nafiaafrca
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 248
- 308
Mimwenyewe nimechoma maana nimegunduwa chama cha mafisi nichama cha shetani maana baba jesika alikuta kunaishi kama malaika sasa anataka tuishi kama shetani
Tuna mtu tayari anashughulikia tatizo lake alipo tupo hasihofuTuache ushabiki wa vyama vya siasa mbali, Huyu mama anaeitukana na kuchochea negative perception serikali ya Tanzania inabidi awe blocked kabisa kea watumiaji wa social networks wasiweze kumuaccess..
Nkiongea kwa machumgu, jana alianzisha kampeni ya kuchomesha kadi za chama cha mapinduzi na hazikupita dakika baada ya kuanza kupost video nyingine za watanzania wanachoma kadi za chama, Kuchoma kadi za chama iwe ni ccm ama chadema ni kitu kinachoweza kuchochea vurugu za kisiasa na mwishowe hata hali ya amani tunayojivunia ikadorora.
Kuishi kwake Maerkani ndio ameona ni kinga sahihi ya kuitukana na kuisengenya(sio kuikosoa) serikali ya Tanzania huku akiwa na wafuasi wengi sana wanaomsikiliza na kumwamini, Kwa sasa ana followers zaidi ya laki 7 kwenye mtandao maarufu wa instagram, Naomba uvute picha tu hivi kama amefikia stage ya kuwafanya wafuasi wake wachome kadi hivi huko mbeleni si anaweza akaleta balaa zaidi.
kitu ambacho huyu mama mtu mzima mwenye miaka 40 anachotaka ni nchi kuvurugika, Na vurugu zikitokea wataoumia ni watu tunaoishi ndani ya Tanzania na sio yeye aliye marekani.
HII TANZANIA ILIPATA UHURU KWA AMANI, TUMETEKETEZA VITISHO VYOTE VILIVYO TAKA KUHATARISHA AMANI NA HATUPASWI KUDUMISHA NA KUENDELEZA HALI YA AMANI KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. NAIPENDA NCHI YANGU NA NNAJIVUNIA AMANI ILIYOPO
Wenye umri mkubwa sawa na baba yakoHivi una watoto wewe??
Muulize mleta hoja analalama nini, kinyago cha mpapure. Wapenda sifa feki hapo mwanzo alikuwa mzuri leo mndharau subirini atabadirika tu.Unadhani chadema anauwezo wa kuongoza nchi??
Hatuwezi kuuza nchi yetu kwa kuwakabidhi wapiga deal waongoze nchi?
Usafi wa mtu unaanzia yeye mwenyewe kisha ndani kwake.
Chama kina nusu karne kina nini cha kujivunia? ??
Bavicha vichwa panzi mshasahau alivyokuwa akimdhalilisha yule mzee wenu kwa kujinyeaSindano imegusa mfupa
Hahahaaaaaa
Alijifunzia wapi matusi?Huwa ukawa wanatabia ya kusajili wenye vipaji vya kutukana. Acha aende huko!
YamekurudiaBavicha vichwa panzi mshasahau alivyokuwa akimdhalilisha yule mzee wenu kwa kujinyea
Watu watakiwa kutuma video wakichoma kadi zao kwa njia ya whatsup..
Kama upo CCM na unapinga swala la MAX kuwa kizuizini tafadhali muunge mkono..
Atafanikiwa?
![]()