Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Who is mange kimange?? Anaishi tz hapa?? Anatibiwa hospital za tz hapa?? Alipiga kura?? Alikuwa na mchango gani ndani ya chama?? Mara ya mwisho alilipia lini kadi yake??ana mchango gani kwa taiga?? Ameshawahi kuwa hata Kiongozi wa mtaa??
 
Hii kampeni ya kuchoma kadi ya ccm itafika mbali Na atafanikiwa kuna njia nyingi za kuwakomesha madikteta kama huyo Na ajue mitandao ya kijamii ndio iliondoa serikali zote za wababe ajiulize Libya Tunisia Egypt walitokaje hongera sana mange
 
Serikali inapambana naye kujibishana na kukanusha asemayo wewe unampuuza kwa sababu unaona ana matatizo ya akili. Sasa hapo ndio penye utata, kati yako na serikali nani anahayo matatizo kwani munamchukulia tofauti mtu mmoja.
Angalia habari zile kuwa msaidizi mkuu alitaka kuachia ngazi zilivyo tetemesha na kutumika nguvu kubwa kuzizima jee huoni kuwa wao hawajamchukulia kuwa ana matatizo ya akili?

Kiongonzi hawawezi kuona hilo Serikali inatumia nguvu kumjibu mtu ambae mnamuita chizi
 
chama hakipotei dude pana hilo,mtu akifanya mafyongo ni yeye mwenyewe,mbona mgombea mmoja alivyoshuka kwenye jukwaa na kupiga eti mapushapu hadharani aibu ilifichwa fichwa lakini ukweli wazee wengi waliona aibu, au chama kilipoteza mwelekeo,
 
Sijui Kiki gani unahisi hajaipata, huyo Ndio alisema makamu wa Rais kajiuzulu, ikulu yenyewe ilibidi ikanushe, sasa kuna Kiki zaidi ya hiyo? Chama chenu pendwa sasa kimepotea huo Ndio ujumbe
SHANGAA WW
 
Kule wana utawala wa haki na sheria. Ukishapata green card, no body can revoke it! Huwezi kumwambia mtanzania kuwa wewe si mtanzania, !!! huwezi kumwambia mwamerika kuwa wewe siyo mwamerika. She is a USA citizen/national!
Citizens of the U.S. flash a passport issued by the federal government to prove national origin when visiting foreign countries. Even though a green card holder permanently resides in the United States, proof of citizenship is needed to obtain a U.S. passport.

Alipotaka kuja kugombea ubunge kumbe angekuwa 'muwekezaji'?
 
Who is mange kimange?? Anaishi tz hapa?? Anatibiwa hospital za tz hapa?? Alipiga kura?? Alikuwa na mchango gani ndani ya chama?? Mara ya mwisho alilipia lini kadi yake??ana mchango gani kwa taiga?? Ameshawahi kuwa hata Kiongozi wa mtaa??
si bora usingepoteza muda wako kuandika ulichokiandika jaman aaaaagh we ndo tukuulize who are you ?/
 
Citizens of the U.S. flash a passport issued by the federal government to prove national origin when visiting foreign countries. Even though a green card holder permanently resides in the United States, proof of citizenship is needed to obtain a U.S. passport.

Alipotaka kuja kugombea ubunge kumbe angekuwa 'muwekezaji'?
Ebu nieleweshe please, penye red!
 
Usid
Who is mange kimange?? Anaishi tz hapa?? Anatibiwa hospital za tz hapa?? Alipiga kura?? Alikuwa na mchango gani ndani ya chama?? Mara ya mwisho alilipia lini kadi yake??ana mchango gani kwa taiga?? Ameshawahi kuwa hata Kiongozi wa mtaa??[/QUOT
Usitudanganye kuwa ndani ya ccm kuna mwanachama hai. Kule kuna wanachama wa maslahi hupewa kadi bure kipindi cha kura za maoni na uchaguzi ndani ya chama. Mgombea ndiye hulipia kadi na ada na kumpatia mtu ili ampigie kura. Kati ya wanaccm 10 mmoja tu ndiye anailipia kadi yake lakini hao 9 ni hewa wapo kwa kulipiwa kadi. Sasa twambie huo ndo uanachama? Tena hata wewe ndo hivyo
 
Kama lowsssa aligoma kutupa yake tatizo lolo wapi, acha wajumbe wa chadema waendelee kuwa wanachama wa sisiemu.
 
Sijawahi kuona haja ya kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa, natamani kungekuwa na kadi ya utanzania, wanasiasa ndo wanatakiwa kuwa na kadi za vyama wengine tubaki kuwa na utaifa wetu kwanza, huwa natamani tukienda kwenye kampeni nikute meza kuu wamevaa mavazi yao ya vyama alafu wasikilizaji wote tumebeba bendera ya taifa.
 
Ndani ya ccm
Who is mange kimange?? Anaishi tz hapa?? Anatibiwa hospital za tz hapa?? Alipiga kura?? Alikuwa na mchango gani ndani ya chama?? Mara ya mwisho alilipia lini kadi yake??ana mchango gani kwa taiga?? Ameshawahi kuwa hata Kiongozi wa mtaa??
Ndani ya ccm kati ya wanaojiita wanaccm 10 mmoja tu ndiye mwanaccm na 9 ni hewani waliopewa kadi na kulipiwa ada na wagombea ndani ya chama ili wapate kuwapigia kura.
 
Kadata huyu. Hana tena jinsi nyingine ya kuishi. Mda si mrefu atajinyonga . Hahaha hu mchezo hauhitaji hasira.
 
huyo ni chizi tuu na hana athari.mambo yote ni kwenye boksi la mpiga kura....naomba tukutane 2020 alafu muone
 
Kasaka tonge mpaka kaamua kwenda kuuza papuchi marekani sasa anamua kujitoa akili angechoma na papuchi afe njaa vizuri
 
Back
Top Bottom