitu kama hii unakufa na presha kabisa!huyu hastahili kuishi katika jamii iliyo na wastaarabu
Mkuu wa jeshi la sungusunguMkuu Mange ndio nani hapa Tanzania?
Baada ya kuchoma kadi ya ccm sio?!Devastated woman.....kaachika,hana rafiki hata mmoja maisha yake ni ya stress kubwa mno anagombana january mpaka january anahitaji kupimwa akili.
Yaah! Ni mmiliki wa kampuni ya kutengeneza ndege aina ya Boing na ndiyo mmiliki wa flight Emirate na ndiyo mchepuko wa Donald Trump
Nafikiri utakuwa umenisoma[/QUOTEhaaha nimependa jibu lako
Dua la kuku....Naona ananyea kambi.
Anachoma kadi kwa mbwembwe.Siku TRUMP akimtimua Marekani mkuku atatukuta wana CCM AIRPORT tukimsubiri kwa hamu
Mi mmoja wa followers zake na haishi kuni amaze!anajua kufunguka ya rogono na hatafuni maneno !We unamuona chizi, lakini amini usiamini ana umaarufu na wafuasi wengi kuliko wewe Mzima