Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Huyu dada yetu ambaye maisha ya ughaibuni yamemshinda, eti sasa anafanya kampeni ya kijinga ya kuchoma kadi za vyama vya siasa. Kwanini asirudi Tanzania aje afanye siasa za kistaarabu za kujenga hoja???

Ajitokeze hadharani, aache kujificha chini ya kivuli chake.
 
Maisha yake ya ndoa yanahusiana vipi na anachokifanya sasa?

Wewe umeshindwa kujenga hoja hata moja halafu unataka hoja za Mange utaziweza?

Pamoja na madhaifu yake (kama sisi wengine tu) Mange yuko njema sana kichwani.
Ana hoja nzito ambazo nyingi hazijibiki.

[HASHTAG]#GoMange[/HASHTAG]
 
nimesoma comment zote asilimia kubwa wanamuunga mkono Mange Kimambi ....Mimi kama Twaweza
 
Unajua Afande sele alipohama Chadema wanachama wengi wa chama hicho walifurahi sana...! Unajua kwa nini? Ni kwa sababu ya picha yake moja aliyoipiga akiwa juu ya jukwaa akisakata rythim yake. Mange, 'Wana kina wenyewe ' watafurahi pia, kwa sababu ya lugha zake zilizokosa staha.
 
Back
Top Bottom