bitaly athumani
Senior Member
- Aug 21, 2015
- 158
- 91
Dawa ndo kwanza inawaingia waache kutikisika wapone.Sindano imegusa mfupa
Hahahaaaaaa
Dawa ndo kwanza inawaingia waache kutikisika wapone.Sindano imegusa mfupa
Hahahaaaaaa
Tanganyika ndio ilipata Uhuru wa Amani siyo Tanzania.Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..
Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.
HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
Nonsense, kwa kosa lipi, you must be crazy!Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..
Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.
HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Wat
Watanzania Au wana ccm
Hahahaha jf hawawez kutoboa!!!!Subiri hapohapo wanakuja kukuunganisha na lema.
Its better to be violents.if there is violence in our hearts ,than to put on the cloak of nonviolence to cover impotence .Tuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..
Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.
HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
Kibaraka wa hawara wa mamaakowewe ni kibaraka wa mange??
Hahahahaha hapo alipo anabofya keyboard kwa hasiranakuonea huruma unavyoshoboka wakati hela za matetemeko za wahaya mmeliwa bado mnabwaja tu
A see Jaby'z hizo sharubu zimekuongezea Maneno ya busara.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .Kweli akili ni sharubu cuz hata sharubu ni nywele....Nipatie kadi choma na Pepsi baridi please....kuchoma kadi za chama ni sawa na kuchoma nyama ya kuku tu sema majina ndo tofauti (kuku choma,na kadi choma)
Mbona alishapata mwingine NA kahamia sehemu nzuri juzi juzi tuUmaarufu utumbo,hana lolote, ni frustrasion ya maisha,kapewa talaka na muzungu,kazi hana, umalaya haimlipi ni mkubwa ki umuri[emoji13]
Analeta mambo mpaka za watu kutaka kujiuzulu huko magogoni [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji85]nilikua simpendi Mange...
ila siku hizi namfagilia sana....
go Mange,go...lol
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.
![]()
Hatuvumilii watu hawana ajira wala hakuna dalili za ajira makampuni yatafungwa NA raisi anakomaa kutuletea bombadia za nini zote hizi atengeneze ajiraWatanzania tuwe wavumulivu jamani inasemekana mambo yatakuwa magumu mwanzoni Ila baadaye kidogo yatakuwa mazuri
Khaaaaaaa hiii kali aiseee mange ni noma!!!!!
Kama wanalala mbona Mwendo wa kobe/Slow slow ameanzia kazi ya uenezi na itikadi kwa MTU huyo?Polipoli kaanzia international kazi ya uenezi na kusahau kuwa chama kipo hapa kwetu.[emoji4]Muacheni apayuke tuu lakni CCM wanalala na yao yanaenda...