radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kwenye Table mpo wapi ?
Mnaongoza ligi au ndio mwapambania kucheza UCL?
Hilo swali mbona la kichovu yaani hujui hadi muda huu kama timu yako nayo ipo kwenye harakati za kupigania kucheza uefa? Timu yenyewe haina uhakika wa kubeba kombe unapiga kelele tu hapa



