Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

mange ndio nani ktk hii nchi mkuu....[emoji34] [emoji34] [emoji34] ....??...hivi great thinkers wa humu inakuwaje....anapewa nafasi ya kila mara kujadiliwa akifanyacho....??..
 
Aje kushindana kwa hoja kwa jukwaa gani? Ben yuko wapi aliewapeleka kwa hoja? Hoja za kushambulia wenzako huku wewe ukipanda majukwaani kugawa vijembe?
Mange anawakilisha sauti ya wengi waliominywa, hata Maisha yakimpiga aitishe michango tutamchangia abaki huko huko tu arushe mabomu hewani tu
 
Who is mange kimange?? Anaishi tz hapa?? Anatibiwa hospital za tz hapa?? Alipiga kura?? Alikuwa na mchango gani ndani ya chama?? Mara ya mwisho alilipia lini kadi yake??ana mchango gani kwa taiga?? Ameshawahi kuwa hata Kiongozi wa mtaa??
Wakati mnarepost video za push ups alizokuwa anapost insta mlijiuliza maswali yote haja. Au mnataka kujitoa akili sasa hivi......mwendo ni kuchoma kadi tu.
 
Huyu dada yetu ambaye maisha ya ughaibuni yamemshinda, eti sasa anafanya kampeni ya kijinga ya kuchoma kadi za vyama vya siasa. Kwanini asirudi Tanzania aje afanye siasa za kistaarabu za kujenga hoja???

Ajitokeze hadharani, aache kujificha chini ya kivuli chake.
Harudi ng'oooooo
Wacha awavueni magwagulo[emoji196] yenu akiwa hukohuko
 
Nadhani niwakati wa kumuunga mkono kuonyesha kile kinachofanywa na serikali ya JPM sio sahii..uhuru wa vyombo vya habari umezimwa kabisa,mbaya zaidi mkuu ataki kusikia anakosolewa au kupigwa.. anajijengea mazingira ya kutawala ki dictator..sijui kama hatataka kubadirisha katiba atawale miaka 20 au 30
 
Huyu dada yetu ambaye maisha ya ughaibuni yamemshinda, eti sasa anafanya kampeni ya kijinga ya kuchoma kadi za vyama vya siasa. Kwanini asirudi Tanzania aje afanye siasa za kistaarabu za kujenga hoja???

Ajitokeze hadharani, aache kujificha chini ya kivuli chake.
Usiseme kadi za vyama as if hujaona ni kadi moja na ya chama gani?
Mbona ameweka hoja zake pale i.e. bungelive, freeMelo, wabunge ccm kutetea serikali badala ya wananchi waliowachagua. Au kwako hoja mpaka atajwe His excel..JUMA MAHARAGE.
Alaf nikuulize kati yako na mange nani amejificha?
 
Huyu dada yetu ambaye maisha ya ughaibuni yamemshinda, eti sasa anafanya kampeni ya kijinga ya kuchoma kadi za vyama vya siasa. Kwanini asirudi Tanzania aje afanye siasa za kistaarabu za kujenga hoja???

Ajitokeze hadharani, aache kujificha chini ya kivuli chake.
Ni uhuru wake, kinacho kuuma sana ni kitu gani? We endelea na ushabiki wa chama chake, na yeye amekwambia hati chama Chochote.
 
Back
Top Bottom