supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,970
Pongezi sana kwake, ni ujasiri na pia ni sapot kwa max na JF.na kwenye page yake swala la Max analiongelea saaana. anasemaga JF yenyewe wanamchambaga yeye lakini ndio uhuru wa maoni...
Pongezi sana kwake, ni ujasiri na pia ni sapot kwa max na JF.na kwenye page yake swala la Max analiongelea saaana. anasemaga JF yenyewe wanamchambaga yeye lakini ndio uhuru wa maoni...
100%, tunamdharau na kumpuuza coz tunajua matatizo ya akili aliyonayo.Are you sure?
Chizi huyu anatanga na njia anahangaika.
Wala sio ajabu tunatofautiana hats uelewa wengine haraka wengine taratibu![emoji111]Amechelewa sana, Wengine tulichoma siku mingi!
Mh, anaandika vitu vyenye hoja, labda kwa vile she is against CCM. Lakini anaonekana alikuwa mfuasi mwema wa CCM, hata lile vazi la chama nimeona picha anavaa! Nadhani kuna kitu mlimkorofisha kuhusu "ulaji". Ni "kichaa" lakini........100%, tunamdharau na kumpuuza coz tunajua matatizo ya akili aliyonayo.
Kumbe ni mwanachama wa ccm ndio maana aliweza kuleta ile habari ya babaBaada ya dada kutumbuliwa...anyway...sikuhizi anaboa
Wewe mzima na uliyetulia umefanya nini tukione?Chizi huyu anatanga na njia anahangaika.
Ni kwanini yeye ni stupid sana??Ww ni stupid sana
Serikali inapambana naye kujibishana na kukanusha asemayo wewe unampuuza kwa sababu unaona ana matatizo ya akili. Sasa hapo ndio penye utata, kati yako na serikali nani anahayo matatizo kwani munamchukulia tofauti mtu mmoja.100%, tunamdharau na kumpuuza coz tunajua matatizo ya akili aliyonayo.
hahahhahhah.... anapitia kipindi kigumu sana anahitaji councellingMh, anaandika vitu vyenye hoja, labda kwa vile she is against CCM. Lakini anaonekana alikuwa mfuasi mwema wa CCM, hata lile vazi la chama nimeona picha anavaa! Nadhani kuna kitu mlimkorofisha kuhusu "ulaji". Ni "kichaa" lakini........
Alitoa la kukitetea chama kwamba ni sahihi halafu baadae akadeleteHivi Lemutuz hajatoa tamko lolote tangu dada yake atumbuliwe....
Baada ya masaa machache alifutaAlisema dada yake alikosea..
Bila CCM haishi yule
ile blog ya wananchi ya Lemutuz domain ipo USA au Tz?Baada ya masaa machache alifuta
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.
Ni bora ameondoka maana hata Mungu enzi zile ilikuwa mmoja akiugua ugonjwa wa ajabu mkubwa alipaswa kutengwa na jamii, pasiposhaka huyu bi dada anao ule ugonjwa wa akina Lema, Msigwa, na wengine wa kuhitaji kupelekwa Dodoma ya Milembe. Tunamtakia kila lakheri na matibabuHatari Sana, Mwanachama Hata Mmoja Anapoondoka Kwenye Chama ni Pengo
Ha ha ha amekuja kivingine..kwangu Ni kigeugeu..Huyu Dada ni balaa, nilisoma moja ya post zake kule insta.....wallah nimemkoma.........kama hii ndio njia ya kutuomba msamaha kwa kumtukana mgombea wetu kipindi ile ya Kampeni, basi amekuja na speed Kali.
Kwa huyu chizi kuondoka ni HALLELUJAH. ..Hatari Sana, Mwanachama Hata Mmoja Anapoondoka Kwenye Chama ni Pengo