Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumepoteza mechi kwa uzembe wa wachezaji wachache tu hasa por marking ua beki zetu, ila kiufupi kocha hawezi kupewa lawama maana hakukuwa na option ya Erksen nje, leo huyu bwana katugharimu maana alichoka sana, pia wadau leo mtakubaliana na mimi Antony akifanyiwa sub huwa tunapata majanga sana.

Nilichokifurahia ni hatari ya timu yetu waliyopeleka kule mbele baada ya Hodjlund kuingia naamini baada ya international break tutaiona utd ya tofauti kabsa
Kosa kubwa kocha alilofanya ni kuwaingiza Maguire na Evans wacheze kwa pamoja kwenye mechi yenye uzito Kama hii wakati hawajai kucheza mechi hata moja.

Kwa kiungo chetu cha leo nacho kimetuua Sana kumchezesha casemiro na ericksen uwaga mechi uwa ngumu sana upande wetu na ukicheki sub amna watu wakusema wataingia kupokea kiungo.

Wan bisaka jamaa kawa wa moto sana kocha afikie wakati kuwa kwenye mechi kubwa na ngumu Antony awe ana muacha amalize dk jamaa akitoka tuna tingwa Sana.
 
Tumepoteza mechi kwa uzembe wa wachezaji wachache tu hasa por marking ua beki zetu, ila kiufupi kocha hawezi kupewa lawama maana hakukuwa na option ya Erksen nje, leo huyu bwana katugharimu maana alichoka sana, pia wadau leo mtakubaliana na mimi Antony akifanyiwa sub huwa tunapata majanga sana.

Nilichokifurahia ni hatari ya timu yetu waliyopeleka kule mbele baada ya Hodjlund kuingia naamini baada ya international break tutaiona utd ya tofauti kabsa
Team imecheza vizuri leo hongera kwa kocha na wachezaji.Arsenal wameshinda lakini hawana furaha walitegemea tung'ekua wanyonge
 
Hii game imeharibika baada ya Maguire kuingia. Kocha akaona haitoshi akamuongeza na Evance.

Anyways performance ilikua nzuri kiasi chake, Arsenal walikua wanashindwa kufanya pressing effectively.
Kwa mara leo nimeona man u anaongoza possesion mbele ya arsenal, ingawa mambo yariharibika baada ya Martinez kutoka. Kuna puzzle ndogo kwenye midfield Th akiweza kusolve kutakua na improments mechi zijazo.
 
Back
Top Bottom