Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Kuchoma kadi then wanachama wanapungua? Watu walihama chama wakati wa uchaguzi lakini chama kwanza kinastawi.
Lowasa alihama na wanachama lakini wapi chama kiko imara kama ngongoti.
Operation,sangara,m4c,ukuta,zilipangwa lakini chama bado ni mhimiri imara usioyumba eti mange kachoma kadi,nae anahisi kafanya hot issue.she knows nothing ccm.
Aliibiwa kura, alikuwa ameshinda, kwa kuhama na wanachama walileta effect ( quote from By Lowasa)
 
Sasa kumbe Mange kuchoma yake "haina impact" yeyote!!

YAANI AMECHELEWA MNO. ALIKUWA WAPI KIPINDI CHOTE.

LAKINI NAMPONGEZA KWA KUONYESHA UZALENDO. MIMI KADI YANGU YA CCM NILIICHANA VIPANDE VIPANDE MWAKA 2010 NA KUTUPA. NILIONA MUDA MREFU KJUWA CCM NI GARI BOVU.

Hakuna Kulala.jpg


CDM vs CCM bus.jpg
 
Opereni choma moto kadi ya ccm iliyoanzishwa na mange kimambi kule instagram imeanza kupamba moto ndani ya mitandao ya kijamii hususan facebook. twitter na instagram
Sasa ndo nimeamini rasmi kwamba ni jinsi gani watu walivyoichoka ccm na serikali
Ninini kulikoni?
jibu mnalo
 
Opereni choma moto kadi ya ccm iliyoanzishwa na mange kimambi kule instagram imeanza kupamba moto ndani ya mitandao ya kijamii hususan facebook. twitter na instagram
Sasa ndo nimeamini rasmi kwamba ni jinsi gani watu walivyoichoka ccm na serikali
Ninini kulikoni?
jibu mnalo
Ngoma ya watoto haikeshi
 
Kwa mange sawa tumeona video.....huko kwengine mbona haujaweka ishahidi
 
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.
1bc220c42188ac82c80e670133373573.jpg

Hiki kimama kina ugonjwa wa akili. kwani mange kimavi ni nani. umashuhuri wake ni wa visa vya ovyo ovyo. huko marekani kinajidai kimewekwa kinyumba na bwana wa kizungu eti ndio sifa yake. usikute ni kichangudoa. hebu wanaokijua waweke cv yake hapa tuone. tusifike kujidhalilisha kiasi hicho eti mange kimambi anamjudge rais wetu kama yeye mange ni mtu wa maana. unachoma kadi ya chama numero una cha ukombozi afrika halafu unangojea kupigiwa makofi. utapigiwa makofi na wajinga na vibaraka mabepari uchwara. hawa ndio wanatamani jpm ashindwe na kuangamia.
 
ooooooh Lowasa huyo, ooooh Lowasa huyo
akina baba - Lowasa
mashuleni - Lowasa
misikitini - Lowasa
makanisani - Lowasa
akina mama - Lowasa
vijana - Lowasa
na watoto - Lowasa
ooooh Lowasa huyo, ooooh Lowasa huyo

by msaga sumu
 
Opereni choma moto kadi ya ccm iliyoanzishwa na mange kimambi kule instagram imeanza kupamba moto ndani ya mitandao ya kijamii hususan facebook. twitter na instagram
Sasa ndo nimeamini rasmi kwamba ni jinsi gani watu walivyoichoka ccm na serikali
Ninini kulikoni?
jibu mnalo
Malofa na wapumbavu ndio hufanya haya alafu tunawasubiri kwenye boksi la mpiga kura tunawafunga midomo.
Kuna wale walio choma magazeti ya Mengi moto wakidhani wanamkomoa ......
 
ooooooh Lowasa huyo, ooooh Lowasa huyo
akina baba - Lowasa
mashuleni - Lowasa
misikitini - Lowasa
makanisani - Lowasa
akina mama - Lowasa
vijana - Lowasa
na watoto - Lowasa
ooooh Lowasa huyo, ooooh Lowasa huyo

by msaga sumu
hahaaha huuu wimbo ulitamba sana 2015 lakini alitoka kapa...watanzania sio watu wa mchezo mchezo.
 
Back
Top Bottom