Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange ni mtu jasiri sana , sio mnafiki alimsupport Magufuli , ila alivyoona Magufuli anaenda kinyume na alivyotuahidi , Mange hajasita kumpinga Magufuli . Ndivyo wazungu wa ulaya magharibi walivyo . wakikupa kura then ukaenda kinyume na sera ulizoahidi . Jua kabisa uchaguzi unaofata hawakuchagui . Lazima watanzania tujue haki zetu , lazima muone thamani ya kura zenu . Amkeni watanzania
 
Huyu Dada ni balaa, nilisoma moja ya post zake kule insta.....wallah nimemkoma.........kama hii ndio njia ya kutuomba msamaha kwa kumtukana mgombea wetu kipindi ile ya Kampeni, basi amekuja na speed Kali.
Keshaisoma namba sasa anahaha hana lolote!!
 
maamuzi huwa hawaamuliani.... la msingi ni kusikiliza ushauri wake ila tumia akili yako kuamua.....
hivi unadhan kuchoma karatasi kutakupa faida gani kimaendeleo.... la msingi ni kubadili mfumo wa maisha kulingana na muda..
##Love yours
 
FREE MAX MELO FREE GODBLESS LEMA WE DONT WANT DICTATORSHIP IN TANZANIA.
 
Da hatare sana hii! Wakati naipiga moto kadi yangu ya ccm sikueleweka nafikiri tendo hili ltasaidia kwa wale wasionielewa
 
Hao akina mange na wenzao wallioko nje hawajielewi wanachoma kadi za CCM chama tawala halafu kesho unakuta wanaipigia magoti CCM na serikali ya CCM Eti iwasaidie kupata uraia wa nchi Mbili!!!!!!! Paradox!!!!!!!!!!!
CCM hata ikikwambia uvue nguo utembee uchi utavua tu maana hata wewe hujielewi
 
Hao akina mange na wenzao wallioko nje hawajielewi wanachoma kadi za CCM chama tawala halafu kesho unakuta wanaipigia magoti CCM na serikali ya CCM Eti iwasaidie kupata uraia wa nchi Mbili!!!!!!! Paradox!!!!!!!!!!!
Hivi ccm imekufanyia nini mpk sasa?
 
Back
Top Bottom