anti-Glazer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 291
- 484
🚨🇳🇱 The Glazers hope Ten Hag can deliver major silverware to #mufc over the next two seasons, which would help boost the sale price in 2025 [Mail Sport]
📥 @Manchester_Utdfc
📥 @Manchester_Utdfc
JF bwanaHili timu leo linabamizwa mbili bila. Mapema tu Kai anawaweka
kuna Jukwaa la Arsenal umesema Arsenal anafungwa,huku Jukwaa la Man U unaandika tofauti tena
Sasa hivi wanataka 10b 2025 si itakuwa 35b duuh 😄Manchester United will be taken OFF the market by the Glazer family after bidders fail to reach their asking price in a huge blow to furious fans... as they hold out for £10BILLION for the club.
The Glazers will try and sell #mufc again in 2025.
[Mail Sport]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2737528
Aya ni matakataka yanakutana ivyo acha yafungane tu😭😭😭JF bwanakuna Jukwaa la Arsenal umesema Arsenal anafungwa,huku Jukwaa la Man U unaandika tofauti tena
![]()
Mkuu unapenda malalamiko hivi kikosi Cha sub ukioni ukimtoa ericksen acheze Nani pale?
Tukishinda chini ya tatu, mtakua mmetufungaMatchday..
GGMU.
Nikifungwaga na Arsenal huwa naumia sana..
Kwa nini alimuuza mwamba FRED alikuwa anavuruga sana hapo kati anamuacha Tominay.Mkuu unapenda malalamiko hivi kikosi Cha sub ukioni ukimtoa ericksen acheze Nani pale?
Huyu fala anatuchezea akili zetuSasa hivi wanataka 10b 2025 si itakuwa 35b duuh 😄
Ni kweli...Nilikuwa nikaangalizie bar hii mechi niwatukane mashabiki wa aseno lakini baada ya kumuona Erickson na Martial ngoja niangalizie tu hapa nyumbani.Tukishinda chini ya tatu, mtakua mmetufunga
Jamaa sio wauzaji. Wanashindwa tu kuweka wazi kwamba hatuuzi ili kuwazuga mashabiki.Sasa hivi wanataka 10b 2025 si itakuwa 35b duuh 😄