Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Wapiga deal tu ndo watakaochoma na kwa bahati mbaya wapiga deal wengi si wapiga kura na hawazidi hata 15%
 
Mange akwende zake,,alimpigia kampeni huyu mirembe day mwenzie kwa nguvu zake zote akajua atapewa hata ka ukuu wa mkoa kumbe wapi....
 
Ndicho chama tawala.Km hupendi ama hama nchi au kufa!Vinginevyo pilipili isiyo yako yakuwashia nini?!

Chama kilichooza,kisichokua na nyuma wala mbele. Mmekula hela za maafa,mnangaika na Faru badala ya kuangaika na matatizo ya wananchi?
 
Kutokana na kuchoshwa na ahad hewa na kuzuia demokrasia na mtukufu kula pesa za tetemeko kagera na kumfungia maxence melo hii ni kampen imekuwa nzur zaid kuonesha kuchukizwa na matendo hayo kwa KUANZA na kuchoma kad za uanachama wa ccm

Ameandika hiv mange


@Regrann from @mangekimambi_ - It's official, sina chama......
.
.
[HASHTAG]#Opereshenichomakadiyaccm[/HASHTAG]
.
.
Kama na wewe unapinga udikteta wa Magufuli, kama unataka [HASHTAG]#Bungelive[/HASHTAG], kama unapinga kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari, kama unapinga watanzania kunyimwa uhuru wa kujieleza, kama unapinga wabunge wa CCM kupitisha sheria zinazokiuka haki za binadamu, kama umechoka kuona wabunge wa CCM wakisaidia chama na sio mwananchi, kama unapinga MaxMelo wa jamiiforums kukamatwa, kama unapinga Lema kuwa ndani mpaka leo sababu ya maono/ndoto, kama unapinga wabunge wa upinzani kufukuzwa bungeni , kama umechoka na ahadi za CCM , kama umechoka umaskini, kama ni mwanafunzi umerudi nyumbani kwa kukosa mkopo, kama wewe ni mwalimu wa sanaa, kama unasubiria ajira ya serikalini toka mwaka jana, kama biashara yako imekufa sababu ya makodi, kama ulisikitika mwenyekiti wa CCM kupiga panga pesa za mchango wa Kagera, kama umechoka umaskini, kama unataka kuona system MPYA Tanzania in 2020. Kwa kifupi kama umechoka na ungese wa CCM basi ntumie video yako ukichoma kadi yako ya CCM.... Maana wanadhani wanaowakosoa ni wapinzani kumbe wanakosolewa na watanzania wasiojali vyama bali nchi yao..
.
.
Tukitaka kuandama wanatishia kututoa uhai. Kuna njia zingine za kuwaonyesha hatuko nao. Njia moja ndo hii [HASHTAG]#OpereshenichomakadiyaCCM[/HASHTAG]
.
.
Ntumie video yako kwa whatsapp +1 310 855 4352
.
.
.
.

PS: ni kadi ya 2015 coz nilipoteza ya zamani.... - [HASHTAG]#regrann[/HASHTAG]
Mwehu yule hivi tumeishiwa namna hii mpaka tuanze kumjadili humu?leteni hoja za maana basi
 
Kutokana na kuchoshwa na ahad hewa na kuzuia demokrasia na mtukufu kula pesa za tetemeko kagera na kumfungia maxence melo hii ni kampen imekuwa nzur zaid kuonesha kuchukizwa na matendo hayo kwa KUANZA na kuchoma kad za uanachama wa ccm

Ameandika hiv mange


@Regrann from @mangekimambi_ - It's official, sina chama......
.
.
[HASHTAG]#Opereshenichomakadiyaccm[/HASHTAG]
.
.
Kama na wewe unapinga udikteta wa Magufuli, kama unataka [HASHTAG]#Bungelive[/HASHTAG], kama unapinga kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari, kama unapinga watanzania kunyimwa uhuru wa kujieleza, kama unapinga wabunge wa CCM kupitisha sheria zinazokiuka haki za binadamu, kama umechoka kuona wabunge wa CCM wakisaidia chama na sio mwananchi, kama unapinga MaxMelo wa jamiiforums kukamatwa, kama unapinga Lema kuwa ndani mpaka leo sababu ya maono/ndoto, kama unapinga wabunge wa upinzani kufukuzwa bungeni , kama umechoka na ahadi za CCM , kama umechoka umaskini, kama ni mwanafunzi umerudi nyumbani kwa kukosa mkopo, kama wewe ni mwalimu wa sanaa, kama unasubiria ajira ya serikalini toka mwaka jana, kama biashara yako imekufa sababu ya makodi, kama ulisikitika mwenyekiti wa CCM kupiga panga pesa za mchango wa Kagera, kama umechoka umaskini, kama unataka kuona system MPYA Tanzania in 2020. Kwa kifupi kama umechoka na ungese wa CCM basi ntumie video yako ukichoma kadi yako ya CCM.... Maana wanadhani wanaowakosoa ni wapinzani kumbe wanakosolewa na watanzania wasiojali vyama bali nchi yao..
.
.
Tukitaka kuandama wanatishia kututoa uhai. Kuna njia zingine za kuwaonyesha hatuko nao. Njia moja ndo hii [HASHTAG]#OpereshenichomakadiyaCCM[/HASHTAG]
.
.
Ntumie video yako kwa whatsapp +1 310 855 4352
.
.
.
.

PS: ni kadi ya 2015 coz nilipoteza ya zamani.... - [HASHTAG]#regrann[/HASHTAG]
Ushauri tu kwa wahamasishaji kama hawa na wahasishwaji unatakiwa sana Ku kumbuka kuna sheria,kanuni na taratibu ktk nchi hii zinazoongoza utaratibu wa utawala.

Fanya unalofanya lakini kumbuka hilo,akili za mwenzako changanya na za kwako.
 
Swali langu kwa Kimambi, kwa hiyo anataka an anarchy state au kwa sasa anamsapoti lowassa? Wakati wa kampeni alimchafua sana lowassa!
Hii ni janja ya nyani ya kuji-banish kuja Tz, kwanza alidai atakuja gombea ubunge, kasoma alama za nyakati kuwa haiwezekani.
 
Mange ana tatizo la Bipolar disorder,talaka,kukosa pesa,kuishi katika maisha ya hali ya chini vyote hivyo vimemsababishia Bipolar disorder.
pia atakuwa na alzheimer's disease au dimentia iliyopelekea asahau kumeza haloperidol na carbamazepine zake na sasa tunauona mcharuko.
 
Kwahiyo Mtu Kama Ana Matatizo Yote Hayo - Umasikini, Mikopo Ya Wanafunzi, Kuwa Jela Au Polisi, Kubuma Biashara Nk Anatakiwa Ahamie Chadema ??

Halafu Ni Kwanini Kuna Watu Huwa Wanafikiri Watanzania Wote Wana Vyama Au Wanachama Wa Vya Siasa ?

Kuna Watu Hawajishughulishi Kabisa Na Siasa Za Vyama Vya Siasa, Wana Mambo Yao Tu Na Yanasonga

Mtu Anakwambia CCM Imekufanya Masikini Wakati Yeye Si Masikini Tena Katajirika Ndani Utawala Huo Huo Wa Hao CCM, Sasa Sijui Kama CCM Inabagua Watu Wa Kuwafanya Masikini Na Wengine Tajiri.
 
Back
Top Bottom