Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 931
- 1,960
Dah! Nimeikumbuka ile kadi ya CCM tuliyopewa kwa lazima nikiwa Korogwe TTC na Profesa Maji Marefu ndani ya Mamba Club ili tu kumuaminisha Kigoda (Mb) wakati huo kwamba waalim wote ni CCM......Kumbaaf wacha niisake iliko namimi niichome mbele ya waandishi wa habari!