Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Kumbe Mange anawaumiwa wengi... Hata wale wa lumumba pia watakuwa wanaumizwa
 
Wapo jeuri kuliko huyo dada na sasa hivi kimya!!!!kuna jeuri kuliko simba? Sharubu zake zinachezewa!!!!
Simba yupi?Kama mnyama basi pole sana,mtoto mjinga ni mzigo kwa mama yake
 
Huyu dada yetu ambaye maisha ya ughaibuni yamemshinda, eti sasa anafanya kampeni ya kijinga ya kuchoma kadi za vyama vya siasa. Kwanini asirudi Tanzania aje afanye siasa za kistaarabu za kujenga hoja???

Ajitokeze hadharani, aache kujificha chini ya kivuli chake.
Hali kwako,hanyi kwako,halali kwako,hahitaji chochote kwako sasa ukimdharau weka siri moyoni mwako na zaidi mshirikishe mumeo,mbona kadi kibao zimeshawahi kuchomwa husemi,jisepee kivyakovyako
 
Alivyokuwa anampigia kampeni kwa sifa mwaka jana alijua atachaguliwa waziri nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wewe ni kibaraka wa mange??

Wewe ndiye kibaraka wao,
Eti aje ashindane kwa hoja!! Unaelewa ulichoandika kweli?
Wajua wa Tz wangapi wangekuwa wanafanya kama yake au zaidi kama wangekuwa na nafasi kama yake.
 
Umaarufu utumbo,hana lolote, ni frustrasion ya maisha,kapewa talaka na muzungu,kazi hana, umalaya haimlipi ni mkubwa ki umuri[emoji13]
Umesikika,nenda kwenye instagram yake!Tayari watu wameitikia na wanachoma na kumtumia halafu yeye anapost!
 
Ha ha ha amekuja kivingine..kwangu Ni kigeugeu..

Wewe unamuona kigeugeu, yeye anajiona sio mnafiki. Aliowasifia sasa wanafanya tofauti na alichoamini, vipi aendelee kuwa msukule kisa asionekane kigeugeu???
Wenzetu wanaendelea kwa kutokuwa wanafiki.

Nampenda huyu mdada kwa jinsi asivyo mnafiki.
 
Watanzania tuwe wavumulivu jamani inasemekana mambo yatakuwa magumu mwanzoni Ila baadaye kidogo yatakuwa mazuri
 
Back
Top Bottom