allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Jamaa ni majerui bado usishangae kacheza dk 10 tu au asicheze kabisa.Sasa embu niambie Martial anacheza nini humo ndani..
Tia our new boy Rasmus.
Jamaa ni majerui bado usishangae kacheza dk 10 tu au asicheze kabisa.Sasa embu niambie Martial anacheza nini humo ndani..
Tia our new boy Rasmus.
Mbona Anthony namuona kacheza poa.Leo kidogo nimeangalia mpira wa kueleweka.
Ila Antony anatuchelewesha sana. Hapo tu ndiyo nnapomuona Ten Hag ni fala. Toa uchafu huo weka watu watakaotusaidia.
Nilifikiri ni mimi pekee nimeona.Mpira umepelekwa pembeni kabisa Kipa hana lawama.Lile goli anafungwa kipa yeyote yule pass kama ile ikishakubali
Ila so far kipa mbna amecheza vzuri tu
Mbona Anthony namuona kacheza poa.
Nachoona tunakosa mtu wa kuchukua mpira nyuma na kutembea nao kwenda mbele ndo mana tunapata tabu sana kupita kati, ukiangalia kipa wa arsenal kama karelax sanaa.
Martial aaah sitaki hata kumuongelea siku hizi tusubiri miujiza tu juu yake.

Kwa kiwango chake cha kila siku leo unaweza kusema kajitahidi lakini hakuna cha maana anachofanya. Ndiyo mchezaji anaongoza kuzima mashambulizi yetu.Mbona Anthony namuona kacheza poa.
Baada ya kumkosa De Jong tungemchukua Timber. Tusubiri next transfer window tunaweza kupata mtu wa hiyo kazi.Nachoona tunakosa mtu wa kuchukua mpira nyuma na kutembea nao kwenda mbele ndo mana tunapata tabu sana kupita kati, ukiangalia kipa wa arsenal kama karelax sanaa.
Martial aaah sitaki hata kumuongelea siku hizi tusubiri miujiza tu juu yake.
Wee jamaa.Ndo nimemaliza kubeba boksi nimewahi faster kwenye simu kuangalia mechi.Bora golini akae Maghayo kuliko Onana.