Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio Maana nilisema bado sijaona timu ya kuzuia msako pale Emirates

20230903_215600.jpg
 
Kosa kubwa kocha alilofanya ni kuwaingiza Maguire na Evans wacheze kwa pamoja kwenye mechi yenye uzito Kama hii wakati hawajai kucheza mechi hata moja.

Kwa kiungo chetu cha leo nacho kimetuua Sana kumchezesha casemiro na ericksen uwaga mechi uwa ngumu sana upande wetu na ukicheki sub amna watu wakusema wataingia kupokea kiungo.

Wan bisaka jamaa kawa wa moto sana kocha afikie wakati kuwa kwenye mechi kubwa na ngumu Antony awe ana muacha amalize dk jamaa akitoka tuna tingwa Sana.
Kuna kitu Antony huwa anaprovide kwenye timu ila kuna mashabiki tena wenzetu wa man u huwa hawaelewi. Antony yule wa Ajax ni tofauty kabisa na huyu wa utd. Akiwa ajax ni kama alikuwa free mno kuuchezea mpira na pia alikuwa akamiwi sana kama ilivyo kwa utd. Huku anapewa majukumu ya kukaba na kuanza mashambulizi tena akianzia pembeni na sio kuingia ndani hii humfanya kuwa marked na mchezaji zaidi ya mmoja wa timu pinzani hivyo kutoa nafasi kwa wenzake kutanua. Kifupi ni kuwa wachezaji wa timu pinzani huwa wanaiona hatari ya Antony akiwa na mpira au hata asipokuwa nao.
 
Niwe tu mkweli huaga najiskia Vizuri sana nikiona Manjesta wanateseka..
 
Tuli sare na Fulham mkaja kutupigia kelele

Nikawauliza mna timu ya kustahimili msako wa nyani pale Emirates?

Wenzenu Fulham ,Leno alifanya kazi kubwa Sana
20230903_220054.jpg
 
Back
Top Bottom