Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,315
AlisemajeFabrizio Romano ajifunze kuweka hakiba ya maneno
View attachment 2735185
AlisemajeFabrizio Romano ajifunze kuweka hakiba ya maneno
View attachment 2735185
Sawa mzee wa talent idhuna baya..unajua vipaji vyote ulaya... mchambuzi makini.... formation zote unazijua sky sports tu hawajakuona







Mwamba katungojea since juneIt's Sofyan Amrabat day
Dirisha linafungwa leo tuone hii timu itafanya nini leo.
Nyumbu kwa umoja wenu kaeni kwenye meza ya maradhiano na Hamis77, Kama kunatofauti zozote mzimalize
Mtu mmoja kasimamisha jukwaa zima, na bado anapiga spana kisawasawa.
Hakuna mchezaji hapoIt's Sofyan Amrabat day
Dirisha linafungwa leo tuone hii timu itafanya nini leo.
Hawa nyumbu Wana timu bovu Sana ,tulipo draw na Fulham walikuja kwa kas kwenye jukwaa letu nikawa nawachora tuNyumbu kwa umoja wenu kaeni kwenye meza ya maradhiano na Hamis77, Kama kunatofauti zozote mzimalize
Mtu mmoja kasimamisha jukwaa zima, na bado anapiga spana kisawasawa.
Unaongea ila ukweli unaujuaNyie Kima mlioshindwa kumfunga Fulham nyumbani kwenu tena wakiwa pungufu ndio muweze kumfunga Sevilla?
Hilo Group B anaepita hapo ni Sevilla na Psv nyie mnarudi zenu kwenye futuhi![]()
Waombe Sana waende kwa mwamposa tusishinde jumapiliAmelifanya Kama jukwaa lake, hoja zake mmeshindwa kuzipangua
Hamis77 muelewa Sana, mkae nchini myamalize. Hili jukwaa mtalikimbia wote humu
Nasema hivi kuanzia jumapili nalitaka hili jukwaaWatalikimbia wadhaifu,wanaume tutabanana nae tu
Hawa Group stage hawavuki
Sasa hayo ni maneno yangu au ya Rio?Akija huku anasema mount tumepigwa![]()
Kama mlivyopigwa kwa kai au utaleta unabii wako wa akiwa inverted fyoko fyoko vilivyokukimbiza jukwaa lenuSasa hayo ni maneno yangu au ya Rio?
Halafu Kwan uongo mount hamjapigwa ?
Kaka Have mercy on nyumbuHawa nyumbu Wana timu bovu Sana ,tulipo draw na Fulham walikuja kwa kas kwenye jukwaa letu nikawa nawachora tu
Una timu bovu halafu unashinda kwa kubahatisha then unakuja kuleta fujo jukwaa la Arsenal ya maziwa na asali ,nilikasirika Sana
Sasa waombe Sana Jumapili tusishinde,lasivyo nitaweka kambi hapa 24hrs kwa wiki 2
Kwenu kule mbna hamtoi support kwa nabii wenu😃mmekataa shetani na kazi zake zoteKaka Have mercy on nyumbu