Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo kidogo nimeangalia mpira wa kueleweka.

Ila Antony anatuchelewesha sana. Hapo tu ndiyo nnapomuona Ten Hag ni fala. Toa uchafu huo weka watu watakaotusaidia.
 
Nyumbu
Nyumbu
Nyumbu

Nimewita Mara tatu, Sasa gwaride la dakika 45 za lala salama. Mkae kwa kujishikilia
 
Nachoona tunakosa mtu wa kuchukua mpira nyuma na kutembea nao kwenda mbele ndo mana tunapata tabu sana kupita kati, ukiangalia kipa wa arsenal kama karelax sanaa.
Martial aaah sitaki hata kumuongelea siku hizi tusubiri miujiza tu juu yake.

 
Mbona Anthony namuona kacheza poa.
Kwa kiwango chake cha kila siku leo unaweza kusema kajitahidi lakini hakuna cha maana anachofanya. Ndiyo mchezaji anaongoza kuzima mashambulizi yetu.

Tatizo lake yupo slow sana kufanya maamuzi, eneo la kutoa pasi anataka a-hold mpira kinachofuata anaupoteza tunaanza kukimbizwa sisi tena.
 
Nachoona tunakosa mtu wa kuchukua mpira nyuma na kutembea nao kwenda mbele ndo mana tunapata tabu sana kupita kati, ukiangalia kipa wa arsenal kama karelax sanaa.
Martial aaah sitaki hata kumuongelea siku hizi tusubiri miujiza tu juu yake.
Baada ya kumkosa De Jong tungemchukua Timber. Tusubiri next transfer window tunaweza kupata mtu wa hiyo kazi.
 
Bisaka kafanya mengi mazuri lakini baya lake moja litawafanya watu wasahau yale mazuri yooote
 
Back
Top Bottom