ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,549
- 7,987
Kwa nini alimuuza mwamba FRED alikuwa anavuruga sana hapo kati anamuacha Tominay.Mkuu unapenda malalamiko hivi kikosi Cha sub ukioni ukimtoa ericksen acheze Nani pale?
Kwa nini alimuuza mwamba FRED alikuwa anavuruga sana hapo kati anamuacha Tominay.Mkuu unapenda malalamiko hivi kikosi Cha sub ukioni ukimtoa ericksen acheze Nani pale?
Huyu fala anatuchezea akili zetuSasa hivi wanataka 10b 2025 si itakuwa 35b duuh 😄
Ni kweli...Nilikuwa nikaangalizie bar hii mechi niwatukane mashabiki wa aseno lakini baada ya kumuona Erickson na Martial ngoja niangalizie tu hapa nyumbani.Tukishinda chini ya tatu, mtakua mmetufunga
Jamaa sio wauzaji. Wanashindwa tu kuweka wazi kwamba hatuuzi ili kuwazuga mashabiki.Sasa hivi wanataka 10b 2025 si itakuwa 35b duuh 😄
Ni kama wewe ulivolambwa kimoko jana.Nyie NYUMBU FC aka FEMINIST UNITED kwa kikosi hicho hamtoboi nawambia.
Angemuweka naniHuyu kocha ni mbwa sana..Martial na Erickson wanaanzaje. Asenane wana mbio, ni kumtesa tu Casemiro hapo kati apigwe card ya mapema.View attachment 2737719
Tena?Huyu kocha ni mbwa sana..Martial na Erickson wanaanzaje. Asenane wana mbio, ni kumtesa tu Casemiro hapo kati apigwe card ya mapema.View attachment 2737719





Hata ningekuwa mm nisingeuza kisa mabango ya mashabikiJamaa sio wauzaji. Wanashindwa tu kuweka wazi kwamba hatuuzi ili kuwazuga mashabiki.