Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jumapili mtamkumbuka huyu, tutarudi hapa View attachment 2735345
Tuliahidi, tunatekeleza
20230903_212826.jpg
 
Ten hag aache mambo ya kijinga.
Tumeingia kwenye mchezo kama underdog tunavizia counter.

Man united haijawahi kuwa kinyonge namna hiyo dhidi ya Arsenal.

Kitu pekee labda nimeona positive kwa Hojlund anaweza kutusaidia sana kule mbele endapo wing zetu hazitacheza kwa uchoyo kama Rashford.
 
Raha ya mechi bao tena ziwe za mbali sio karibu uta mboa mai wako
 
lindelof inaonekana amepata majeruhi kwa jinsi anavyotembea.
namuona jurrien timber na majiti yake
kama si break ya international, tungelicheza mechi zetu huku safu ya ulinzi ikiundwa na jonny evans pamoja na harry maguire.

 
Ten hag aache mambo ya kijinga.
Tumeingia kwenye mchezo kama underdog tunavizia counter.

Man united haijawahi kuwa kinyonge namna hiyo dhidi ya Arsenal.

Kitu pekee labda nimeona positive kwa Hojlund anaweza kutusaidia sana kule mbele endapo wing zetu hazitacheza kwa uchoyo kama Rashford.
Elewa 7hag Hana uwezo wakufundisha soka la kisasa

Anazidiwa mbali na Ole guna

Kule Ajax hata mgunda anabeba Makombe
 
Kweli we dunga,,

Tuletee mechi ambayo Halaand ana touches nyingi kuzidi Ederson.
Rashford +Anthony+ Martial wamezidiwa touches na Onana sasa hiyo timu au kikundi cha wahuni. Ni Haaland tu huwa anazidiwa touches na Ederson lakini kwa kuanzia kiungo na wingers wanakuwa na matouches ya kutosha pale Man c. Sasa unamuuza De gea halafu touches za Onana zinasaidia nini kama hazizalishi touches nyingi kwa washambuliaji?
 
7hag bhana ,anajifanyaga ana maamuzi magumu ,ameshindwa ku develop hiki kipaji anasingizia ujinga mwingine


Erik 7 hag

“Jadon Sancho out? Based on performance on training we didn't select him”. #MUFC

“You have to reach the level every day at Manchester United. That’s why in this game he wasn't selected”.
 
During his press conference, Ten Hag defined Sofyan Amrabat as a number six before then saying he can play alongside Casemiro
 
Back
Top Bottom