Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

mange ndio nani ktk hii nchi mkuu....[emoji34] [emoji34] [emoji34] ....??...hivi great thinkers wa humu inakuwaje....anapewa nafasi ya kila mara kujadiliwa akifanyacho....??..
Mkuu inashangaza sana mtu ambaye amepata followers laki 7 kwa matusi anapewa airtime ndani ya Taifa kubwa kama Tanzania! Taifa ambalo limechangia Uhuru kwa karibu nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara! Huyu mtukanaji anapewa nafasi kweli? Tumejidharau mno!
 
mange ndio nani ktk hii nchi mkuu....[emoji34] [emoji34] [emoji34] ....??...hivi great thinkers wa humu inakuwaje....anapewa nafasi ya kila mara kujadiliwa akifanyacho....??..
Ujue ni muhimu kuliko wewe...hivi tumewaji kukujadili mkuu??
 
Ni kawaida sana kwa vyama vya upinzani kuwa na watu wenye kauli na matendo ya ajabu ajabu kama huyo Dada! Anafiti sana huko alikokwenda just imagine mtu kapata umaarufu kwa kutukana na kudhalilisha wenzake? Hatuhitaji MTU kama huyo ccm. Wana ccm tunashangilia sana kuondokewa na MTU kama yeye!
Kumbe kipindi cha uchaguzi alipokuwa akimtusi Lowassa,CCM ilikuwa chama cha upinzani!

Asante kwa taarifa mkuu.
 
Mkuu inashangaza sana mtu ambaye amepata followers laki 7 kwa matusi anapewa airtime ndani ya Taifa kubwa kama Tanzania! Taifa ambalo limechangia Uhuru kwa karibu nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara! Huyu mtukanaji anapewa nafasi kweli? Tumejidharau mno!
Huyu mtukanaji alianza kupewa airtime na hicho chama alichochoma kadi yake baadhi ya kada walimshukuru waziwazi wakati wa kampeni kuwa anamchango mkubwa ....sasa tunashangaa wewe usiyemfaham sasahiv......[HASHTAG]#punguzeniunafki[/HASHTAG]
 
Malofa na wapumbavu ndio hufanya haya alafu tunawasubiri kwenye boksi la mpiga kura tunawafunga midomo.
Kuna wale walio choma magazeti ya Mengi moto wakidhani wanamkomoa ......
Malofa na wapumbavu ndio hufanya haya alafu tunawasubiri kwenye boksi la mpiga kura tunawafunga midomo.
Kuna wale walio choma magazeti ya Mengi moto wakidhani wanamkomoa ......
wew ndo lofa kamili huko kwenu muleba sasa km yule diwani wenu evart ernest ameleta nn kama c kupiga kelele tu?
 
Malofa na wapumbavu ndio hufanya haya alafu tunawasubiri kwenye boksi la mpiga kura tunawafunga midomo.
Kuna wale walio choma magazeti ya Mengi moto wakidhani wanamkomoa ......
nakuonea huruma unavyoshoboka wakati hela za matetemeko za wahaya mmeliwa bado mnabwaja tu
 
Hatari sana, vuguvugu limeanza kwa "kukataa kusikiliza sauti ya mwenyekiti wa chama" na sasa kadi za chama kikongwe kuchomwa moto!

Nilitazama kikao cha Halmashauri Kuu juzi juzi Ikulu nikaona body language ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama cha kijani wakiwa hawana tabasamu, raha hata imani na hotuba ya Mwenyekiti wao. Wakati Mwenyekiti alikuwa ''makini kusoma hotuba" kuvutia lakini wajumbe wale wazee walionesha kukataa, kutoridhika, kukosa tumaini, maumivu na kutoafiki uongozi wake kwa body language.
 
Mkuu inashangaza sana mtu ambaye amepata followers laki 7 kwa matusi anapewa airtime ndani ya Taifa kubwa kama Tanzania! Taifa ambalo limechangia Uhuru kwa karibu nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara! Huyu mtukanaji anapewa nafasi kweli? Tumejidharau mno!

Huyu mtukanaji alianza kupewa airtime na hicho chama alichochoma kadi yake baadhi ya kada walimshukuru waziwazi wakati wa kampeni kuwa anamchango mkubwa ....sasa tunashangaa wewe usiyemfaham sasahiv......[HASHTAG]#punguzeniunafki[/HASHTAG]
Wakati Mange akichoma kadi ametoa sababu zake huku akitaka mwanaye akariri anachokisema !!!. Mbona watu hawajadili hoja zake badala yake kadi ndiyo imeonekana kuwauma sana ?!. Tujadili hoja yake, je ni kweli ?! Tusijifiche kwenye ukereketwa tujadili hoja iliyomfanya achome hiyo kadi.
 
Mwaka jana kuna mhe alikusanya malundo ya kadi lakini kwenye uchaguzi alishindwa.
 
Unadhani chadema anauwezo wa kuongoza nchi??
Hatuwezi kuuza nchi yetu kwa kuwakabidhi wapiga deal waongoze nchi?
Usafi wa mtu unaanzia yeye mwenyewe kisha ndani kwake.
Chama kina nusu karne kina nini cha kujivunia? ??
Nani kauza nyumba za serekali kwa bei rahisi kabisa na kugawa mengine bure kwa madem zao?huyo mpiga dili ni nani umemanisha?
 
Wakati Mange akichoma kadi ametoa sababu zake huku akitaka mwanaye akariri anachokisema !!!. Mbona watu hawajadili hoja zake badala yake kadi ndiyo imeonekana kuwauma sana ?!. Tujadili hoja yake, je ni kweli ?! Tusijifiche kwenye ukereketwa tujadili hoja iliyomfanya achome hiyo kadi.
Hahaha kiongozi sio kwamba hatujasikia alichokuwa akimuambia mwanae .....tumeamua kuipa kadi airtime ili kufukia hoja hizo....watanzania tupo vizuri kwenye kukwepa hoja si unakumbuka naniii alivyokwepa lile swali la mwandishi tehtehteh
 
Mange si Mnafiki

Mungu anachukia sana UNAFIKI
 
Umaarufu utumbo,hana lolote, ni frustrasion ya maisha,kapewa talaka na muzungu,kazi hana, umalaya haimlipi ni mkubwa ki umuri[emoji13]
 
Back
Top Bottom