Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu mnadanganyana 7hag bonge la kocha


"Man utd mfumo wanaotumia ni kumwambia Onana piga mpira mbele mtafute Rashford aangalie namna ya kufunga goli"

Ian wrighty
20230903_211835.jpg
 
Timu mbovu ,wakati muda wote tunawapumulia tu

Niliuliza humu mtaweza kuzuia msako wa nyani


Sikupata jibu
Hio ni first half.Second half
 

Attachments

  • Screenshot_20230903-192430_Google.jpg
    Screenshot_20230903-192430_Google.jpg
    64.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230903-212109_Google.jpg
    Screenshot_20230903-212109_Google.jpg
    67.7 KB · Views: 1
Siku hizi tunakosa uchambuzi mzuri sijui kuna shida fani.
 
Ten hag aache mambo ya kijinga.
Tumeingia kwenye mchezo kama underdog tunavizia counter.

Man united haijawahi kuwa kinyonge namna hiyo dhidi ya Arsenal.

Kitu pekee labda nimeona positive kwa Hojlund anaweza kutusaidia sana kule mbele endapo wing zetu hazitacheza kwa uchoyo kama Rashford.
 
Back
Top Bottom