Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa nyumbu Wana timu bovu Sana ,tulipo draw na Fulham walikuja kwa kas kwenye jukwaa letu nikawa nawachora tu

Una timu bovu halafu unashinda kwa kubahatisha then unakuja kuleta fujo jukwaa la Arsenal ya maziwa na asali ,nilikasirika Sana


Sasa waombe Sana Jumapili tusishinde,lasivyo nitaweka kambi hapa 24hrs kwa wiki 2
Kaka Have mercy on nyumbu
 
Jumapili mtamkumbuka huyu, tutarudi hapa
20230823_184729.jpg
 
Mimi na kazi kubwa na namiliki kampuni inayoingiza million 50 kwa mwezi,huenda ukawa mmoja wa mfanyakaz wangu,Kuna mwenzako yupo humu Ni dereva wangu na hajijui , naongoza watu 100+ as manager ,

Ukitaka tuweke payslip hapa

Kuwa na adabu kijana ,sio wote wanafanya kazi physical wengine brain tu .

Huna bhana hata nafsi yako inakusutu kwa utoto wako
 
Nasema hivi kuanzia jumapili nalitaka hili jukwaa

Nendeni kwa mwamposa labda atawaepusha na kipigo View attachment 2735305
wewe piga porojo zako tu humu ila mwenyewe unajua zimebaki siku 2 tu ujipige ban mwenyewe.
Hio jumapili tukiwafunga Mc Masingeli utapigwa mande na sisi pamoja na mashabiki wenzako wa Arsenyau waliochoka na hiyo mipasho yako ya taarabu.
 
Kwenu kule mbna hamtoi support kwa nabii wenummekataa shetani na kazi zake zote
Kule the Gunner Sasa hivi tunaongea lugha moja

Ukiona tunarumbana kwa hoja, elewa kuwa watu wanataka kilicho Bora zaidi
 
Nawapongezeni sana kwa kusajili goli kipa. Nadhani mmefata ushauri wangu niliwaambia Onana sio kipa wa kuja nae Anfield maana ni pazia. At least huyu mliosajili anajitahidi.
 
Back
Top Bottom