76er
JF-Expert Member
- Jun 9, 2017
- 210
- 482
Hii game imeharibika baada ya Maguire kuingia. Kocha akaona haitoshi akamuongeza na Evance.
Anyways performance ilikua nzuri kiasi chake, Arsenal walikua wanashindwa kufanya pressing effectively.
Kwa mara leo nimeona man u anaongoza possesion mbele ya arsenal, ingawa mambo yariharibika baada ya Martinez kutoka. Kuna puzzle ndogo kwenye midfield Th akiweza kusolve kutakua na improments mechi zijazo.
Anyways performance ilikua nzuri kiasi chake, Arsenal walikua wanashindwa kufanya pressing effectively.
Kwa mara leo nimeona man u anaongoza possesion mbele ya arsenal, ingawa mambo yariharibika baada ya Martinez kutoka. Kuna puzzle ndogo kwenye midfield Th akiweza kusolve kutakua na improments mechi zijazo.


Ian wrighty






