Elewa 7hag Hana uwezo wakufundisha soka la kisasaTen hag aache mambo ya kijinga.
Tumeingia kwenye mchezo kama underdog tunavizia counter.
Man united haijawahi kuwa kinyonge namna hiyo dhidi ya Arsenal.
Kitu pekee labda nimeona positive kwa Hojlund anaweza kutusaidia sana kule mbele endapo wing zetu hazitacheza kwa uchoyo kama Rashford.
Kuna kejeli nyingi humu za mashabiki wa arsenal, hawa kila wakati wanataka kujilinganisha na sisi lakini kiuhalisia wanajijua hamna kitu, mwaka jana tumewazidi mafanikio na mwaka huu tutawizidi pia.






Mwanangu sana uyu pamoja na mudi mibioThe last time a player Scored against Arsenal on his Debut flopped....
Rasmus don't you dareView attachment 2735748
Rashford +Anthony+ Martial wamezidiwa touches na Onana sasa hiyo timu au kikundi cha wahuni. Ni Haaland tu huwa anazidiwa touches na Ederson lakini kwa kuanzia kiungo na wingers wanakuwa na matouches ya kutosha pale Man c. Sasa unamuuza De gea halafu touches za Onana zinasaidia nini kama hazizalishi touches nyingi kwa washambuliaji?Kweli we dunga,,
Tuletee mechi ambayo Halaand ana touches nyingi kuzidi Ederson.

#MUFC
Huyu si DR SANTOS ?Erik 7Hag vs the top 6 away
7 games played
1 draw
6 losses
Greatest manager of all time???View attachment 2737905
Bora julio kiwelu kuliko jasusi Ten hagHana kosa ,kocha wao uwezo mdogo
Timu inataka kufunga magoli kwa kuvizia na turnover
Bila Rashford kuwa form ,7hag Hana tofaut na Jamhuri Julio kiwelo
Duuh nitaelewa mbeleni huko 🍻Azidi sehemu ya mwili inayoruhusiwa kufunga goli na asiwe kwenye half yake
Marcus Rashford is only the second #mufc player to score in 𝗧𝗛𝗥𝗘𝗘 consecutive Premier League games against Arsenal, after Robin van Persie. 
.












