Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,938
- 31,162
Kama mlivyopigwa kwa kai au utaleta unabii wako wa akiwa inverted fyoko fyoko vilivyokukimbiza jukwaa lenuSasa hayo ni maneno yangu au ya Rio?
Halafu Kwan uongo mount hamjapigwa ?
Kama mlivyopigwa kwa kai au utaleta unabii wako wa akiwa inverted fyoko fyoko vilivyokukimbiza jukwaa lenuSasa hayo ni maneno yangu au ya Rio?
Halafu Kwan uongo mount hamjapigwa ?
Kaka Have mercy on nyumbuHawa nyumbu Wana timu bovu Sana ,tulipo draw na Fulham walikuja kwa kas kwenye jukwaa letu nikawa nawachora tu
Una timu bovu halafu unashinda kwa kubahatisha then unakuja kuleta fujo jukwaa la Arsenal ya maziwa na asali ,nilikasirika Sana
Sasa waombe Sana Jumapili tusishinde,lasivyo nitaweka kambi hapa 24hrs kwa wiki 2
Kwenu kule mbna hamtoi support kwa nabii wenu😃mmekataa shetani na kazi zake zoteKaka Have mercy on nyumbu
Mimi na kazi kubwa na namiliki kampuni inayoingiza million 50 kwa mwezi,huenda ukawa mmoja wa mfanyakaz wangu,Kuna mwenzako yupo humu Ni dereva wangu na hajijui , naongoza watu 100+ as manager ,
Ukitaka tuweke payslip hapa
Kuwa na adabu kijana ,sio wote wanafanya kazi physical wengine brain tu .

Nasema hivi kuanzia jumapili nalitaka hili jukwaa
Nendeni kwa mwamposa labda atawaepusha na kipigo View attachment 2735305



wewe piga porojo zako tu humu ila mwenyewe unajua zimebaki siku 2 tu ujipige ban mwenyewe. Erik Seven HagMount nani aliependekeza asajiliwe?
Ona sasa Sasa wanamleta Amrabat akati Mount,eriksen,Mctominay,mainoo wapo hii inakuaje?
Hangaikeni tu na iyo biashara ya money laundering chini ya seven hug jasusi la kidutch, ila jumapili mpo magetoni kwa wanaumeIt's Sofyan Amrabat day
Dirisha linafungwa leo tuone hii timu itafanya nini leo.
Rashford akiona hii picha anacheka sana.Hangaikeni tu na iyo biashara ya money laundering chini ya seven hug jasusi la kidutch, ila jumapili mpo magetoni kwa wanaumeView attachment 2735366
Rashid huyu huyu ambae upepo wa kubahatisha umekata au mwingine?Rashford akiona hii picha anacheka sana.
Kama kawaida ujinga wa pasi kumi hatuna, pasi tatu maximum rasmdale analoweshwa
Kule the Gunner Sasa hivi tunaongea lugha mojaKwenu kule mbna hamtoi support kwa nabii wenummekataa shetani na kazi zake zote
Inaonekana mpira unaangalia kwenye comment za jf..Rashid huyu huyu ambae upepo wa kubahatisha umekata au mwingine?View attachment 2735376
Umeelewa ulicho-quote?Inaonekana mpira unaangalia kwenye comment za jf..
Chidi kawapiga goli 3 game mbili za mwisho, kama una akili timamu inatakiwa uogope.
Wameyakanyaga hawa nyumbuKuna ngoma inaitwa amefia gheto![]()
Rashford yupi upepo umekata?? Unaangalia mechi kweli?Umeelewa ulicho-quote?