Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii game imeharibika baada ya Maguire kuingia. Kocha akaona haitoshi akamuongeza na Evance.

Anyways performance ilikua nzuri kiasi chake, Arsenal walikua wanashindwa kufanya pressing effectively.
Kwa mara leo nimeona man u anaongoza possesion mbele ya arsenal, ingawa mambo yariharibika baada ya Martinez kutoka. Kuna puzzle ndogo kwenye midfield Th akiweza kusolve kutakua na improments mechi zijazo.
 
Halafu mnadanganyana 7hag bonge la kocha


"Man utd mfumo wanaotumia ni kumwambia Onana piga mpira mbele mtafute Rashford aangalie namna ya kufunga goli"

Ian wrighty
20230903_211835.jpg
 
Timu mbovu ,wakati muda wote tunawapumulia tu

Niliuliza humu mtaweza kuzuia msako wa nyani


Sikupata jibu
Hio ni first half.Second half
 

Attachments

  • Screenshot_20230903-192430_Google.jpg
    Screenshot_20230903-192430_Google.jpg
    64.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230903-212109_Google.jpg
    Screenshot_20230903-212109_Google.jpg
    67.7 KB · Views: 1
Siku hizi tunakosa uchambuzi mzuri sijui kuna shida fani.
 
Back
Top Bottom