Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah! Ndo Mpira na Ndo Sheria ambazo still hazieleweki! Kongole kwa Arsenal kwa Ushindi ni moja ya timu zikitoa Ushindani ligi inachangamka
Game ya ya leo imekuwa Suprise kwa Wengi, Arsenal hawakutegemea Upinzani wa namna hii {1st Half hata Possession wanaojinasibu kui-master UTD iliwazidia}

Kikosi cha Leo kilichoanza Usajili Mpya ni Onana tu. Arteta Karibu Wachezaji wote ni usajili wake, So Project yake imefika Phase ya mbali. UTD imedhihirika kuna Players walotakiwa wawe wanaanza huko Crystal Palace! Martinelli kam-Bully AWB game yote, Kuumia kwa Martinez then unaona tunamweka Evance inakupa taswira ya tulipo, Martial ni talent ilopotea kwa Attitude Mbovu, Rashy usipofanya Counter hana anachokupa cha ziada {Game kubwa nyingi anang'aa sababu zinampa Uhuru wa Kukimbia} Tulikuwa na Timu yenye CR7, WAZZA, TEVEZ, DIMITAR, NANI et al. Hamna namna yoyote Rashy anaanza kwa hao so Kumtetea sana ni kukiri kushuka kwa Standard UTD!

AWB Positioning ni 0, Rice anatuliza mpaka anashoot hana hata wa kumgasi na akifanya Overlap hutegemei Afunge ama Atoe Assist Same Case kwa Dalot. Hojlund amekuwa na DK Chache tu ila unaona DEF wanajua wanakabana na CF sio hawa kina Martial, Rashy,

My wishlist bado naamni UTD inahitai RB {Bah /Vanderson/ Fresneda/ Hakimi} LW {Leao / Kvaratshelia} CB's {Diomande & Antonio Silva} na CF wa kusaidiana na Hojlund karata yangu ni Evan Ferguson. {Walau tukuze Standard tuna Deadwoods nyingi sana na Management ilikuwa ya Hovyo wamezifunga na Mikataba mikubwa kuwauza inakuwa kazi sana mana timu nyingi Wanashindwana kwenye Mishahara}

Kongole hamis77 mkorea Game Lazima iwe na Matokeo leo yamekuwa Upande wenu, Kiroho safi Hongereni.
 
Rasmus Hojlund: "My father introduced me to Cristiano [Ronaldo] and he wanted me to idolise him, I think because he has a good mentality."


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230903_213711_133.jpg
 
Højlund:"What you can expect from me? Hard work, a guy that really wants to help the team,I wanna die for this logo [#mufc badge].”

[Sky Sports]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230903_213720_671.jpg
 
BREAKING: Erik ten Hag says Jadon Sancho simply wasn't selected for the squad vs Arsenal. He was NOT ill or injured.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230903_214037_399.jpg
 
Erik Ten Hag -
“We played a very good game”


“It’s not offside. Wrong angle. Penalty on Hojlund. Foul on Evans.”

“Rasmus Hojlund had a very good impact on the game.”

“The performance was right for us. Everything went against us.”


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230903_214708_692.jpg
 
Ni kweli...Nilikuwa nikaangalizie bar hii mechi niwatukane mashabiki wa aseno lakini baada ya kumuona Erickson na Martial ngoja niangalizie tu hapa nyumbani.
Si muwauze Sasa hao wachezaji mizigo
 
Kosa kubwa kocha alilofanya ni kuwaingiza Maguire na Evans wacheze kwa pamoja kwenye mechi yenye uzito Kama hii wakati hawajai kucheza mechi hata moja.

Kwa kiungo chetu cha leo nacho kimetuua Sana kumchezesha casemiro na ericksen uwaga mechi uwa ngumu sana upande wetu na ukicheki sub amna watu wakusema wataingia kupokea kiungo.

Wan bisaka jamaa kawa wa moto sana kocha afikie wakati kuwa kwenye mechi kubwa na ngumu Antony awe ana muacha amalize dk jamaa akitoka tuna tingwa Sana.
Mazoezini wanachezaga PAMOJA
 
Ndio Maana nilisema bado sijaona timu ya kuzuia msako pale Emirates

20230903_215600.jpg
 
Back
Top Bottom