El Tiger
Senior Member
- Aug 15, 2018
- 142
- 785
Dah! Ndo Mpira na Ndo Sheria ambazo still hazieleweki! Kongole kwa Arsenal kwa Ushindi ni moja ya timu zikitoa Ushindani ligi inachangamka
Game ya ya leo imekuwa Suprise kwa Wengi, Arsenal hawakutegemea Upinzani wa namna hii {1st Half hata Possession wanaojinasibu kui-master UTD iliwazidia}
Kikosi cha Leo kilichoanza Usajili Mpya ni Onana tu. Arteta Karibu Wachezaji wote ni usajili wake, So Project yake imefika Phase ya mbali. UTD imedhihirika kuna Players walotakiwa wawe wanaanza huko Crystal Palace! Martinelli kam-Bully AWB game yote, Kuumia kwa Martinez then unaona tunamweka Evance inakupa taswira ya tulipo, Martial ni talent ilopotea kwa Attitude Mbovu, Rashy usipofanya Counter hana anachokupa cha ziada {Game kubwa nyingi anang'aa sababu zinampa Uhuru wa Kukimbia} Tulikuwa na Timu yenye CR7, WAZZA, TEVEZ, DIMITAR, NANI et al. Hamna namna yoyote Rashy anaanza kwa hao so Kumtetea sana ni kukiri kushuka kwa Standard UTD!
AWB Positioning ni 0, Rice anatuliza mpaka anashoot hana hata wa kumgasi na akifanya Overlap hutegemei Afunge ama Atoe Assist Same Case kwa Dalot. Hojlund amekuwa na DK Chache tu ila unaona DEF wanajua wanakabana na CF sio hawa kina Martial, Rashy,
My wishlist bado naamni UTD inahitai RB {Bah /Vanderson/ Fresneda/ Hakimi} LW {Leao / Kvaratshelia} CB's {Diomande & Antonio Silva} na CF wa kusaidiana na Hojlund karata yangu ni Evan Ferguson. {Walau tukuze Standard tuna Deadwoods nyingi sana na Management ilikuwa ya Hovyo wamezifunga na Mikataba mikubwa kuwauza inakuwa kazi sana mana timu nyingi Wanashindwana kwenye Mishahara}
Kongole hamis77 mkorea Game Lazima iwe na Matokeo leo yamekuwa Upande wenu, Kiroho safi Hongereni.









Højlund:"What you can expect from me? Hard work, a guy that really wants to help the team,I wanna die for this logo [#mufc badge].”